Chuki dhidi ya January Makamba inatoka wapi?

Yes inawezekana ni presidential material kwa vigezo vya bongo ; kwani karibuni wote waliomtangulia akiwemo Mkwere walikuwa mafisadi!!
 
Kwanini alifutiwa matokeo ya mtihani wa kidato cha nne Galanos Sekondari?
 
watu wamemchukia tu sababu ya dynasty

watu hawapendi bloodline yake

personally I hate him for that

i dont him,he dont know me,but i hate him big time
 
watu wamemchukia tu sababu ya dynasty

watu hawapendi bloodline yake

personally I hate him for that

i dont him,he dont know me,but i hate him big time
Watu hawampendi kwasababu ni creation ya fisadi Kikwete na yeye amerithi ufisadi toka kwa baba yake Yusuf Makamba na Mkwere!!
 
Passmark za shule hazikutabirii kufika mbali maishani siku hizi... unataka kutuambia kila aliye serikalini alipata First-class na division 01?!

Kutokufanya vizuri Form-four sio mwisho wa maisha na kutopata first class chuoni haimaanishi hufai kushika nyadhifa kubwa au kufika mbali maishani.

Nauka mkono sana hoja ya elimu na maarifa ila hapo napinga.
 
Ushahidi wa Wazi ni Wizara anazoziongoza.. Ndio maana Watu wanaona Hafai

Mafuta Nchi hii Wafanyabiashara wanajiamulia tu... Wananchi wananunua mpka 5000 per lita
Kuna kiongozi wa dini alisema hatuwezi kuongozwa na wanyoa vipara,viongozi wale wakisema wafuasi wao huanzisha propaganda dhidi yako
 
Wewe ni baba Levo wa Makamba
 
Nilisahau hawa washenzi wanasema Makamba hana legacy wakati migodi yote tokea uhuru umeme kapeleka Makamba, grid ya taifa Kigoma yeye.


Wanatumika hapa hawa wahuni kwa vipande vya fedha.

Halafu mtu wanaye
We mbwa pale hebu kuja haaaapa.


πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ila huko Mambo ya Nje wamempatia maana ni Mzee wa connection na ataziweza sana diplomasia ya Uchumi.



Kule wamempeleka nyumbani ( chura karejeshwa majini).

Alishawahi kufanya kazi kule nazani kama Principal officer.

Anafahamu mambo mengi ya kule.

Wakereketwao shauri yao !
 
You could be right, kuna mtu alisema pahala January anajiona yeye Obama....nikamuuliza anajiona Obama au wewe ndiyo unamuona kama Obama...[emoji3]...

Sehemu nyingine nilisoma eti anakunja mashati kama Obama, nikasema dah, kweli chuki huzaa upofu...sisi vijana wa 47+ tunajua staili za kukunja mashati toka 1980s hukoo na kupitia sinema za akina Bruce Lee, Jim Kelly, Amitabh Bachan etc....
 
Hii point ya nne ni majungu...in the sophisticated world of today, January kwa exposure yake hawezi kuwa mshamba kiasi hicho. Angeweza kufungua a bank account kupitia an offshore shell company in the dark world of Malta hukoo na kwengine na kisha hela ikaingia huko yeye huku akabaki na Visa card yake for payments only...it doesn't make sense.

Fools kama wale Sukuma Gang ndiyo wanajivuna kubeba hela nyingi mfukoni kama baba yao alivokuwa anatembea na mabegi ya hela...[emoji3]
 
Mti wenye matunda tena yaliyoiva ndo hupigwa mawe.
 
Hilo la kukunja mashati nadhani ushamba wa wabongo na utoto wa watoa hoja unachangia...

Am 47+ na nimekuwa nikikunja mashati tangia nikiwa teenager in late 80s...I got that from my Dad na sinema za Bruce Lee...Obama got nothing to do na hiyo staili kwani naye kaikuta tu!
 
Unajipakulia minyama tu aisee
 
Hz ni miongoni mwa mbinu anazotumia mheshamiwa February manyuzi, kujiweka akilini mwa watu, apa naona chawa wake wakijaribu kueka hoja nyepesi kumtetea apate huruma za wanyonge watz, Ila kiukweli February ni ibilisi
namsubiri funza , minyoo aje atolee ufafanuzi hili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…