[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Binafsi simchukii, sema January bila lile jina la Makamba basi angekuwa muosha Magari au kinyozi. Mwanangu huwa ananiambia hizi kazi hazihitaji kabisa uwe intelligent.
Mazuri yake ni yapi??January Makamba, mtoto wa Katibu Mkuu mstaafu wa CCM amekuwa akiandamwa katika mitandao mingi ya kijamii na kujaribu kuaminisha umma ya kuwa ni mtu hafai katika uongozi.
Binafsi Makamba nilimuona wakati wa utawala wa Kikwete akiwa ni mmoja wapo wa wasaidizi wa Rais Kikwete.
Mwenye ushahidi wa wazi kuhusu mabaya yake atuwekee hapa ingawa mimi namuona ni mtu humble, focused na mwenye uvumilivu.
Kwani kwenye Uwaziri kuna kubeba Zege!!?Tatizo nchi hii ni vigumu kupata viongozi wazuri kwa sababu ya kubebana bebana. Wengi wapo kenye nafasi hizo kwa kupitia migongo ya wazazi wao au marefa wao ..... ndiyo maana Chawa wanazidi kuongezeka. Yaani huko UVCCM kila kijana ni Chawa. UVCCM ni kiwanda cha kutengeneza CHAWA badala ya viongozi.....!!January yupo kwenye Vita tangu aingie 5 bora Urais 2015.
Anaonekana ni threats kwa wenzake kuelekea kwenye Uchaguzi Mkuu Ujao.
Wapo wanaotoa hoja kuwa hana Uwezo wa kuongoza ndiyo maana Wizara kadhaa alizoziongoza zimemshinda.
Kitu ambacho hawajui kuwa, Urais wa Tanzania sio kazi ya kubeba Zege kwamba inahitaji Ubaunsa.
Rais ni Taasisi, ndani ya Urais kuna Mainjini, Madaktari, Wanasheria, Maafisa Mipango, Wachumi n.k
Ni suala la mifumo kuachwa kufanya kazi.
Then yeye anachotakiwa kuwa nacho ni Ujasiri tu wa kufanya maamuzi kama alivyokuwa Ben Mkapa ama JPM lakini kwa kufuata Sheria na Katiba ya Nchi.
Hata mwenye Kidato cha Nne anaweza kuongoza Nchi hii iwapo ataacha mifumo iwe inafanya kazi.
=======
Tatizo la Nchi hii sio January, Mwigulu ama Biteko
Kama CCM itaendelea kuongoza Nchi hii hata aje Mtume M.S.W ama Yesu Kristo wa Nazareth kuongoza kupitia Chama hicho basi nao hawatatufaa
Ni tuhuma tu, hawana ushahidiJanuary Makamba, mtoto wa Katibu Mkuu mstaafu wa CCM amekuwa akiandamwa katika mitandao mingi ya kijamii na kujaribu kuaminisha umma ya kuwa ni mtu hafai katika uongozi.
Binafsi Makamba nilimuona wakati wa utawala wa Kikwete akiwa ni mmoja wapo wa wasaidizi wa Rais Kikwete.
Mwenye ushahidi wa wazi kuhusu mabaya yake atuwekee hapa ingawa mimi namuona ni mtu humble, focused na mwenye uvumilivu.
Watu kila siku wako gizani unategemea waseme nini? Aliingia Wizarani kwa kudanganya umma kuwa wenzake hawakufanya msintenance kwa miaka mitano. Ni kiongozi mmoja wa hovyo sana.January Makamba, mtoto wa Katibu Mkuu mstaafu wa CCM amekuwa akiandamwa katika mitandao mingi ya kijamii na kujaribu kuaminisha umma ya kuwa ni mtu hafai katika uongozi.
Binafsi Makamba nilimuona wakati wa utawala wa Kikwete akiwa ni mmoja wapo wa wasaidizi wa Rais Kikwete.
Mwenye ushahidi wa wazi kuhusu mabaya yake atuwekee hapa ingawa mimi namuona ni mtu humble, focused na mwenye uvumilivu.
Umetumia vigezo gani kusema anafaa? rushwa ni jambo ambalo linafanyika kwa kifichoJanuary Makamba, mtoto wa Katibu Mkuu mstaafu wa CCM amekuwa akiandamwa katika mitandao mingi ya kijamii na kujaribu kuaminisha umma ya kuwa ni mtu hafai katika uongozi.
Binafsi Makamba nilimuona wakati wa utawala wa Kikwete akiwa ni mmoja wapo wa wasaidizi wa Rais Kikwete.
Mwenye ushahidi wa wazi kuhusu mabaya yake atuwekee hapa ingawa mimi namuona ni mtu humble, focused na mwenye uvumilivu.
Udini na ufisadi vinamsaidia snMakamba ni moja viongozi wabovu akifuatiwa na mwigulu angekuwa nje ya mfumo tungekuwa tushamsahau mda mrefu ni mfumo tu wakifamilia unaomlinda
Tanesco hiyo imemshinda pamoja na kupewa pesa nyingi za maboresho na mama lakini migao imeendelea
Mpaka hapa haujiulizi mtangulizi wake aliwezaje hyo wizara
Tanesco haijapata faida kwa mara ya kwanza..fuatilia taarufa za tanesco hata kabla ya Makamba kuingia.CCM na propaganda duh!! Sasa mbona CAG hakuna huu ufisadi in fact na Tanesco ime record profit kwa mara ya kwanza?
January anaweza akafeli sababu ya incompetence ila kusema ufisadi as if hizo wizara zinazonuka ufisadi kama Madini kule mbona hamkusema Biteko ni fisadi?
Makundi CCM yatawamaliza!!
Kwanza ni aibu kuwa na kiongozi aina ya Makamba anabebwa na udini pekeeWatu kila siku wako gizani unategemea waseme nini? Aliingia Wizarani kwa kudanganya umma kuwa wenzake hawakufanya msintenance kwa miaka mitano. Ni kiongozi mmoja wa hovyo sana.
Tatizo la Uchawa limezalishwa kutokana na ukosefu wa Ajira miongoni mwa Vijana, ni tatizo lililotengenezwa na Serikali kwa makusudi.Kwani kwenye Uwaziri kuna kubeba Zege!!?Tatizo nchi hii ni vigumu kupata viongozi wazuri kwa sababu ya kubebana bebana. Wengi wapo kenye nafasi hizo kwa kupitia migongo ya wazazi wao au marefa wao ..... ndiyo maana Chawa wanazidi kuongezeka. Yaani huko UVCCM kila kijana ni Chawa. UVCCM ni kiwanda cha kutengeneza CHAWA badala ya viongozi.....!!
Jamaa hawezi kazi hata kidogoTanesco haijapata faida kwa mara ya kwanza..fuatilia taarufa za tanesco hata kabla ya Makamba kuingia.
Kuhusu hicho unachosema hakipo kwenye ripoti ya CAG kwani umeambiwa na pesa ya kwenye vitabu hiyo..hiyo ni rushwa..pale kuna sub contractors companies ambao jamaa kila akitua na private jet lazima wapeleke bahasha.
Wao wanawaza kula tu basi kwa siku mojaTatizo la Uchawa limezalishwa kutokana na ukosefu wa Ajira miongoni mwa Vijana, ni tatizo lililotengenezwa na Serikali kwa makusudi.
Tatizo hili limepelekea Vijana kushabikia hata mambo ambayo yanaweza kuwa na athari hasi kwao siku za mbeleni bila wao kujua, mathalani ishu ya bandari.
Anajua kule ni wajinga na waoganenda jimboni kwake bumbuli ndio utaelewa Kuwa huyu jamaa hafai hatakuwa mjumbe wanyumba kumi.
Miaka karibu ishirini hajajenga hata hatuamoja yalami ambavyo akienda kuwaomba ubunge anawaahidi kuwajengea lamí🤣🤣🤣
Matatizo ya umeme na petrol huyaoni?CCM na propaganda duh!! Sasa mbona CAG hakuna huu ufisadi in fact na Tanesco ime record profit kwa mara ya kwanza?
January anaweza akafeli sababu ya incompetence ila kusema ufisadi as if hizo wizara zinazonuka ufisadi kama Madini kule mbona hamkusema Biteko ni fisadi?
Makundi CCM yatawamaliza!!
Haijajulikana chuki yake Ni nin haswa au kauli ile ya baba ake ya wazuri hawafi ndio chanzo Cha chukiJanuary Makamba, mtoto wa Katibu Mkuu mstaafu wa CCM amekuwa akiandamwa katika mitandao mingi ya kijamii na kujaribu kuaminisha umma ya kuwa ni mtu hafai katika uongozi.
Binafsi Makamba nilimuona wakati wa utawala wa Kikwete akiwa ni mmoja wapo wa wasaidizi wa Rais Kikwete.
Mwenye ushahidi wa wazi kuhusu mabaya yake atuwekee hapa ingawa mimi namuona ni mtu humble, focused na mwenye uvumilivu.
Basi ameingia biteko Wenda tukaoma unafuhu wa Bei ndipo tuseme makamba ndio tatizo alikuwaUshahidi wa Wazi ni Wizara anazoziongoza.. Ndio maana Watu wanaona Hafai
Mafuta Nchi hii Wafanyabiashara wanajiamulia tu... Wananchi wananunua mpka 5000 per lita