Chuki dhidi ya January Makamba inatoka wapi?

Chuki dhidi ya January Makamba inatoka wapi?

Makamba ni moja viongozi wabovu akifuatiwa na mwigulu angekuwa nje ya mfumo tungekuwa tushamsahau mda mrefu ni mfumo tu wakifamilia unaomlinda

Tanesco hiyo imemshinda pamoja na kupewa pesa nyingi za maboresho na mama lakini migao imeendelea

Mpaka hapa haujiulizi mtangulizi wake aliwezaje hyo wizara
We umetumwa, hao uliowataja ndio presidential materials,
 
Rais ajaye. Akili nyingi. Sasa hivi yuko Foreign Affairs kuwapa Watanzania heshima yenu..




Mengine yote majungu. Chadema hamumtaki mnajua atawakaza huko mbele. Watu wa Jiwe mna bifu nae kwa sababu ndio alimweka malaika wenu madarakani.


Mwengine nani Kigogo, anatukana ili apewe ela atulie.


Piga Kazi Kissinger Makamba
 
January Makamba, mtoto wa Katibu Mkuu mstaafu wa CCM amekuwa akiandamwa katika mitandao mingi ya kijamii na kujaribu kuaminisha umma ya kuwa ni mtu hafai katika uongozi.

Binafsi Makamba nilimuona wakati wa utawala wa Kikwete akiwa ni mmoja wapo wa wasaidizi wa Rais Kikwete.

Mwenye ushahidi wa wazi kuhusu mabaya yake atuwekee hapa ingawa mimi namuona ni mtu humble, focused na mwenye uvumilivu.
Hakuna chuki,uwezo wake mdogo,mbereko ndio kinga yake
 
January Makamba, mtoto wa Katibu Mkuu mstaafu wa CCM amekuwa akiandamwa katika mitandao mingi ya kijamii na kujaribu kuaminisha umma ya kuwa ni mtu hafai katika uongozi.

Binafsi Makamba nilimuona wakati wa utawala wa Kikwete akiwa ni mmoja wapo wa wasaidizi wa Rais Kikwete.

Mwenye ushahidi wa wazi kuhusu mabaya yake atuwekee hapa ingawa mimi namuona ni mtu humble, focused na mwenye uvumilivu.
Nahis ana Dharau, ubinafsi, unafiki na majivuno. Watu hawezi kukuchukia tu bila sababu, kuna vijana wanajiona wao ndiyo wao na hakuna wengine zaidi yao.
 
Rais ajaye. Akili nyingi. Sasa hivi yuko Foreign Affairs kuwapa Watanzania heshima yenu..




Mengine yote majungu. Chadema hamumtaki mnajua atawakaza huko mbele. Watu wa Jiwe mna bifu nae kwa sababu ndio alimweka malaika wenu madarakani.


Mwengine nani Kigogo, anatukana ili apewe ela atulie.


Piga Kazi Kissinger Makamba
Rais ajaye wa kwenye familia yenu, majizi wakubwa nyie
 
January yupo kwenye Vita tangu aingie 5 bora Urais 2015.

Anaonekana ni threats kwa wenzake kuelekea kwenye Uchaguzi Mkuu Ujao.

Wapo wanaotoa hoja kuwa hana Uwezo wa kuongoza ndiyo maana Wizara kadhaa alizoziongoza zimemshinda.

Kitu ambacho hawajui kuwa, Urais wa Tanzania sio kazi ya kubeba Zege kwamba inahitaji Ubaunsa.

Rais ni Taasisi, ndani ya Urais kuna Mainjinia, Madaktari, Wanasheria, Maafisa Mipango, Wachumi n.k
Ni suala la mifumo kuachwa kufanya kazi.

Then yeye anachotakiwa kuwa nacho ni Ujasiri tu wa kufanya maamuzi kama alivyokuwa Ben Mkapa ama JPM lakini kwa kufuata Sheria na Katiba ya Nchi.

Hata mwenye Kidato cha Nne anaweza kuongoza Nchi hii iwapo ataacha mifumo iwe inafanya kazi.

=======
Tatizo la Nchi hii sio January, Mwigulu ama Biteko

Kama CCM itaendelea kuongoza Nchi hii hata aje Mtume M.S.W ama Yesu Kristo wa Nazareth kuongoza kupitia Chama hicho basi nao hawatatufaa
Sukuma gang hao. Achana nao. Bado wanaomboleza
 
Rais ajaye. Akili nyingi. Sasa hivi yuko Foreign Affairs kuwapa Watanzania heshima yenu..




Mengine yote majungu. Chadema hamumtaki mnajua atawakaza huko mbele. Watu wa Jiwe mna bifu nae kwa sababu ndio alimweka malaika wenu madarakani.


Mwengine nani Kigogo, anatukana ili apewe ela atulie.


Piga Kazi Kissinger Makamba
Chawa
 
Thibitisha kama anafaa + mgao wa umeme unaoendelea licha ya kutengewa bajeti kubwa ya matengenezo.
Pia ukipata nafasi tuwekee ushahidi wa hizo chuki dhidi yake na namna anavyofanya kazi Kwa matokeo chanya Kwa kila hatua zake.
Bila hata kuangalia ufanisi wake lakini jamaa ni wa hovyo kweli kweli. Kwanza anautafuta urais kwa uchu mkubwa halafu hakuna chochote ambacho amewahi kufanya kuonyesha kuwa ana uwezo. Fisadi mkubwa huyu. Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu, hawezi kuchukiwa na wengi bila sababu.
 
Mengi tu ikiwemo kukomesha matumizi ya mifuko ya Plastics nchini jambo ambalo ni la kihistoria na lilikuwa mzigo kwa Taifa.
Sikiliza bro, Mkataba wa LNG kuanzia zero mpaka sasa hivi wanasign nani Waziri wa Nishati? FDI ya $40Billion haijawahi kutokea nchi hii.


Ukiwasililiza watu humu utafikiri Makamba hajafanya kitu.

Tanesco makes sense business wise now. Unaweza kupeleka mahesabu yake NYSE na ikawa listed. Lakini juhudi za Maharage wachumba chumvi hawazioni.

Sasa hivi hii nchi ina SHERIA ya Nishati safi ya kupikia. Mabadiliko ya tabia nchi tutaokoa miti mingapi tukiachana na kuni? Ila ooh Makamba hafanyi kitu.

Transmission lines kilometa ngapi zimejengwa wakati wa Makamba vs Waziri yoyote wa Nishati.

Pound to pound January kihistoria atakuja kuwa Waziri bora wa Nishati nchi hii haijapata kutokea.



Nimekaa paleeeeeeee.
 
Bila hata kuangalia ufanisi wake lakini jamaa ni wa hovyo kweli kweli. Kwanza anautafuta urais kwa uchu mkubwa halafu hakuna chochote ambacho amewahi kufanya kuonyesha kuwa ana uwezo. Fisadi mkubwa huyu. Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu, hawezi kuchukiwa na wengi bila sababu.
Urais anautafuta au nyie wachimba chumvi ndio mnamtaja kwenye urais. Waliogombea 2015 wote kuanzia Mpina hadi Mwigulu mbona hamuwataji.

Na anautakaje kwa mfano, tupe evidence za yeye kuwa na uchu na urais.
 
Sijawahi kumkubali Huyo January makamba hata siku moja na sina alama ya kusimulia kuhusu uongozi wake zaidi ya nafasi yake kupwaya kwenye Kila WIZARA anayopewa. Kwa ufupi ni kiongozi anayewekwa kwasababu tu ya wakubwa kumwonea aibu kutokana na historical background ya familia yake. The same same to Riz1 kikwete, Nape, mwana FA, na wengine wa nafas ndogondogo za ukuu wa wilaya kama Good luck Mlinga na wengine wengi. Hawana uwezo wa Kiuongozi ila family background zinawabeba.

Kuna watu wamezaliwa kwenye familia ambazo historia zao haziwabebi kisiasa Wala Kiuchumi lakini Wana uwezo mkubwa sana wa Uongozi kiasi kwamba akipewa eneo la uongozi ndani ya mwaka mmoja tu watu wanashuhudia mabadiliko makubwa waliyodhani hayatatokea. That's all I can say.
 
Tanesco haijapata faida kwa mara ya kwanza..fuatilia taarufa za tanesco hata kabla ya Makamba kuingia.

Kuhusu hicho unachosema hakipo kwenye ripoti ya CAG kwani umeambiwa na pesa ya kwenye vitabu hiyo..hiyo ni rushwa..pale kuna sub contractors companies ambao jamaa kila akitua na private jet lazima wapeleke bahasha.
Kumbe kahongwa na mtu binafsi? Nikadhani amekula Hela ya umma maana tumeambiwa ni fisadi wa Mali za umma nikadhani Kuna wizi kafanya!!
 
January yupo kwenye Vita tangu aingie 5 bora Urais 2015.

Anaonekana ni threats kwa wenzake kuelekea kwenye Uchaguzi Mkuu Ujao.

Wapo wanaotoa hoja kuwa hana Uwezo wa kuongoza ndiyo maana Wizara kadhaa alizoziongoza zimemshinda.

Kitu ambacho hawajui kuwa, Urais wa Tanzania sio kazi ya kubeba Zege kwamba inahitaji Ubaunsa.

Rais ni Taasisi, ndani ya Urais kuna Mainjinia, Madaktari, Wanasheria, Maafisa Mipango, Wachumi n.k
Ni suala la mifumo kuachwa kufanya kazi.

Then yeye anachotakiwa kuwa nacho ni Ujasiri tu wa kufanya maamuzi kama alivyokuwa Ben Mkapa ama JPM lakini kwa kufuata Sheria na Katiba ya Nchi.

Hata mwenye Kidato cha Nne anaweza kuongoza Nchi hii iwapo ataacha mifumo iwe inafanya kazi.

=======
Tatizo la Nchi hii sio January, Mwigulu ama Biteko

Kama CCM itaendelea kuongoza Nchi hii hata aje Mtume M.S.W ama Yesu Kristo wa Nazareth kuongoza kupitia Chama hicho basi nao hawatatufaa
Kama tatizo ni CCM, hao uliowataja wako ndani ya kagenge flani kadogo(watu wacheche) ambao ndio wanaiendesha CCM Tena Kwa kutaka iendelee hivi hivi(kukumbatia kujuana,rushwa,ufisadi,kutokuwajibika,kutokufuta katiba na Sheria za nchi, incompetence serikalini, umasikini mkubwa Kwa watz, miradi isiyoendana na dhamani ya hela, name any)
 
Sio chuki mkuu.
Huyu ni kwa kuwa anajiinua hata ktk mambo ambayo tunajua wazi kuwa hana uwezo nayo hata kdg!
Uwezo wake ni mdogo sana kama wa Ridhawani.
Heis not creative at all, kama mnabisha tuambieni amewahi kufanya lipi jipya huko alikopita zaidi ya kutafuta hela kwa
mbinu zote
 
Back
Top Bottom