January yupo kwenye Vita tangu aingie 5 bora Urais 2015.
Anaonekana ni threats kwa wenzake kuelekea kwenye Uchaguzi Mkuu Ujao.
Wapo wanaotoa hoja kuwa hana Uwezo wa kuongoza ndiyo maana Wizara kadhaa alizoziongoza zimemshinda.
Kitu ambacho hawajui kuwa, Urais wa Tanzania sio kazi ya kubeba Zege kwamba inahitaji Ubaunsa.
Rais ni Taasisi, ndani ya Urais kuna Mainjinia, Madaktari, Wanasheria, Maafisa Mipango, Wachumi n.k
Ni suala la mifumo kuachwa kufanya kazi.
Then yeye anachotakiwa kuwa nacho ni Ujasiri tu wa kufanya maamuzi kama alivyokuwa Ben Mkapa ama JPM lakini kwa kufuata Sheria na Katiba ya Nchi.
Hata mwenye Kidato cha Nne anaweza kuongoza Nchi hii iwapo ataacha mifumo iwe inafanya kazi.
=======
Tatizo la Nchi hii sio January, Mwigulu ama Biteko
Kama CCM itaendelea kuongoza Nchi hii hata aje Mtume M.S.W ama Yesu Kristo wa Nazareth kuongoza kupitia Chama hicho basi nao hawatatufaa