saigilomagema
JF-Expert Member
- Jun 5, 2015
- 4,683
- 7,222
We umetumwa, hao uliowataja ndio presidential materials,Makamba ni moja viongozi wabovu akifuatiwa na mwigulu angekuwa nje ya mfumo tungekuwa tushamsahau mda mrefu ni mfumo tu wakifamilia unaomlinda
Tanesco hiyo imemshinda pamoja na kupewa pesa nyingi za maboresho na mama lakini migao imeendelea
Mpaka hapa haujiulizi mtangulizi wake aliwezaje hyo wizara
Ushahidi? Acha chuki zako za kipuuzi, January amefanya mambo mengi makubwa,Hujajibu swali Mkuu,nimeuliza tu Kalemani na uongozi wa TANESCO uliokuwepo awamu ya Tano uliwezaje kufanikiwa upatikanaji wa umeme kwa uhakika.Kumbuka tunaongelea kipindi cha miaka 5?
Hakuna chuki,uwezo wake mdogo,mbereko ndio kinga yakeJanuary Makamba, mtoto wa Katibu Mkuu mstaafu wa CCM amekuwa akiandamwa katika mitandao mingi ya kijamii na kujaribu kuaminisha umma ya kuwa ni mtu hafai katika uongozi.
Binafsi Makamba nilimuona wakati wa utawala wa Kikwete akiwa ni mmoja wapo wa wasaidizi wa Rais Kikwete.
Mwenye ushahidi wa wazi kuhusu mabaya yake atuwekee hapa ingawa mimi namuona ni mtu humble, focused na mwenye uvumilivu.
Nahis ana Dharau, ubinafsi, unafiki na majivuno. Watu hawezi kukuchukia tu bila sababu, kuna vijana wanajiona wao ndiyo wao na hakuna wengine zaidi yao.January Makamba, mtoto wa Katibu Mkuu mstaafu wa CCM amekuwa akiandamwa katika mitandao mingi ya kijamii na kujaribu kuaminisha umma ya kuwa ni mtu hafai katika uongozi.
Binafsi Makamba nilimuona wakati wa utawala wa Kikwete akiwa ni mmoja wapo wa wasaidizi wa Rais Kikwete.
Mwenye ushahidi wa wazi kuhusu mabaya yake atuwekee hapa ingawa mimi namuona ni mtu humble, focused na mwenye uvumilivu.
Rais ajaye wa kwenye familia yenu, majizi wakubwa nyieRais ajaye. Akili nyingi. Sasa hivi yuko Foreign Affairs kuwapa Watanzania heshima yenu..
Mengine yote majungu. Chadema hamumtaki mnajua atawakaza huko mbele. Watu wa Jiwe mna bifu nae kwa sababu ndio alimweka malaika wenu madarakani.
Mwengine nani Kigogo, anatukana ili apewe ela atulie.
Piga Kazi Kissinger Makamba
Sukuma gang hao. Achana nao. Bado wanaombolezaJanuary yupo kwenye Vita tangu aingie 5 bora Urais 2015.
Anaonekana ni threats kwa wenzake kuelekea kwenye Uchaguzi Mkuu Ujao.
Wapo wanaotoa hoja kuwa hana Uwezo wa kuongoza ndiyo maana Wizara kadhaa alizoziongoza zimemshinda.
Kitu ambacho hawajui kuwa, Urais wa Tanzania sio kazi ya kubeba Zege kwamba inahitaji Ubaunsa.
Rais ni Taasisi, ndani ya Urais kuna Mainjinia, Madaktari, Wanasheria, Maafisa Mipango, Wachumi n.k
Ni suala la mifumo kuachwa kufanya kazi.
Then yeye anachotakiwa kuwa nacho ni Ujasiri tu wa kufanya maamuzi kama alivyokuwa Ben Mkapa ama JPM lakini kwa kufuata Sheria na Katiba ya Nchi.
Hata mwenye Kidato cha Nne anaweza kuongoza Nchi hii iwapo ataacha mifumo iwe inafanya kazi.
=======
Tatizo la Nchi hii sio January, Mwigulu ama Biteko
Kama CCM itaendelea kuongoza Nchi hii hata aje Mtume M.S.W ama Yesu Kristo wa Nazareth kuongoza kupitia Chama hicho basi nao hawatatufaa
Vita ni kubwa huko juuSukuma gang hao. Achana nao. Bado wanaomboleza
ChawaRais ajaye. Akili nyingi. Sasa hivi yuko Foreign Affairs kuwapa Watanzania heshima yenu..
Mengine yote majungu. Chadema hamumtaki mnajua atawakaza huko mbele. Watu wa Jiwe mna bifu nae kwa sababu ndio alimweka malaika wenu madarakani.
Mwengine nani Kigogo, anatukana ili apewe ela atulie.
Piga Kazi Kissinger Makamba
lakini yeyé hakuutaka uraisKabla ya hapo alikuwa betrice shelukindo alikuwa Hapo kwa Muda mrefu je yey alifanya nn Cha maaana
Nimecheka kifala sana!Rais ajaye wa kwenye familia yenu, majizi wakubwa nyie
Chuki humuumiza zaidi anayechukia au anayechukiwa?Rais ajaye wa kwenye familia yenu, majizi wakubwa nyie
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa. Tunamuombea atuwakilishe vyema kwenye anga za kidiplomasia.Chawa
Bila hata kuangalia ufanisi wake lakini jamaa ni wa hovyo kweli kweli. Kwanza anautafuta urais kwa uchu mkubwa halafu hakuna chochote ambacho amewahi kufanya kuonyesha kuwa ana uwezo. Fisadi mkubwa huyu. Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu, hawezi kuchukiwa na wengi bila sababu.Thibitisha kama anafaa + mgao wa umeme unaoendelea licha ya kutengewa bajeti kubwa ya matengenezo.
Pia ukipata nafasi tuwekee ushahidi wa hizo chuki dhidi yake na namna anavyofanya kazi Kwa matokeo chanya Kwa kila hatua zake.
Sikiliza bro, Mkataba wa LNG kuanzia zero mpaka sasa hivi wanasign nani Waziri wa Nishati? FDI ya $40Billion haijawahi kutokea nchi hii.Mengi tu ikiwemo kukomesha matumizi ya mifuko ya Plastics nchini jambo ambalo ni la kihistoria na lilikuwa mzigo kwa Taifa.
Urais anautafuta au nyie wachimba chumvi ndio mnamtaja kwenye urais. Waliogombea 2015 wote kuanzia Mpina hadi Mwigulu mbona hamuwataji.Bila hata kuangalia ufanisi wake lakini jamaa ni wa hovyo kweli kweli. Kwanza anautafuta urais kwa uchu mkubwa halafu hakuna chochote ambacho amewahi kufanya kuonyesha kuwa ana uwezo. Fisadi mkubwa huyu. Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu, hawezi kuchukiwa na wengi bila sababu.
Kumbe kahongwa na mtu binafsi? Nikadhani amekula Hela ya umma maana tumeambiwa ni fisadi wa Mali za umma nikadhani Kuna wizi kafanya!!Tanesco haijapata faida kwa mara ya kwanza..fuatilia taarufa za tanesco hata kabla ya Makamba kuingia.
Kuhusu hicho unachosema hakipo kwenye ripoti ya CAG kwani umeambiwa na pesa ya kwenye vitabu hiyo..hiyo ni rushwa..pale kuna sub contractors companies ambao jamaa kila akitua na private jet lazima wapeleke bahasha.
Kama tatizo ni CCM, hao uliowataja wako ndani ya kagenge flani kadogo(watu wacheche) ambao ndio wanaiendesha CCM Tena Kwa kutaka iendelee hivi hivi(kukumbatia kujuana,rushwa,ufisadi,kutokuwajibika,kutokufuta katiba na Sheria za nchi, incompetence serikalini, umasikini mkubwa Kwa watz, miradi isiyoendana na dhamani ya hela, name any)January yupo kwenye Vita tangu aingie 5 bora Urais 2015.
Anaonekana ni threats kwa wenzake kuelekea kwenye Uchaguzi Mkuu Ujao.
Wapo wanaotoa hoja kuwa hana Uwezo wa kuongoza ndiyo maana Wizara kadhaa alizoziongoza zimemshinda.
Kitu ambacho hawajui kuwa, Urais wa Tanzania sio kazi ya kubeba Zege kwamba inahitaji Ubaunsa.
Rais ni Taasisi, ndani ya Urais kuna Mainjinia, Madaktari, Wanasheria, Maafisa Mipango, Wachumi n.k
Ni suala la mifumo kuachwa kufanya kazi.
Then yeye anachotakiwa kuwa nacho ni Ujasiri tu wa kufanya maamuzi kama alivyokuwa Ben Mkapa ama JPM lakini kwa kufuata Sheria na Katiba ya Nchi.
Hata mwenye Kidato cha Nne anaweza kuongoza Nchi hii iwapo ataacha mifumo iwe inafanya kazi.
=======
Tatizo la Nchi hii sio January, Mwigulu ama Biteko
Kama CCM itaendelea kuongoza Nchi hii hata aje Mtume M.S.W ama Yesu Kristo wa Nazareth kuongoza kupitia Chama hicho basi nao hawatatufaa