Hakuna anayemchukia KIPARA, yule Bwana ni Kilaza so watu wanamdharau, tofautisha Chuki na DharauJanuary Makamba, mtoto wa Katibu Mkuu mstaafu wa CCM amekuwa akiandamwa katika mitandao mingi ya kijamii na kujaribu kuaminisha umma ya kuwa ni mtu hafai katika uongozi.
Binafsi Makamba nilimuona wakati wa utawala wa Kikwete akiwa ni mmoja wapo wa wasaidizi wa Rais Kikwete.
Mwenye ushahidi wa wazi kuhusu mabaya yake atuwekee hapa ingawa mimi namuona ni mtu humble, focused na mwenye uvumilivu.
KIPARA ni KilazaCan you conclude, please?
Sasa incompetence ndio ufisadi?Matatizo ya umeme na petrol huyaoni?
Sometimes tunakua na chuki binafsi na majungu. Simtetei lakini lawama nyingine huwa anapewa asizostahili.Hii hali inakera Sasa. Ikibidi watanzania tuache unafiki. Utasikia wizara alizokaa Makamba hajafanya kitu. Naomba mnitajie mawaziri mnaoona wamefanya hayo mazuri mnayosema Makamba hajafanya lakini wenzie wamefanya
Acheni unafiki watanzania, mnamuandama mwenzenu bila sababu ya msingi
Acheni kabisa huo unafiki wenu
Small minds discuss people..!Hii hali inakera Sasa. Ikibidi watanzania tuache unafiki. Utasikia wizara alizokaa Makamba hajafanya kitu. Naomba mnitajie mawaziri mnaoona wamefanya hayo mazuri mnayosema Makamba hajafanya lakini wenzie wamefanya
Acheni unafiki watanzania, mnamuandama mwenzenu bila sababu ya msingi
Acheni kabisa huo unafiki wenu
Sawa swali la msingi kwani wewe unaumia Nini au umeathirika vipi Hadi ukasilike hivyo? Kwa Nini yeye hajatuuliza ametukosea Nini Hadi tumuandame? Kwa kuwa yeye haoni shida Wala tatizo sisi kumchukia basi hata hayo majibu yetu hayahitaji. Sasa wewe hayo majibu yatakusaidia Nini? Na kwa Nini utuchukie sisi kwa niaba ya mtu mwingine ambae hajari?Hii hali inakera Sasa. Ikibidi watanzania tuache unafiki. Utasikia wizara alizokaa Makamba hajafanya kitu. Naomba mnitajie mawaziri mnaoona wamefanya hayo mazuri mnayosema Makamba hajafanya lakini wenzie wamefanya
Acheni unafiki watanzania, mnamuandama mwenzenu bila sababu ya msingi
Acheni kabisa huo unafiki wenu
Ungeanza kwa kututajia legacy ya Makamba TANESCO , tungekuona una akili sana, lakini sasa hivi kumbe nawe ni mbugila tu.Hii hali inakera Sasa. Ikibidi watanzania tuache unafiki. Utasikia wizara alizokaa Makamba hajafanya kitu. Naomba mnitajie mawaziri mnaoona wamefanya hayo mazuri mnayosema Makamba hajafanya lakini wenzie wamefanya
Acheni unafiki watanzania, mnamuandama mwenzenu bila sababu ya msingi
Acheni kabisa huo unafiki wenu
Zile taifa gas alikuwa anauza za nani? na nini kama siyo ufisadi?Sasa incompetence ndio ufisadi?
Ngonjera tupu ,ukiomba uonyeshwe hao watu utasubiri sanaMwaka jana Tanesco imeunganisha umeme wateja laki tano. Haijawahi kutokea katika historia ya nchi hii.
Investment ya Trillion 80 zinakuja kwenye LnG Lindi. Haijawahi kutokea katika historia ya nchi hii.
Sheria ya Nishati safi ya Kupikia ambayo ina malengo baada ya miaka kumi hakuna mambo ya kuni tena. Think mabadiliko ya tabia nchi na miaka. Haijawahi kutokea nchi hii.
Yote haya yametokea chini ya uongozi wa Waziri Makamba.
Na ndio alipiga marufuku mifuko ya plastic pia.
Naona anaandamwa kwa sababu yuko tofauti sana na hawa wengine. Style, substance, Na kinachomcost pia ni jina la Makamba.
Huyu mumeo kafanya nini pale nishati? gas, umeme kukatika, mafuta juu ndiyo maaendeleo kwa vile pale kwenu kuna generetor la TANESCO?Hii hali inakera Sasa. Ikibidi watanzania tuache unafiki. Utasikia wizara alizokaa Makamba hajafanya kitu. Naomba mnitajie mawaziri mnaoona wamefanya hayo mazuri mnayosema Makamba hajafanya lakini wenzie wamefanya
Acheni unafiki watanzania, mnamuandama mwenzenu bila sababu ya msingi
Acheni kabisa huo unafiki wenu
Katika historia ya nchi hii, Tanesco haijawahi kuunganisha wateja 500,000 kwa mwaka never happened.Sio chuki mkuu.
Huyu ni kwa kuwa anajiinua hata ktk mambo ambayo tunajua wazi kuwa hana uwezo nayo hata kdg!
Uwezo wake ni mdogo sana kama wa Ridhawani.
Heis not creative at all, kama mnabisha tuambieni amewahi kufanya lipi jipya huko alikopita zaidi ya kutafuta hela kwa mbinu zote
Hili ndiyo jibu hakuna la maana kafanya zaidi ya urafiki wa baba ake na viongozi wa juuAttention aliyozoea kuitafuta kutaka aonekane yeye ni zaidi ya wengine ndio inayomfanya aandamwe, akiwa kimya, low key, hana habari, hauzi sura hovyo mbele za watu, hakuna atakayehangaika nae, lakini ukijidai mjuaji zaidi ya wengine ndio unafanya wengi waanze kujiuliza, hivi huyu anastahili kuwepo hapo alipo? kwa performance gani aliyonayo?
Jibu linakuja anabebwa tu kwasababu ya urafiki kati ya baba yake na viongozi wa hili taifa.
Hizo ni legacy numbers kijana. Ngonjera ni nyie mmetumwa kuja kutukana watu tu humu kwa vipande sabini vya fedha bila ushahidi wala chochote.Ngonjera tupu ,ukiomba uonyeshwe hao watu utasubiri sana
January Makamba, mtoto wa Katibu Mkuu mstaafu wa CCM amekuwa akiandamwa katika mitandao mingi ya kijamii na kujaribu kuaminisha umma ya kuwa ni mtu hafai katika uongozi.
Binafsi Makamba nilimuona wakati wa utawala wa Kikwete akiwa ni mmoja wapo wa wasaidizi wa Rais Kikwete.
Mwenye ushahidi wa wazi kuhusu mabaya yake atuwekee hapa ingawa mimi namuona ni mtu humble, focused na mwenye uvumilivu.
Kama uko naye karibu mwambie ajirekebishe kwa nin yey tu. Kila mtu anamapungufu na mapungufu hayo yanatofautiana, Wizara zipo nyingi ila utasikia Makamba na Nape hawazungumzi vizuri na raia.Hii hali inakera Sasa. Ikibidi watanzania tuache unafiki. Utasikia wizara alizokaa Makamba hajafanya kitu. Naomba mnitajie mawaziri mnaoona wamefanya hayo mazuri mnayosema Makamba hajafanya lakini wenzie wamefanya
Acheni unafiki watanzania, mnamuandama mwenzenu bila sababu ya msingi
Acheni kabisa huo unafiki wenu