Chuki dhidi ya January Makamba inatoka wapi?

Chuki dhidi ya January Makamba inatoka wapi?

Chuki dhidi ya Jan Makamba inathibitisha msemo "hasidi hana sababu".
1. Hivi kukiwa na ukame mabwawa ya kufua umeme yakakosa maji na njaa ikaingia waziri wa nishahti na waziri wa kilimo walaumiwe?
2. Ikiwa ni kweli January aliiba mtihani zaidi ya miaka 30 iliyopita, apewe hukumu ya maisha asipate cheo chochote? Wewe unayekomalia kosa la wizi wa mtihani u mtakatifu kiasi gani?
3. Kuhusu level ya elimu hivi unajua katika mawaziri wakuu 57 wa UK hadi Oct.2022 zaidi ya 75% wamepitia vyuo vya Oxford na Cambridge, lakini Winston Churchill ndiye Waziri Mkuu aliyeokoa Uingereza katika vita Kuu ya pili-WWII? Huyu Churchill hakuwa na hata A level. "W.Churchill saved Britain in its darkest hour." Kwenye siasa elimu ni muhimu lakini kuna sifa nyingine muhimu zaidi.
4. Hivi waziri wa nishahti wajibu wake ni Tanesco tu, na awe anavunja bodi ya Tanesco kila umeme unapokatika katika?
Masikini tuna shida sana.Chuki zisizo na maana tu
 
1. Ana uwezo mdogo
2. Anapendelewa/ kubebwa
3. Ni jeuri
Umasikini ni mbaya sana.Unamchukia kisa kuwa moto wa mkubwa kupewa madaraka!We ulitaka apewe nani?Mara nyingi ni rahisi sana mtoto kurithi au kufanya kazi au fani ya baba.Mbona kuna madoctor wamewawezesha na watoto wao kuwa madoctor na hamuwasemi?Hujui kuwa panya wa msikitini watakula mikeka?Tafuteni hela acheni chuki.Majeneral kibao wamewaingiza watoto wao jeshini,mbona hamusemi?
 
Hilo ni magufuli ndo alofanikisha Hana zuri lolote ndomana anakulipeni chawa km ww na waganga kiumsafishia njia ya kupata madaraka zaid
Magufuli ndiye aliyekomesha mifuko ya plastic!!Wakati anamuondoa kwenye uwaziri alikosa sababu ya kueleza,akasema hajasimamia vizuri suala la mifuko ya plastic wkt watanzania wote tulishuhudia jinsi alivyolisimamia
 
Umasikini ni mbaya sana.Unamchukia kisa kuwa moto wa mkubwa kupewa madaraka!We ulitaka apewe nani?Mara nyingi ni rahisi sana mtoto kurithi au kufanya kazi au fani ya baba.Mbona kuna madoctor wamewawezesha na watoto wao kuwa madoctor na hamuwasemi?Hujui kuwa panya wa msikitini watakula mikeka?Tafuteni hela acheni chuki.Majeneral kibao wamewaingiza watoto wao jeshini,mbona hamusemi?
Makamba hana uwezo wowote full STOP. ZIngine mbeleko tu
 
Magufuli ndiye aliyekomesha mifuko ya plastic!!Wakati anamuondoa kwenye uwaziri alikosa sababu ya kueleza,akasema hajasimamia vizuri suala la mifuko ya plastic wkt watanzania wote tulishuhudia jinsi alivyolisimamia
Waapi acha kupindisha mambo hamna mtu mle. Kwanza matokeo yake wanasema kabahatisha bahatisha tu kama NAPE
 
January Makamba, mtoto wa Katibu Mkuu mstaafu wa CCM amekuwa akiandamwa katika mitandao mingi ya kijamii na kujaribu kuaminisha umma ya kuwa ni mtu hafai katika uongozi.

Binafsi Makamba nilimuona wakati wa utawala wa Kikwete akiwa ni mmoja wapo wa wasaidizi wa Rais Kikwete.

Mwenye ushahidi wa wazi kuhusu mabaya yake atuwekee hapa ingawa mimi namuona ni mtu humble, focused na mwenye uvumilivu.
Ni Moja ya vilaza waliojipatia ajira kwa connection
 
January Makamba, mtoto wa Katibu Mkuu mstaafu wa CCM amekuwa akiandamwa katika mitandao mingi ya kijamii na kujaribu kuaminisha umma ya kuwa ni mtu hafai katika uongozi.

Binafsi Makamba nilimuona wakati wa utawala wa Kikwete akiwa ni mmoja wapo wa wasaidizi wa Rais Kikwete.

Mwenye ushahidi wa wazi kuhusu mabaya yake atuwekee hapa ingawa mimi namuona ni mtu humble, focused na mwenye uvumilivu.
HUYO HAFAI KABISAA

Hata Ukuu tu wa Wilaya hafai

Yaaani ni bora tumpe Msukuma nchi kuliko huyo kipara
 
Nauliza wale wanaccm mliomfikisha kijana wenu January Makamba karbu na kileleni, yaan top 5 Enzi za Kura za maoni mpo wapi?

Nimewaza Sana miongoni mwa mawaziri WA mama wasio na Raha ni January Makamba, nawaza hivyo maana Naona yeye anashambuliwa Sana mitandaoni na Hana mtetezi
Nauliza nyie mlio mfikisha kileleni na yeye akapandisha mabega mpo wap?

Je kuna ukweli yakuwa walio mpandisha January Makamba walivurugwa na Mwendazake?
Km ili nalo ni kweli January Makamba na mwiguru Mchemba mna kazi kubwa ya kujijenga upya, je ntaweza?
Makundi na wajumbe NI watu wabaya sanaaa Ila Makamba usijari nafasi uliyoipata inafaa kujijenga upya.
 
Nauliza wale wanaccm mliomfikisha kijana wenu January Makamba karbu na kileleni, yaan top 5 Enzi za Kura za maoni mpo wapi?

Nimewaza Sana miongoni mwa mawaziri WA mama wasio na Raha ni January Makamba, nawaza hivyo maana Naona yeye anashambuliwa Sana mitandaoni na Hana mtetezi
Nauliza nyie mlio mfikisha kileleni na yeye akapandisha mabega mpo wap?

Je kuna ukweli yakuwa walio mpandisha January Makamba walivurugwa na Mwendazake?
Km ili nalo ni kweli January Makamba na mwiguru Mchemba mna kazi kubwa ya kujijenga upya, je ntaweza?
Makundi na wajumbe NI watu wabaya sanaaa Ila Makamba usijari nafasi uliyoipata inafaa kujijenga upya.
Yaani akae kwenye Nishati muda wote huo, baadaye 'atumbuliwe' kwa kuhamishiwa mambo ya nje halafu nyie mje kuwaamba habari za eti 'hana raha?' Hivi hao watanzania wenzenu mnaowaandikia kuwahabarisha huwa mnawaonaje?
 
Kampeni za mitataoni zinaendeshwa na genge moja linalotaka urais. Wanamuona January Makamba kama tishio. Hivyo wanataka kumdhoofisha kwa kuwaaminisha watu kuwa hafai. Na wengine wanafuata mkumbo bila kujua kilichoko nyuma ya hizo tuhuma.

January ni presidential material.
Kama huyu zero brain wao ameweza yeye atashindwaje? Tanzanio hata Jiwe laweza ongoza
 
Back
Top Bottom