Daudi Mchambuzi naomba usikilize clip hii kwa umakini, then naomba comment yakoHii kaisema lini?
Kuna clip hii ya ngurumo, isikilize pia.
All in all I beg to differ with you. Samia hajafanya lolote la kuwasaidia wakulima, hapana. Usiwe chawa! Nadhani nawe unafaidi urais wa Samia na hivyo hivyo Bashiru alikuwa anafaidi urais wa Magufuli na kumsifia kama wewe unavyomsifia Samia.
Pumbavu mkubwa wewe rafiki yangu.Ufipa st ndio ukipinga jambo unafukuzwa
Haki za wakulima zinadaiwa kwa kuuza gunia 20,000?CHUKI YA WAZI YA MBUNGE BASHIRU ALLY KWA SERIKALI YA MAMA SAMIA
CHUKI na Uchochezi hautakusaidia Dr. BASHIRU ALLY aliyewahi Kuwa Katibu Mkuu wa CCM.
Serikali ya awamu ya Sita chini ya Mhe. Rais SAMIA Suluhu Hassan imekuwa Mkombozi kwa wakulima nchini tunaona jinsi serikali inavyopambana katika kuwainua Wakulima kwa kutoa Mbolea za ruzuku, Kufuta tozo zilizokuwa KERO kwa wakulima nchini, Kutafuta masoko ya mazao Nje ya nchi tumeshuhudia kwa mara ya kwanza Maparachichi kuuzwa Moja kwa Moja Nchini China.. Sasa Hivi vyote unataka wakulima wasipongeze yanayofanyika. Hizi ni chuki za wazi kwa Mbunge BASHIRU ALLY kwa serikali ya awamu ya 6.
Tunakumbuka katika Serikali ya awamu ya 5 chini ya Hayati Magufuli huyu huyu BASHIRU Kila alipokuwa anahutubia hakuacha kusifia maziri ya Magufuli ila Leo nini KIMEMKUMBA BASHIRU ALLY?
Acha wakulima waone na kusifia mazuri ya awamu ya 6 ambayo hapo nyuma hayajawahi kufanyika.
#MamaAnaupigaMwingi
Alilewa mvinyo wa madhabahuni enzi hizo (za shetani jiwe) hata akafikia kusema ccm itumie dola kubakia madarakani.Bashiri kwa sasa amerudia kuwa mjamaa. Anawahimiza wakulima waungane dhidi ya watawala wanyonyaji.
Haya anayotamka asingeweza kuyatamka enzi akiwa madhabahuni mwa awamu ya 5. Huyu mtu ni kigeugeu sana
hii symbol ina maana gani please😂😂😂😂
Sasa chama kinajengwa kwa kufanya fitina?Kupingana na Kukosoana ndio njia sahihi ya kukijenga Chama
Case closedmsiwe wepesi wa kutofikiri. Fikiri zaidi ya hapo please. Msikilize huyu anayefikiri zaidi ya mimi na wewe. Make a scientific analysis of these so called politicians! Sikiliza bashiru wa asilia ukiacha huu unafiki anaousema sasa
naomba comment yako please
Sisi kazi yetu iwe ni kuchochea kuni kwa wingiVita ya wenyewe kwa wenyewe, ya ccm tunawaachia wenyewe
Umeona kuwa Ngurumo ana akili kubwa kama Lisu!Case closed
Kiongozi dhaifu lazima aajiri mamluki wa kupigia debe mitandaoni na kwenye media za kichawa. Kizuri chajiuza ila kibaya hujitembezaCHUKI YA WAZI YA MBUNGE BASHIRU ALLY KWA SERIKALI YA MAMA SAMIA
CHUKI na Uchochezi hautakusaidia Dr. BASHIRU ALLY aliyewahi Kuwa Katibu Mkuu wa CCM.
Serikali ya awamu ya Sita chini ya Mhe. Rais SAMIA Suluhu Hassan imekuwa Mkombozi kwa wakulima nchini tunaona jinsi serikali inavyopambana katika kuwainua Wakulima kwa kutoa Mbolea za ruzuku, Kufuta tozo zilizokuwa KERO kwa wakulima nchini, Kutafuta masoko ya mazao Nje ya nchi tumeshuhudia kwa mara ya kwanza Maparachichi kuuzwa Moja kwa Moja Nchini China.. Sasa Hivi vyote unataka wakulima wasipongeze yanayofanyika. Hizi ni chuki za wazi kwa Mbunge BASHIRU ALLY kwa serikali ya awamu ya 6.
Tunakumbuka katika Serikali ya awamu ya 5 chini ya Hayati Magufuli huyu huyu BASHIRU Kila alipokuwa anahutubia hakuacha kusifia maziri ya Magufuli ila Leo nini KIMEMKUMBA BASHIRU ALLY?
Acha wakulima waone na kusifia mazuri ya awamu ya 6 ambayo hapo nyuma hayajawahi kufanyika.
#MamaAnaupigaMwingi
Bila fitna Chama hakiwezi kukua!Sasa chama kinajengwa kwa kufanya fitina?
Kwamba wanachama wamviwata wako tayari kurudi Misri? Huko kutakuwa Ni kulaaniwa
Huyu ni popo!Bashiri kwa sasa amerudia kuwa mjamaa. Anawahimiza wakulima waungane dhidi ya watawala wanyonyaji.
Haya anayotamka asingeweza kuyatamka enzi akiwa madhabahuni mwa awamu ya 5. Huyu mtu ni kigeugeu sana
Alichoongea ni maono tupuUmeona kuwa Ngurumo ana akili kubwa kama Lisu!
Huu Ni ujinga sasa ,huyo Bashiru so tuu ana fitina Bali ana nongwa kubwa SanaBila fitna Chama hakiwezi kukua!
makubwa ya kuuwa watu, makubwa ya kupora hela za watu, makubwa ya kumpiga lissu risasi, kifupi magufuli alikuwa mbwa kabisa na shetaniWewe kwa akili yako ya kawaida unaona nchi inaendelea au inarudi nyuma? Twende mbele turudi nyuma,magufuli hakuwa malaika ila alifanya makubwa
Nitajie mwanasiasa mmoja tu asiyekuwa na nongwaHuu Ni ujinga sasa ,huyo Bashiru so tuu ana fitina Bali ana nongwa kubwa Sana
Ndo mkome kununua WAPINZANI mkiamini mtanunua na UPINZANI ulio ndani ya NAFSI zao😠😠😠😠CHUKI YA WAZI YA MBUNGE BASHIRU ALLY KWA SERIKALI YA MAMA SAMIA
CHUKI na Uchochezi hautakusaidia Dr. BASHIRU ALLY aliyewahi Kuwa Katibu Mkuu wa CCM.
Serikali ya awamu ya Sita chini ya Mhe. Rais SAMIA Suluhu Hassan imekuwa Mkombozi kwa wakulima nchini tunaona jinsi serikali inavyopambana katika kuwainua Wakulima kwa kutoa Mbolea za ruzuku, Kufuta tozo zilizokuwa KERO kwa wakulima nchini, Kutafuta masoko ya mazao Nje ya nchi tumeshuhudia kwa mara ya kwanza Maparachichi kuuzwa Moja kwa Moja Nchini China.. Sasa Hivi vyote unataka wakulima wasipongeze yanayofanyika. Hizi ni chuki za wazi kwa Mbunge BASHIRU ALLY kwa serikali ya awamu ya 6.
Tunakumbuka katika Serikali ya awamu ya 5 chini ya Hayati Magufuli huyu huyu BASHIRU Kila alipokuwa anahutubia hakuacha kusifia maziri ya Magufuli ila Leo nini KIMEMKUMBA BASHIRU ALLY?
Acha wakulima waone na kusifia mazuri ya awamu ya 6 ambayo hapo nyuma hayajawahi kufanyika.
#MamaAnaupigaMwingi