Chuki na uchochezi wa Dr. Bashiru Ally kwa serikali ya Rais Samia

Chuki na uchochezi wa Dr. Bashiru Ally kwa serikali ya Rais Samia

Hii kaisema lini?
Kuna clip hii ya ngurumo, isikilize pia.


All in all I beg to differ with you. Samia hajafanya lolote la kuwasaidia wakulima, hapana. Usiwe chawa! Nadhani nawe unafaidi urais wa Samia na hivyo hivyo Bashiru alikuwa anafaidi urais wa Magufuli na kumsifia kama wewe unavyomsifia Samia.

Daudi Mchambuzi naomba usikilize clip hii kwa umakini, then naomba comment yako
 
CHUKI YA WAZI YA MBUNGE BASHIRU ALLY KWA SERIKALI YA MAMA SAMIA

CHUKI na Uchochezi hautakusaidia Dr. BASHIRU ALLY aliyewahi Kuwa Katibu Mkuu wa CCM.

Serikali ya awamu ya Sita chini ya Mhe. Rais SAMIA Suluhu Hassan imekuwa Mkombozi kwa wakulima nchini tunaona jinsi serikali inavyopambana katika kuwainua Wakulima kwa kutoa Mbolea za ruzuku, Kufuta tozo zilizokuwa KERO kwa wakulima nchini, Kutafuta masoko ya mazao Nje ya nchi tumeshuhudia kwa mara ya kwanza Maparachichi kuuzwa Moja kwa Moja Nchini China.. Sasa Hivi vyote unataka wakulima wasipongeze yanayofanyika. Hizi ni chuki za wazi kwa Mbunge BASHIRU ALLY kwa serikali ya awamu ya 6.

Tunakumbuka katika Serikali ya awamu ya 5 chini ya Hayati Magufuli huyu huyu BASHIRU Kila alipokuwa anahutubia hakuacha kusifia maziri ya Magufuli ila Leo nini KIMEMKUMBA BASHIRU ALLY?

Acha wakulima waone na kusifia mazuri ya awamu ya 6 ambayo hapo nyuma hayajawahi kufanyika.

#MamaAnaupigaMwingi
Haki za wakulima zinadaiwa kwa kuuza gunia 20,000?

Mkulima anakombolewa kwa kimkandamiza na kumfaidisha bwanyenye wa Mjini.

Eti Anaupiga mwingi 😂😂😂😂 kumbe jamaa bado anaumia kwa kupigwa chini..
 
Bashiri kwa sasa amerudia kuwa mjamaa. Anawahimiza wakulima waungane dhidi ya watawala wanyonyaji.

Haya anayotamka asingeweza kuyatamka enzi akiwa madhabahuni mwa awamu ya 5. Huyu mtu ni kigeugeu sana
Alilewa mvinyo wa madhabahuni enzi hizo (za shetani jiwe) hata akafikia kusema ccm itumie dola kubakia madarakani.

Sasa mvinyo umekauka anabwata na na kubwabwaja hovyo Mwanaizaya huyu
 
msiwe wepesi wa kutofikiri. Fikiri zaidi ya hapo please. Msikilize huyu anayefikiri zaidi ya mimi na wewe. Make a scientific analysis of these so called politicians! Sikiliza bashiru wa asilia ukiacha huu unafiki anaousema sasa

naomba comment yako please
Case closed
 
CHUKI YA WAZI YA MBUNGE BASHIRU ALLY KWA SERIKALI YA MAMA SAMIA

CHUKI na Uchochezi hautakusaidia Dr. BASHIRU ALLY aliyewahi Kuwa Katibu Mkuu wa CCM.

Serikali ya awamu ya Sita chini ya Mhe. Rais SAMIA Suluhu Hassan imekuwa Mkombozi kwa wakulima nchini tunaona jinsi serikali inavyopambana katika kuwainua Wakulima kwa kutoa Mbolea za ruzuku, Kufuta tozo zilizokuwa KERO kwa wakulima nchini, Kutafuta masoko ya mazao Nje ya nchi tumeshuhudia kwa mara ya kwanza Maparachichi kuuzwa Moja kwa Moja Nchini China.. Sasa Hivi vyote unataka wakulima wasipongeze yanayofanyika. Hizi ni chuki za wazi kwa Mbunge BASHIRU ALLY kwa serikali ya awamu ya 6.

Tunakumbuka katika Serikali ya awamu ya 5 chini ya Hayati Magufuli huyu huyu BASHIRU Kila alipokuwa anahutubia hakuacha kusifia maziri ya Magufuli ila Leo nini KIMEMKUMBA BASHIRU ALLY?

Acha wakulima waone na kusifia mazuri ya awamu ya 6 ambayo hapo nyuma hayajawahi kufanyika.

#MamaAnaupigaMwingi
Kiongozi dhaifu lazima aajiri mamluki wa kupigia debe mitandaoni na kwenye media za kichawa. Kizuri chajiuza ila kibaya hujitembeza
 
Bashiri kwa sasa amerudia kuwa mjamaa. Anawahimiza wakulima waungane dhidi ya watawala wanyonyaji.

Haya anayotamka asingeweza kuyatamka enzi akiwa madhabahuni mwa awamu ya 5. Huyu mtu ni kigeugeu sana
Huyu ni popo!
 
Wewe kwa akili yako ya kawaida unaona nchi inaendelea au inarudi nyuma? Twende mbele turudi nyuma,magufuli hakuwa malaika ila alifanya makubwa
makubwa ya kuuwa watu, makubwa ya kupora hela za watu, makubwa ya kumpiga lissu risasi, kifupi magufuli alikuwa mbwa kabisa na shetani
 
Na bado tutaona na kusikia mengi hadi kufika 2025 na bado Job nae anahasira sana na Wakuupiga mwingi
 
CHUKI YA WAZI YA MBUNGE BASHIRU ALLY KWA SERIKALI YA MAMA SAMIA

CHUKI na Uchochezi hautakusaidia Dr. BASHIRU ALLY aliyewahi Kuwa Katibu Mkuu wa CCM.

Serikali ya awamu ya Sita chini ya Mhe. Rais SAMIA Suluhu Hassan imekuwa Mkombozi kwa wakulima nchini tunaona jinsi serikali inavyopambana katika kuwainua Wakulima kwa kutoa Mbolea za ruzuku, Kufuta tozo zilizokuwa KERO kwa wakulima nchini, Kutafuta masoko ya mazao Nje ya nchi tumeshuhudia kwa mara ya kwanza Maparachichi kuuzwa Moja kwa Moja Nchini China.. Sasa Hivi vyote unataka wakulima wasipongeze yanayofanyika. Hizi ni chuki za wazi kwa Mbunge BASHIRU ALLY kwa serikali ya awamu ya 6.

Tunakumbuka katika Serikali ya awamu ya 5 chini ya Hayati Magufuli huyu huyu BASHIRU Kila alipokuwa anahutubia hakuacha kusifia maziri ya Magufuli ila Leo nini KIMEMKUMBA BASHIRU ALLY?

Acha wakulima waone na kusifia mazuri ya awamu ya 6 ambayo hapo nyuma hayajawahi kufanyika.

#MamaAnaupigaMwingi
Ndo mkome kununua WAPINZANI mkiamini mtanunua na UPINZANI ulio ndani ya NAFSI zao😠😠😠😠
 
Back
Top Bottom