Na wale waliotenda uhalifu dhidi ya raia toka 2016 watubu ili wasalimikeKauli ni kwamba kile kikosi kilichojimilikisha nchi kuanzia mtaa wa Swahili Arusha, Bomang'ombe Hai, Lugoba Chalinze, Mtama Lindi na barabara ya Shangani Mtwara wakitubu hadharani kwa maovu waliyotenda dhidi ya wananchi mwaka 2021 Mungu anaweza akafikiria kuepusha au kuahirisha Karma dhidi yao.
Raia gani?Na wale waliotenda uhalifu dhidi ya raia toka 2016 watubu ili wasalimike
Na wale waliotenda uhalifu dhidi ya raia toka 2016 watubu ili wasalimikeKauli ni kwamba kile kikosi kilichojimilikisha nchi kuanzia mtaa wa Swahili Arusha, Bomang'ombe Hai, Lugoba Chalinze, Mtama Lindi na barabara ya Shangani Mtwara wakitubu hadharani kwa maovu waliyotenda dhidi ya wananchi mwaka 2021 Mungu anaweza akafikiria kuepusha au kuahirisha Karma dhidi yao.
Waliopigwa risasi hadharani, waliofilisiwa, walioporwa haki ya kuchagua viongozi baada ya kuporwa mchakato wa uchaguzi 2020. WaliouliwaRaia gani?
Kwenye andiko lako ushatoa majibu... Na maelekezo ya nini kifanyike!Aisee hali ni tete ndani ya kile chama kilichotamba kwa miaka mingi kuwa ni chama chenye umoja, mshikamano, chenye kuheshimu utu na watu.
Sasa ni mambo ya kuviziana tu. Imefika mahali mwwnachama huyu anataka mwanachama mwenzake afe.
Hii si jambo la kuhendekeza hata kidogo. Chuki na uhasama vimepamba moto.
Ni ccm vs ccm. Wanachogombania ni kile kile
a/ Mgawanyo wa madaraka usio linganifu, hawa wanadae wale wanapewa sana kuliko sisi.
b/ Upendeleo ktk kutoa fursa sawa za kiuchumi. Kundi moja linadhani linafaidi uchumi wa nchi kuliko lingine.
c/ Ndani ya chama upendeleo umezidi kiasi mmoja anaona anamdhulmu mwingine. Inafika hatua sasa hata wajumbe wenye mashina yao wanaowafahamu wagombea wao vizuri hawapewi nafasi ya kupendekeza mgombea sahihi badala yake mgombea anachaguliwa kutoka juu( hili tulionya sasa matunda yake yamekomaa). Mtalinywa.
Matukio yaliyotokea hivi karibuni yameibua hisia za ajabu sana. Kwetu sisi watazamaji tunaona jambo hili sio sawa.
Wote ni wa chama kimoja lakini wanasagiana kunguni kama hawajuani. Kila mmoja anamuona mwenzake ni shetani.
Matukio ya Kufariki Hayati Dr Magufuli, Kufungwa Sabaya, Kushtakiwa Musiba na Kifo cha Membe nadhani Deep statw mnaona kinachoendelea na mnajua solution ni nini. Msijifanye hamuoni. Taifa litatumbukia.
Sasa imefika kuna kundi linaona halina cha kupoteza lolote na liwe ilimradi litaumiza mahasimu bila kujali taifa litaathirika.
Mh Rais kama maridhiano basi yaanze ndani ya chama chako hali ni mbaya. Kuanzia viongozi wa juu hadi wanachama wakawaida.
Nimepitia social media naona wanavyosagiana kunguni najiuliza hawa woote si wachama kimoja?
Kama wanafanyiana hivi je itakuwaje kwa mtu mwenye itikadi tofauti nao?
Je shida ni maslahi? Ni Umaskini? Ni maisha magumu au ni ujinga??
Au kuna mtu anapandikiza haya?
Awamu gani hayo hayakutokea?poleni Kwa msiba lakiniWaliopigwa risasi hadharani, waliofilisiwa, walioporwa haki ya kuchagua viongozi baada ya kuporwa mchakato wa uchaguzi 2020. Waliouliwa
Muovu akitendewa uovu anaumia sana!Kauli ni kwamba kile kikosi kilichojimilikisha nchi kuanzia mtaa wa Swahili Arusha, Bomang'ombe Hai, Lugoba Chalinze, Mtama Lindi na barabara ya Shangani Mtwara wakitubu hadharani kwa maovu waliyotenda dhidi ya wananchi mwaka 2021 Mungu anaweza akafikiria kuepusha au kuahirisha Karma dhidi yao.
Weka RB za polisi na CrC za mahakama ulikoenda kushitaki ili haki ipatikane kwa tuhuma hizo hewa ziko wapi? Weka hapa ushahidi wote kila mmoja achambue na kutathimini ukweli wakoWaliopigwa risasi hadharani, waliofilisiwa, walioporwa haki ya kuchagua viongozi baada ya kuporwa mchakato wa uchaguzi 2020. Waliouliwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mzee makamba alisahau kumuombea membe naye awemo kwenye lile kundi la wasiokufa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Walipokuwa wanatudhuru hawakujua sisi ni watanzania wenzao? Wauane haraka
Acha wadundane,...Mungu anataka kutengeneza Nchi baada ya Manundu.Aisee hali ni tete ndani ya kile chama kilichotamba kwa miaka mingi kuwa ni chama chenye umoja, mshikamano, chenye kuheshimu utu na watu.
Sasa ni mambo ya kuviziana tu. Imefika mahali mwwnachama huyu anataka mwanachama mwenzake afe.
Hii si jambo la kuhendekeza hata kidogo. Chuki na uhasama vimepamba moto.
Ni ccm vs ccm. Wanachogombania ni kile kile
a/ Mgawanyo wa madaraka usio linganifu, hawa wanadae wale wanapewa sana kuliko sisi.
b/ Upendeleo ktk kutoa fursa sawa za kiuchumi. Kundi moja linadhani linafaidi uchumi wa nchi kuliko lingine.
c/ Ndani ya chama upendeleo umezidi kiasi mmoja anaona anamdhulmu mwingine. Inafika hatua sasa hata wajumbe wenye mashina yao wanaowafahamu wagombea wao vizuri hawapewi nafasi ya kupendekeza mgombea sahihi badala yake mgombea anachaguliwa kutoka juu( hili tulionya sasa matunda yake yamekomaa). Mtalinywa.
Matukio yaliyotokea hivi karibuni yameibua hisia za ajabu sana. Kwetu sisi watazamaji tunaona jambo hili sio sawa.
Wote ni wa chama kimoja lakini wanasagiana kunguni kama hawajuani. Kila mmoja anamuona mwenzake ni shetani.
Matukio ya Kufariki Hayati Dr Magufuli, Kufungwa Sabaya, Kushtakiwa Musiba na Kifo cha Membe nadhani Deep statw mnaona kinachoendelea na mnajua solution ni nini. Msijifanye hamuoni. Taifa litatumbukia.
Sasa imefika kuna kundi linaona halina cha kupoteza lolote na liwe ilimradi litaumiza mahasimu bila kujali taifa litaathirika.
Mh Rais kama maridhiano basi yaanze ndani ya chama chako hali ni mbaya. Kuanzia viongozi wa juu hadi wanachama wakawaida.
Nimepitia social media naona wanavyosagiana kunguni najiuliza hawa woote si wachama kimoja?
Kama wanafanyiana hivi je itakuwaje kwa mtu mwenye itikadi tofauti nao?
Je shida ni maslahi? Ni Umaskini? Ni maisha magumu au ni ujinga??
Au kuna mtu anapandikiza haya?
Awamu ipi walikuwa wanapigwa risasi na kutekwa na wasiojulikana?Awamu gani hayo hayakutokea?poleni Kwa msiba lakini
Kwa wapuuzi wenye hoja za kipumbavu. Wako wapi akina Ben Saanane?Weka RB za polisi na CrC za mahakama ulikoenda kushitaki ili haki ipatikane kwa tuhuma hizo hewa ziko wapi? Weka hapa ushahidi wote kila mmoja achambue na kutathimini ukweli wako
Hao wanao jiita usalama wa taifa wangekuwa wanafanya majukumu yao kama wanavyo takiwa mambo mengi sana yangekuwa yanamalizwa kablabya kutokea lakin kwa kuwa nao wamekuwa wafuasi wa watu na sio taifa ndio maana tutaona vituko haswaa na wao wakiwepoAisee hali ni tete ndani ya kile chama kilichotamba kwa miaka mingi kuwa ni chama chenye umoja, mshikamano, chenye kuheshimu utu na watu.
Sasa ni mambo ya kuviziana tu. Imefika mahali mwwnachama huyu anataka mwanachama mwenzake afe.
Hii si jambo la kuhendekeza hata kidogo. Chuki na uhasama vimepamba moto.
Ni ccm vs ccm. Wanachogombania ni kile kile
a/ Mgawanyo wa madaraka usio linganifu, hawa wanadae wale wanapewa sana kuliko sisi.
b/ Upendeleo ktk kutoa fursa sawa za kiuchumi. Kundi moja linadhani linafaidi uchumi wa nchi kuliko lingine.
c/ Ndani ya chama upendeleo umezidi kiasi mmoja anaona anamdhulmu mwingine. Inafika hatua sasa hata wajumbe wenye mashina yao wanaowafahamu wagombea wao vizuri hawapewi nafasi ya kupendekeza mgombea sahihi badala yake mgombea anachaguliwa kutoka juu( hili tulionya sasa matunda yake yamekomaa). Mtalinywa.
Matukio yaliyotokea hivi karibuni yameibua hisia za ajabu sana. Kwetu sisi watazamaji tunaona jambo hili sio sawa.
Wote ni wa chama kimoja lakini wanasagiana kunguni kama hawajuani. Kila mmoja anamuona mwenzake ni shetani.
Matukio ya Kufariki Hayati Dr Magufuli, Kufungwa Sabaya, Kushtakiwa Musiba na Kifo cha Membe nadhani Deep statw mnaona kinachoendelea na mnajua solution ni nini. Msijifanye hamuoni. Taifa litatumbukia.
Sasa imefika kuna kundi linaona halina cha kupoteza lolote na liwe ilimradi litaumiza mahasimu bila kujali taifa litaathirika.
Mh Rais kama maridhiano basi yaanze ndani ya chama chako hali ni mbaya. Kuanzia viongozi wa juu hadi wanachama wakawaida.
Nimepitia social media naona wanavyosagiana kunguni najiuliza hawa woote si wachama kimoja?
Kama wanafanyiana hivi je itakuwaje kwa mtu mwenye itikadi tofauti nao?
Je shida ni maslahi? Ni Umaskini? Ni maisha magumu au ni ujinga??
Au kuna mtu anapandikiza haya?
sina makasiriko mkuuMkuu mbona makasiriko mengi sana nini Tatizo 😊🤓
Aisee hali ni tete ndani ya kile chama kilichotamba kwa miaka mingi kuwa ni chama chenye umoja, mshikamano, chenye kuheshimu utu na watu.
Sasa ni mambo ya kuviziana tu. Imefika mahali mwwnachama huyu anataka mwanachama mwenzake afe.
Hii si jambo la kuhendekeza hata kidogo. Chuki na uhasama vimepamba moto.
Ni ccm vs ccm. Wanachogombania ni kile kile
a/ Mgawanyo wa madaraka usio linganifu, hawa wanadae wale wanapewa sana kuliko sisi.
b/ Upendeleo ktk kutoa fursa sawa za kiuchumi. Kundi moja linadhani linafaidi uchumi wa nchi kuliko lingine.
c/ Ndani ya chama upendeleo umezidi kiasi mmoja anaona anamdhulmu mwingine. Inafika hatua sasa hata wajumbe wenye mashina yao wanaowafahamu wagombea wao vizuri hawapewi nafasi ya kupendekeza mgombea sahihi badala yake mgombea anachaguliwa kutoka juu( hili tulionya sasa matunda yake yamekomaa). Mtalinywa.
Matukio yaliyotokea hivi karibuni yameibua hisia za ajabu sana. Kwetu sisi watazamaji tunaona jambo hili sio sawa.
Wote ni wa chama kimoja lakini wanasagiana kunguni kama hawajuani. Kila mmoja anamuona mwenzake ni shetani.
Matukio ya Kufariki Hayati Dr Magufuli, Kufungwa Sabaya, Kushtakiwa Musiba na Kifo cha Membe nadhani Deep statw mnaona kinachoendelea na mnajua solution ni nini. Msijifanye hamuoni. Taifa litatumbukia.
Sasa imefika kuna kundi linaona halina cha kupoteza lolote na liwe ilimradi litaumiza mahasimu bila kujali taifa litaathirika.
Mh Rais kama maridhiano basi yaanze ndani ya chama chako hali ni mbaya. Kuanzia viongozi wa juu hadi wanachama wakawaida.
Nimepitia social media naona wanavyosagiana kunguni najiuliza hawa woote si wachama kimoja?
Kama wanafanyiana hivi je itakuwaje kwa mtu mwenye itikadi tofauti nao?
Je shida ni maslahi? Ni Umaskini? Ni maisha magumu au ni ujinga??
Au kuna mtu anapandikiza haya?
Nyie makamanda uchwara subirini siku yule jamaa anayechechemea afe ndio mtajua hamjui. Msianze kujitetea mapema😂😂Aisee hali ni tete ndani ya kile chama kilichotamba kwa miaka mingi kuwa ni chama chenye umoja, mshikamano, chenye kuheshimu utu na watu.
Sasa ni mambo ya kuviziana tu. Imefika mahali mwwnachama huyu anataka mwanachama mwenzake afe.
Hii si jambo la kuhendekeza hata kidogo. Chuki na uhasama vimepamba moto.
Ni ccm vs ccm. Wanachogombania ni kile kile
a/ Mgawanyo wa madaraka usio linganifu, hawa wanadae wale wanapewa sana kuliko sisi.
b/ Upendeleo ktk kutoa fursa sawa za kiuchumi. Kundi moja linadhani linafaidi uchumi wa nchi kuliko lingine.
c/ Ndani ya chama upendeleo umezidi kiasi mmoja anaona anamdhulmu mwingine. Inafika hatua sasa hata wajumbe wenye mashina yao wanaowafahamu wagombea wao vizuri hawapewi nafasi ya kupendekeza mgombea sahihi badala yake mgombea anachaguliwa kutoka juu( hili tulionya sasa matunda yake yamekomaa). Mtalinywa.
Matukio yaliyotokea hivi karibuni yameibua hisia za ajabu sana. Kwetu sisi watazamaji tunaona jambo hili sio sawa.
Wote ni wa chama kimoja lakini wanasagiana kunguni kama hawajuani. Kila mmoja anamuona mwenzake ni shetani.
Matukio ya Kufariki Hayati Dr Magufuli, Kufungwa Sabaya, Kushtakiwa Musiba na Kifo cha Membe nadhani Deep statw mnaona kinachoendelea na mnajua solution ni nini. Msijifanye hamuoni. Taifa litatumbukia.
Sasa imefika kuna kundi linaona halina cha kupoteza lolote na liwe ilimradi litaumiza mahasimu bila kujali taifa litaathirika.
Mh Rais kama maridhiano basi yaanze ndani ya chama chako hali ni mbaya. Kuanzia viongozi wa juu hadi wanachama wakawaida.
Nimepitia social media naona wanavyosagiana kunguni najiuliza hawa woote si wachama kimoja?
Kama wanafanyiana hivi je itakuwaje kwa mtu mwenye itikadi tofauti nao?
Je shida ni maslahi? Ni Umaskini? Ni maisha magumu au ni ujinga??
Au kuna mtu anapandikiza haya?
Awamu ya Kikwete, wengine walipigwa mabomu wakasambaratika, wengine walipigwa wakapelekwa msituni, wengi tu walipigwa. Huu ni mwanzo kwa nyie wauaji, mafisadi, watu wa Team Ile ya Pwani. Naamini huu ni mwanzo tu kwa waliosababisha kufariki kwa Magufuli.Awamu ipi walikuwa wanapigwa risasi na kutekwa na wasiojulikana?
Mnajificha kwenye lundo la oxygen msionekane?
Wewe mpuuzi mimi siyo CCM na sijawahi kuwa na laana ya kuwa CCM, ila dikteta Magufuli alikuwa na kikundi cha wasiojulikana. Ukatili wa kutisha kuvunja katiba kwa kuzuia shughuli halali za kisiasa, wapinzani kupigwa kuuliwa na kunyimwa haki zao na kufilisiwa.Awamu ya kikwete wengine walipigwa mabomu wakasambaratika,wengine walipigwa wakapelekwa msituni wengi tu walipigwa.huu ni mwanzo Kwa nyie wauaji,mafisadi watu wa Team Ile ya pwani naamini huu ni mwanzo Tu Kwa waliosababisha kufariki Kwa Magu.