Chuki ya Mama Diamond dhidi ya Zari

Aahh tatizo ile familia uswahili mwingiiiii,kila mwanamke mbaya khaa wema walimsema na huyu naye mbaya? Kama sio wao wenye matatizo ni nini?
 
Umenitamanisha kuwa mme wako, unajua nini maana ya kuwa mke bora.
 
Aahh tatizo ile familia uswahili mwingiiiii,kila mwanamke mbaya khaa wema walimsema na huyu naye mbaya? Kama sio wao wenye matatizo ni nini?
Familia ile ilimkubali Penny tu, bahati mbaya kijana wao hakuwa amekolea kwa Penny, sijui familia hii inataka diamond amtelekeze Zari kama alivyotelekezwa yeye mwenyewe diamond ndo iwe furaha yao!!!!!
 
Familia ile ilimkubali Penny tu, bahati mbaya kijana wao hakuwa amekolea kwa Penny, sijui familia hii inataka diamond amtelekeze Zari kama alivyotelekezwa yeye mwenyewe diamond ndo iwe furaha yao!!!!!
Ile familia jiiipppuuuu nawapa pole wanao jiingiza humo wanajichimbia kaburi wenyeweee
 
Reactions: nao
Bado hawajaoana hao
 
Sasa jamaa KM anayo pesa si mjengee mama yake nyumba kuliko kukaa wote
 
Reactions: nao
Na mama yake Ronaldo naye ni wivu?nyie acheni mama kamhangaikia mwanae,halafu anakuja mwanamke anaetafuta maslahi tu,mama utakaa kimya?Zari ana matatizo maana hata wazazi wa Ivan hawampendi Zari,Zari ni selfish sana
Sio mama diamond pekee aliyehangaika na mwanae karibu wa mama wengi huhangaikia watoto wako.
Kuhangaika isiwe sababu coz ilikua wajibu wake kama mzazi kumlea mtoto,Yawezekana pia Zari kweli akawa na matatizo lakini tayari alishakua mzazi mwenzie na mwanae je amtelekeze?
Huoni diamond nae atakua amefuata mlemle alimopita babake? Kwa sababu hatujui babake diamond kwa nini alimwa mama diamond pengine nae alikua na tatizo.
Wivu hauna mzungu, mwafrika au mwarabu wivu ni wivu tu why huyu mama kila mwanamke wa diamond huonekana anashida kwake? Tukubali naye anatatizo sio bure.
 
Watu wanasema amemuangaikia mwanae Kwani kuna mzazi asiemwangaikia mwanae. Ila inafika mahali unamwacha amove on.
 
Watu wanasema amemuangaikia mwanae Kwani kuna mzazi asiemwangaikia mwanae. Ila inafika mahali unamwacha amove on.
Yaani ndo nashangaa,huyu mama amekua mtu wa kwanza hapa duniani kuhangaikia mtoto hahaha jamani alihangaikaje kwanza tofauti na wamama wengine kibao waliotelekezewa watoto wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…