Chuki ya Martin Luther kwa Wayahudi ilivyosababisha holocaust

Ukweli ni kwamba wana shida ndio maana hawatakiwi popote duniani. wanajificha kwenye kichaka cha dini.
Haiwezekani taifa likawa kwenye crisis afu nyie mkawa mnajinufaisha hii sio Chuki in my books.
Taifa lilofukuzwa mpaka Tanzania hilo lina shida aseee....
 
wana shida gani? taja hata moja tu. ni sawa tu na wachaga Tanzania popote tunapoenda mnatuona wezi na wapenda pesa, tukiwauliza tumewaibia nini? hamna jibu kumbe wivu wa mafanikio tu. sehemu zote wayahudi wameenda walikuwa wageni na walikuwa wanapambana na kufanikiwa kuliko wenyeji, then wanaanza kuchukiwa. taja nchi gani walienda wakasababisha shida badala ya wao kusababishiwa shida. nakutajia nchi nyingi waliko:
1. marekani
2. ujerumani
3.poland
4. Austria
5. Australia and New zealand
6. Ufaransa
7. algeria,morrocco,egypt
8. south africa
9. therest of the whole europe
10. arab countries
11. india
 
Uelewe anachosema jamaa hao Wayahudi feki mnaowaita wayahudi , wayahudi halisi hawana hayo mambo ya kishetani
wayahudi halisi wapo wapi? na kwanini unawaita hao ni feki? na wewe basi ni feki.
 
HIyo mentality ya "Wachaga tumeendelea" inanifanya nihitimishe mazungumzo na wewe.
 
Bado haujathibitisha chuki ya Martin Luther kwa Wayahudi.

Kwani kumuita mtu muongo ni kumchukia?

Mere allegations
Ukiachana na ushabiki wa dini ukafungua akili yako ungeelewa kilichoandikwa ndani ya hicho kitabu.

Now days kuna AI, jaribu hata kuuuliza chatgpt uhusiano wa Luther na wayahudi utapata jibu, mana unaona sisi tuko biased
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…