Chuki ya siasa mbaya sana kwa nini ulazimishe kuwaongoza

Kwani wewe form yako ya kugombea uenyekiti imeenguliwa kwa sababu zipi mkuu?
 
Uongozi kiroho ni baraka unapofanya hira kuiba BARAKA ya MTU hutabaki salama,
View attachment 3147614
wewe ulishaambiwa kabisa kugombea nafasi ya uenyekiti Taifa ni sawa na kuonja sumu kwa ulimi, wewe unajitia kimbelembele, kwamba wewe ni hodari, jasiri na bora zaidi na mjeuri sana right?

zingatia histori gentleman tutakusahau.

Halafu uzi tu umekosea kuandika hivyo, fomu ya kugombea si ndio utakua umekosea zaidi gentleman 🐒
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…