Chuki za ccm dhidi ya upinzani tanzania kusababisha victor Wanyama kumkosesha Raila kura?

Chuki za ccm dhidi ya upinzani tanzania kusababisha victor Wanyama kumkosesha Raila kura?

jogi

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2010
Posts
25,556
Reaction score
25,342
Ni wazi kuwa Victor Wanyama anacheza soka uingereza EPL kwa timu bora kabisa ya Totenham Hotspurs, mafanikio yake ni furaha ya wana afrika mashariki kwa ujumla.

Akitembelea tanzania Victor Wanyama alihudhuria mechi ya mtaani iliyokuwa ya kukata na shoka.
Kitendo hicho kiliwafurahisha wenye mamlaka na manispaa ya ubungo na kupitia utaratibu rasmi chini ya mamlaka waliyokuwa nayo kisheria walimtunuku Victor Wanyama jina kwa mtaa mmoja maeneo ya manispaa ya ubungo.

Mayor wa Ubungo aliyetekeleza kutaja mtaa huo anatoka chama cha chadema ambacho ccm inaota usiku na mchana kife. Chadema inayomuunga mkono Uhuru Kenyata.

Ccm kupitia mkuu wa mkoa wametumia ubabe kubatilisha jina la mtaa wa Victor Wanyama.

Kwa kuwa Victor Wanyama anaheshimika sana nchini kwake Kenya, kitendo cha ccm inayomuunga mkono Raila Odinga (Magufuli's personal friend) kumdharau Victor Wanyama hadharani hakuwezi kumpunguzia uungwaji mkono Raila Odinga swaiba wa Magufuli na ccm yake?
 
5ee8b26c0509200e3316e4f98ae16f53.jpg
 
Aisei!! Hizi chuki za kisiasa zinasababisha aibu hadi nahisi kuficha uso, sasa bango mumelitupia mbali..... Miafrika bana.
 
Kwahio wametoa Hilo jina la bango . ? CCM Ni maintarahamwe.
 
Meya wa Chadema ndio kamdhalilisha kwa kutofuata utaratibu....
 
  • Thanks
Reactions: bdo
Aisei!! Hizi chuki za kisiasa zinasababisha aibu hadi nahisi kuficha uso, sasa bango mumelitupia mbali..... Miafrika bana.
Tuna tatizo kubwa mkuu, ni aibu aibu, utawala awamu hii ni aibu...tupu, vitu vya kitoto kabisa, sitaacha kuusema ukweli.
 
Wakati mnajishebedua kumpa Wanyama mtaa huko border ya Namanga upande wa Kenya watanzania wamefukuzwa kwa sababu za ajabu tu.
 
Kwahio wametoa Hilo jina la bango . ? CCM Ni maintarahamwe.
Mbwana Samata alikuwa ameandaliwa mtaa wake ambo ni mrefu tu 800m, Lakini yeye nadhani akajipa usuper star au pengine alikuwa na genuine reason, hakutoke kwenye fainali za ndondo cup (soka lenye ladha ya kitaani kwetu) hivyo heshima hiyo ikaahirishwa kwake.
 
Watanzania wengi ni wapumbavu tu.

Wakati mnajishebedua kumpa Wanyama mtaa huko border ya Namanga upande wa Kenya watanzania wamefukuzwa kwa sababu za kipumbavu tu.
Kwa hiyo ulitaka magufuli akampige kabali Uhuru!!
Wimbo wa taifa ungepigwa mchana.
Chezea Uhuru weye!!!!
 
Back
Top Bottom