Chuki za ccm dhidi ya upinzani tanzania kusababisha victor Wanyama kumkosesha Raila kura?

Chuki za ccm dhidi ya upinzani tanzania kusababisha victor Wanyama kumkosesha Raila kura?

Kenya mmelipokeaje jambo hili towards uchaguzi ambao raila anaungwa mkono na waliong'oa bango?
Theorist, hebu thibitisha hapa? Wakenya wana maamuzi yao kuhusu nani awaongoze, wakenya sio nyumbu!
 
Sawasawa magonjwa,nyangau amekusikia,haina haja kabsa wewe ukatokwa na mishipa shingoni ukijibizana na wakenya.Vidonda vya tumbo ukishapata ni stress jombaa!Manispaa ni yenu Meya ni wenu,nchi ni yenu.Lakini,hivi unaelewa lori linavoendeshwa wewe?
Inawezekana unatekenywa, ya Tanzania waachie wantanzania wenyewe, jiandae kupiga kura.
 
Kweli,acha tujadili za Victor Mugubil Wanyama,endeleeni na movie zenu!
 
Theorist, hebu thibitisha hapa? Wakenya wana maamuzi yao kuhusu nani awaongoze, wakenya sio nyumbu!
Kuna wamama wanahasara duniani jamani!!! Khaaah! Sio kwa mataputapu haya.
 
Ni wazi kuwa Victor Wanyama anacheza soka uingereza EPL kwa timu bora kabisa ya Totenham Hotspurs, mafanikio yake ni furaha ya wana afrika mashariki kwa ujumla.

Akitembelea tanzania Victor Wanyama alihudhuria mechi ya mtaani iliyokuwa ya kukata na shoka.
Kitendo hicho kiliwafurahisha wenye mamlaka na manispaa ya ubungo na kupitia utaratibu rasmi chini ya mamlaka waliyokuwa nayo kisheria walimtunuku Victor Wanyama jina kwa mtaa mmoja maeneo ya manispaa ya ubungo.

Mayor wa Ubungo aliyetekeleza kutaja mtaa huo anatoka chama cha chadema ambacho ccm inaota usiku na mchana kife. Chadema inayomuunga mkono Uhuru Kenyata.

Ccm kupitia mkuu wa mkoa wametumia ubabe kubatilisha jina la mtaa wa Victor Wanyama.

Kwa kuwa Victor Wanyama anaheshimika sana nchini kwake Kenya, kitendo cha ccm inayomuunga mkono Raila Odinga (Magufuli's personal friend) kumdharau Victor Wanyama hadharani hakuwezi kumpunguzia uungwaji mkono Raila Odinga swaiba wa Magufuli na ccm yake?
UKIWA MJIFUNZE KUFUATA TARATIBU....... MAYOR HANA MAMLAKA YA KUTOA MAJINA YA MITAA..... jinsi mnavyopauka CHADEMA wananchi wanaendelea kuumia....Rudini kwenye UTAMADUNI WA ZAMANI...
 
UKIWA MJIFUNZE KUFUATA TARATIBU....... MAYOR HANA MAMLAKA YA KUTOA MAJINA YA MITAA..... jinsi mnavyopauka CHADEMA wananchi wanaendelea kuumia....Rudini kwenye UTAMADUNI WA ZAMANI...
The god must be crazy
 
Hapana! Nilikumbusha arrogance ya magufail kwa matajiri.

I think tatizo sio arrogance ya Magufuli, isipokuwa ni procedural matters, jana usiku nimetizama BBC Dira ya Dunia, kumbe hata wenye mtaa hawajashirikishwa kuhusu uamuzi wa mtaa wao kupewa jina hilo. So inaonekana as if ni kikukundi cha watu wachache au mtu mmoja kwa emotion zake aliamua hili jambo.

And of course kwa sheria namba 8 ya mwaka 1982 ya Seriakali za mitaa, ni step moja tu ndio imefanyika lakini zingine zote zimekuwa skipped out!

Kwa upande wangu naona mh Mayor wa Manispaa ya Ubungo na watu wake (mwenyekiti wa Mtaa na mtendaji wa mtaa) wametutia aibu na wamemtia aibu Victor Wanyama.

Victor Wanyama Street in Tanzania axed after a day - BBC News

Magufuli yupo clear sana, hana chuki na matajili isipokuwa anataka watu wote wafuate sheria na taratibu za nchi, that's all, jambo ambalo Mayor Jacob na watu wake hawakulifanya.
 
I think tatizo sio arrogance ya Magufuli, isipokuwa ni procedural matters, jana usiku nimetizama BBC Dira ya Dunia, kumbe hata wenye mtaa hawajashirikishwa kuhusu uamuzi wa mtaa wao kupewa jina hilo. So inaonekana as if ni kikukundi cha watu wachache au mtu mmoja kwa emotion zake aliamua hili jambo.

And of course kwa sheria namba 8 ya mwaka 1982 ya Seriakali za mitaa, ni step moja tu ndio imefanyika lakini zingine zote zimekuwa skipped out!

Kwa upande wangu naona mh Mayor wa Manispaa ya Ubungo na watu wake (mwenyekiti wa Mtaa na mtendaji wa mtaa) wametutia aibu na wamemtia aibu Victor Wanyama.

Victor Wanyama Street in Tanzania axed after a day - BBC News

Magufuli yupo clear sana, hana chuki na matajili isipokuwa anataka watu wote wafuate sheria na taratibu za nchi, that's all, jambo ambalo Mayor Jacob na watu wake hawakulifanya.
Upo sahihi,
Nadhani kulikuwa na Namna ya Kuliweka hili vizuri, Not This Way..
Nimeona jinsi hili tukio lilivyoipa nchi Milage kwenye Diplomasia na Utalii pia..
Magazeti ya Uingereza yaliweka headlines za hii ishu,
Plus mitandao mikubwa ikiwemo Goal.com na official Website ya Tottenham iliweka hii news, Mastaa wengi pia walitweet hii kitu..
Lakini what happened the day after nilitamani hata nikajifiche Uvunguni. Hawa kina Bashite ni viumbe wa hovyo sana, Brainwashed, Vichwa Zao hazina content

wametuvua nguo aisee.
 
mtoa mada sina shaka utakuwa umepandwa na malaria ya kichwai,yani kajambo hako tu ndio unakahusisha na siasa za kenya,kweli wewe ni buree kabisa
 
mtoa mada sina shaka utakuwa umepandwa na malaria ya kichwai,yani kajambo hako tu ndio unakahusisha na siasa za kenya,kweli wewe ni buree kabisa
Una haki pia kuwa mjinga!!
 
Back
Top Bottom