Chuki za ccm dhidi ya upinzani tanzania kusababisha victor Wanyama kumkosesha Raila kura?

Chuki za ccm dhidi ya upinzani tanzania kusababisha victor Wanyama kumkosesha Raila kura?

Kwa hili watanzania tumejiaibisha sana iv kulikua hakuna jinsi ya kuhandle hiyo hali hata kama taratibu zilikosewa kufuatwa mbona ilikua ni ishu ndogo wala isingeweza kuharibu kitu chochote zaid ya kuzid kujiweka vizuri kidiplomasia!!!?? Iv hata yeye mwenyewe Wanyama au celebrity mwingine yoyote akisikia sidhan kama atakua na hamu ya kuja kwenye event nyingine yoyote.Tuachen kuingiza siasa kwenye mambo mengine yasiyo paswa na hii ni kwa wote si upinzan si ccm yan kiukweli nimeudhika sana na hili.
 
Kwa hili watanzania tumejiaibisha sana iv kulikua hakuna jinsi ya kuhandle hiyo hali hata kama taratibu zilikosewa kufuatwa mbona ilikua ni ishu ndogo wala isingeweza kuharibu kitu chochote zaid ya kuzid kujiweka vizuri kidiplomasia!!!?? Iv hata yeye mwenyewe Wanyama au celebrity mwingine yoyote akisikia sidhan kama atakua na hamu ya kuja kwenye event nyingine yoyote.Tuachen kuingiza siasa kwenye mambo mengine yasiyo paswa na hii ni kwa wote si upinzan si ccm yan kiukweli nimeudhika sana na hili.
Eti ndio inaimbwa kila siku kuwa vijana wapewe nafasi ya kuongoza nchi . . ?!

Vijana hawa akina Bashite na Mgambo . . ?!

Aibu ya Magufuli . . , ptuu . . !
 
Watanzania wengi ni wapumbavu tu.

Wakati mnajishebedua kumpa Wanyama mtaa huko border ya Namanga upande wa Kenya watanzania wamefukuzwa kwa sababu za kipumbavu tu.
Kwa hiyo kung'oa bango lililoandikwa V. WANYAMA STREET ndio suluhisho la watanzania wanaofukuzwa huko Namanga?
 
Wakampe mtaa kwao huko(Kenya),asipewe mtaa kibadeni,gagarino,mogela na wengine wengi wazawa apewe yeye kalifanyia nini taifa? Akwende zake huko.
 
Poor CCM

Hawa wasomi wetu huwa ni Wako vizuri sana, Lakini Mara tu wanapokuwa Ndani Ya CCM uwezo wao wa Kufikiri na kuamua mambo unashuka sana.
CCM ni Chama kilichozeeka na kisicho na Maono yoyote.
 
Watanzania wengi ni wapumbavu tu.

Wakati mnajishebedua kumpa Wanyama mtaa huko border ya Namanga upande wa Kenya watanzania wamefukuzwa kwa sababu za kipumbavu tu.
Trust me,
Wanasiasa ndio Chanzo cha hizi migogoro isiyo na Maana.
Nimeshakuwa Kenya na Nina marafiki Lukuki wa Kenya.
Wananchi wa Mataifa haya hawana shida kabisa. Ni hawa small minded Leaders wanatengeneza hizi unneeded.

Wasanii na wanamichezo wamekuwa wakijitahidi sana kuunganisha watu lakini ukija upande wa wanasiasa ni hawana maono.
 
Mi mgeni daisalama.
Nimeshakwambia nenda sasa pale ilala boma.
Kwa hiyo ukimshitaki mahakamani Bashite utamwambia hakimu aende Ilala boma akamtafute kwa kuita kwa sauti kubwa "Bashite zero brain"? Vijana wa bavicha mnayo kazi wallahi.
 
Kuna uwezekano ndondo cup ikafutwa kwa upuuzi huu unaoingiza siasa kwenye vitu vidogo kama hivi..
 
Clouds wajiangalie sana, wasikubali kujiingiza katika vita ya kisiasa, wao kama waratibu wa Ndondo cup ndio walitakiwa wafanye hili chini ya usamamizi wa serikali ya mtaa na kata, kuwakaribisha kina Jacob ndio kumechafua hali ya hewa. Kuna uwezekano mkubwa Ndondo cup ikazidi kupoteza umaarufu wake.
 
  • Thanks
Reactions: bdo
Back
Top Bottom