Chuki za ccm dhidi ya upinzani tanzania kusababisha victor Wanyama kumkosesha Raila kura?

Chuki za ccm dhidi ya upinzani tanzania kusababisha victor Wanyama kumkosesha Raila kura?

Utabaki unazunguka hivyo hivyo hadi unazeeka.
Picha yake hii hapa, amebebwa na dady yake.
Screenshot_20170606-213928.jpg
 
Tutarajie kuona mengi ambayo tulikuwa hatuyajui kuyaona!
 
Negative limelight for No apparent reason...... Huu ni mchezo wa cha mama... Longolongo
Sasa tunaomba perspective ya wakenya kwenye hili jambo kama heading inavyouliza, kutakuwa na impact yoyote huko kwa wapiga kura?
 
UPuuzi mtupu zero kabisa,wanyama anaheshimiwa na nani.
Sio ajabu kwenu, maana matajiri wanatafsiriwa kuwa ni wezi!!

Wanyama anakunja Great Britain Pounds 70,000 kwa wiki, mentality ya bashite inasurgest kuwa jamaa anauza unga!!!
 
Aisei!! Hizi chuki za kisiasa zinasababisha aibu hadi nahisi kuficha uso, sasa bango mumelitupia mbali..... Miafrika bana.
Kenya mmelipokeaje jambo hili towards uchaguzi ambao raila anaungwa mkono na waliong'oa bango?
 
Mahakama za Tanzania vivo hivyo. Sasa wewe kama hutaki nenda kajinyonge na huyo meya wako. Kama huyo meya anataka haki aende mahakamani na sio vinginevyo. Umesinikia wewe nyang'au?
Sawasawa magonjwa,nyangau amekusikia,haina haja kabsa wewe ukatokwa na mishipa shingoni ukijibizana na wakenya.Vidonda vya tumbo ukishapata ni stress jombaa!Manispaa ni yenu Meya ni wenu,nchi ni yenu.Lakini,hivi unaelewa lori linavoendeshwa wewe?
 
Sawasawa magonjwa,nyangau amekusikia,haina haja kabsa wewe ukatokwa na mishipa shingoni ukijibizana na wakenya.Vidonda vya tumbo ukishapata ni stress jombaa!Manispaa ni yenu Meya ni wenu,nchi ni yenu.Lakini,hivi unaelewa lori linavoendeshwa wewe?
Acha kuongea upuuzi ukitaka kuheshimika.
 
Maccm mapuuzi sana yaani yamejaa chuki tu.. ndio maana yananyooshwa kule mwambao..dawa yao chuma tu
 
Mahakama za Tanzania vivo hivyo. Sasa wewe kama hutaki nenda kajinyonge na huyo meya wako. Kama huyo meya anataka haki aende mahakamani na sio vinginevyo. Umesinikia wewe nyang'au?

Acha kuongea upuuzi ukitaka kuheshimika.
Heshima ya nani?Yako?Siitaki mimi.Mpuuzi mkubwa ni wewe uliyetangulia kuniita nyangau.Mimi nilijadili hoja ifaavyo we ukaja na hisia zako za kibinti.Hapa kenya forums hamna nafasi ya mambumbumbu jombaa!Za uso aisee,bado ntazidi kukupa tu.Unajifanya kaka sungura?Mimi hiyo hapana tambua!
 
Heshima ya nani?Yako?Siitaki mimi.Mpuuzi mkubwa ni wewe uliyetangulia kuniita nyangau.Mimi nilijadili hoja ifaavyo we ukaja na hisia zako za kibinti.Hapa kenya forums hamna nafasi ya mambumbumbu jombaa!Za uso aisee,bado ntazidi kukupa tu.Unajifanya kaka sungura?Mimi hiyo hapana tambua!
Mbona unaandika insha. Ndio iweje?
 
Uzuri ni kwamba Wanyama ameshamjua mbaya wake.Poor Daudi,Poor CCM.
 
Sio ajabu kwenu, maana matajiri wanatafsiriwa kuwa ni wezi!!

Wanyama anakunja Great Britain Pounds 70,000 kwa wiki, mentality ya bashite inasurgest kuwa jamaa anauza unga!!!
Kwa hio mtaa umepewa jina kwa sababu ya pounds 70,000?
 
Back
Top Bottom