Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya, mpeleke mahakamani basi.
Kwa hiyo?Wakenya wanalichukuliaje hili tukio
Nijiongeze nini?Jiongeze.
Sawasawa magonjwa,nyangau amekusikia,haina haja kabsa wewe ukatokwa na mishipa shingoni ukijibizana na wakenya.Vidonda vya tumbo ukishapata ni stress jombaa!Manispaa ni yenu Meya ni wenu,nchi ni yenu.Lakini,hivi unaelewa lori linavoendeshwa wewe?Mahakama za Tanzania vivo hivyo. Sasa wewe kama hutaki nenda kajinyonge na huyo meya wako. Kama huyo meya anataka haki aende mahakamani na sio vinginevyo. Umesinikia wewe nyang'au?
Acha kuongea upuuzi ukitaka kuheshimika.Sawasawa magonjwa,nyangau amekusikia,haina haja kabsa wewe ukatokwa na mishipa shingoni ukijibizana na wakenya.Vidonda vya tumbo ukishapata ni stress jombaa!Manispaa ni yenu Meya ni wenu,nchi ni yenu.Lakini,hivi unaelewa lori linavoendeshwa wewe?
Hii movie inaitwaje
Mahakama za Tanzania vivo hivyo. Sasa wewe kama hutaki nenda kajinyonge na huyo meya wako. Kama huyo meya anataka haki aende mahakamani na sio vinginevyo. Umesinikia wewe nyang'au?
Heshima ya nani?Yako?Siitaki mimi.Mpuuzi mkubwa ni wewe uliyetangulia kuniita nyangau.Mimi nilijadili hoja ifaavyo we ukaja na hisia zako za kibinti.Hapa kenya forums hamna nafasi ya mambumbumbu jombaa!Za uso aisee,bado ntazidi kukupa tu.Unajifanya kaka sungura?Mimi hiyo hapana tambua!Acha kuongea upuuzi ukitaka kuheshimika.
Mbona unaandika insha. Ndio iweje?Heshima ya nani?Yako?Siitaki mimi.Mpuuzi mkubwa ni wewe uliyetangulia kuniita nyangau.Mimi nilijadili hoja ifaavyo we ukaja na hisia zako za kibinti.Hapa kenya forums hamna nafasi ya mambumbumbu jombaa!Za uso aisee,bado ntazidi kukupa tu.Unajifanya kaka sungura?Mimi hiyo hapana tambua!
Ni kibarua nakupa tu aisee!ulingoja nikutupie kapicha nini?Mbona unaandika insha. Ndio iweje?
Kwa hio mtaa umepewa jina kwa sababu ya pounds 70,000?Sio ajabu kwenu, maana matajiri wanatafsiriwa kuwa ni wezi!!
Wanyama anakunja Great Britain Pounds 70,000 kwa wiki, mentality ya bashite inasurgest kuwa jamaa anauza unga!!!