Chuki za Roy Hodgson kwa wachezaji wa Leicester city kuiondoa England mapema euro 2016


Hodgson amekusikia [emoji2]
Nadhani atakuwa anasoma thread za jf [emoji23][emoji23]
 
England saw na Yanga,Timu ya Yanga ina shaini kwa wachezaji wa kigeni,ujinga kocha akawa hukua kuwaweka Taifa Stars,Ndo kichapo nje ndani
Kweli mkuu Mkwasa na Hogson ngoma droo , Huwezi kumweka nje mfungaji bora halafu kisa jina umeweke ROONEY utegemee ushindi
 
Km shabik wa england napata ukakasi sana na kikosi hki...
Kna wavhezaji zaid ya 300 wazur uk ukianzia legue 1 & 2,championship,Oxfordshire, west riding county,Northamptonshire,Lancashire, national league,non league div 1 na zngne kbao Anakazana na kna lallana,cjui wilshere..
Honestly ukiacha rooney,vardy na kadha km 4 tu ndo wanastahili kuitwa kutoka Epl,wengne angechkua lig zngne hawa miaka nenda rudi ni bogus
 
Baada ya jana usiku mzee Roy Hodgson kupitia maoni ya wadau hapa jf hatimaye asalimu amri , Jamie Vardy ndani ya kikosi .
 
Huyu mzee alistahili kutimuliwa mechi ya kwanza tu , hakustahili kujiuzulu kwa heshima , baada ya hapo ashitakiwe kwa ubaguzi na kulitia Taifa hasara .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…