Chuki za Roy Hodgson kwa wachezaji wa Leicester city kuiondoa England mapema euro 2016

Ha! Ha! Ha! Jana wamepoteana hadi wengine wanazungumza kimakonde !
Yaah jana tulipoteana tatizo mashabiki wengi hawajui kuwa kibaya chako na tikiti bovu lipo shambani mwako nitaendelea kuwa shabiki wa England ndo mahaba yangu yalipo .
Hapo ndipo unaposhangazwa na mapenzi na kitu flan.
 
Yaah jana tulipoteana tatizo mashabiki wengi hawajui kuwa kibaya chako na tikiti bovu lipo shambani mwako nitaendelea kuwa shabiki wa England ndo mahaba yangu yalipo .
Hapo ndipo unaposhangazwa na mapenzi na kitu flan.
Poleni wahanga .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…