LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
Katika miaka yote ambayo Yanga huwa wanabeba ubingwa wa nchi basi huwaga kuna neema kubwa sana ya kimaisha miongoni mwa watanzania. Hata siku Yanga wakicheza na Simba halafu Yanga wakashinda mechi siku hiyo huwa inakuwa nzuri sana na yenye kwa wananchi wa Tanzania.
Ni miaka yote kuanzia Yanga na Simba zianzishwe. Sitatoa mifano ya miaka ya zamani, nitatoa mifano ya miaka ya hivi karibuni. Angalia kipindi ambacho Yanga anachukua misimu mitatu mfululizo ( some years before 2015 ) na hali ya maisha ya watanzania ilivyo kuwa halafu tazama miaka ambayo Simba wamechukua misimu minne mfululizo kisha linganisha na hali ya maisha ya watanzania ilivyo kuwa ( Ni katika kipindi hicho ndipo Tanzania ilipo tajwa miongoni mwa nchi za watu wasio kuwa na furaha duniani )
Haya meanwhile ubingwa unanukia Jangwani. Pamoja na kwamba dunia inapitia kipindi kigumu kiuchumi lakini watanzania ni wenye furaha kwa ujumla wake and on top of that in as far as the issue of general happiness is concerned, we as a nation have a good promising near future...
Mnapo ambiwa Yanga raha muwe mnaelewa
Ni miaka yote kuanzia Yanga na Simba zianzishwe. Sitatoa mifano ya miaka ya zamani, nitatoa mifano ya miaka ya hivi karibuni. Angalia kipindi ambacho Yanga anachukua misimu mitatu mfululizo ( some years before 2015 ) na hali ya maisha ya watanzania ilivyo kuwa halafu tazama miaka ambayo Simba wamechukua misimu minne mfululizo kisha linganisha na hali ya maisha ya watanzania ilivyo kuwa ( Ni katika kipindi hicho ndipo Tanzania ilipo tajwa miongoni mwa nchi za watu wasio kuwa na furaha duniani )
Haya meanwhile ubingwa unanukia Jangwani. Pamoja na kwamba dunia inapitia kipindi kigumu kiuchumi lakini watanzania ni wenye furaha kwa ujumla wake and on top of that in as far as the issue of general happiness is concerned, we as a nation have a good promising near future...
Mnapo ambiwa Yanga raha muwe mnaelewa