Chukua muda wa kuzipumzisha hisia

Naomba nitafutie huu wimbo NAFSI YA KUDHANI... by Hafsa kazinja
 
OTE="UngaUnga, post: 25342552, member: 266495"]Yaani ww Expert Member wa jf hata kummention Joowzey kuwa unamuita unashindwa![/QUOTE]
Cha ajabu hasa hapo ni kipi!??
 
Bro hujuagi kuongea pumba.uzi umelenga moja kwa moja hisia na maisha yng halisi.kula 5 [emoji109][emoji109][emoji109]
 
Kaka naona maumivu yamezidi,lakini hayakimbiwi ila pambana nnayo hatimaye utashinda(utasahau tu).Unaondokewa na kipenzi chako wa roho MZAZI aliyekuzaa na aliyekukukuza lakini inafika mahali akili inakubali kuwa hili limetokea na limeisha,sembuse mmekutana ukubwani unalalama eti huwezi kusahau,.Acha kuendekeza moyo,kubali matokeo utaona nafsi inarizia yalitokea.Mshana upo brother
 
Asante kwa ushauri na kunitia sana moyo.. Hii ni mada tu maalum kwa wale wanaopitia nyakati ngumu na kutendwa ama kusalitiwa katika mahusiano... Ni kwa ajili ya wale wote wanaohitaji faraja na ushauri....the moment of truth, mwambie waweza kwenda
 
naona kila anaepita humu anasema ujumbe umekuja wakati muafaka...aisee kweli mapenzi hayana mwenyewe![emoji1]

poleni mnaopitia ktk huo wakati ndio maisha yenyewe hayo, kaka mshana jr asante kwa kutukumbusha.

ila tuache ubishi....kama akienda muache tu usilazimishe mapenzi.
 
Broo sitaki ugomvi na wewe huu Uzi umeanzisha kwa ajili yangu wee poa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…