Chukua muda wa kuzipumzisha hisia

Yaaani mkuu kweli,nikunyanyua moyo na kuuweka juu ya msalaba wa YESU (kwa imani yangu)na kumwambia Bwana na hili nalo jambo hebu shughulika.shika moyowangu maana bila ww mimi siwezi,simama mwenyewe maana ww ndio unawajua watu ulio waumba.ila chamsingi ni KULINDA SANA MOYO KULIKO VYOTE ULINDAVYO.Mithali 4:23

~Moyo sawa na mwanaume duniani,moyo ukiumia,waweza kuwa masikin,kichaa,usie na malengo,ulie jikinai,usie ijua kesho yako.na maisha unaweza kuyaendesha km mnyama wa porin usie sikia jua wala mvua.
 
Mapenzi yanauma ila kumwacha aende ndo suluhisho ya yote!!!

We mwache aende, kuna furaha zaidi mbele yako kuliko yeye!! Siku zote amini hakuwa wako na wakati ukifika ukifika utampata wa kufanana nae....

Just let her/him go!!!!!!
Usimwache T
 
Ndugu mshana jr, ni muda gani unafaa kuzipumzisha hisia baada sokomoko la mapenzi? mwezi, mwaka miaka...!!??
 
[emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…