Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwenye uandishi tu huyu jamaa hata Shigongo hagusi! Kati ya mwaka 2017/18 alitikisa sana akili zetu hapa jamvini na tamthilia zake zisizoisha utamu...Asante kwa kutujuza mkuu nimependa ulivyoandika unakipaji Cha uandishi napenda Sana movie za kikorea Hawa watu wako vzuri naomba nielekeze nyie mnadownload vipi
Cheki na HIDE AND SEEKHiyo yellow sea ni nzuri sana niliiangalia pamoja na movie nyingine inaitwa parasite kwa kweli niliburudika.
kitambo sana miaka ya kitabu
Cheki na HIDE AND SEEK
Hahaha hmovies za Murphy pamoja na za Jim Carrey kama vile Adventura, Truman na The Mask hunikosha sana.kitambo sana miaka ya kitabu
Hahahaha mkuu unanikumbusha mbali sana kwenye mambo yetu ya Anga la Washenzi.kwenye uandishi tu huyu jamaa hata Shigongo hagusi! Kati ya mwaka 2017/18 alitikisa sana akili zetu hapa jamvini na tamthilia zake zisizoisha utamu...
Kila saa 3 au 4 watu tulikuwa kila baada ya sekunde tunachungulia kama amepost au lah!
Naona upo vizuri kwenye hii anga..Kwa wapenzi wa korean series mambo ya mystery hii sio yakukosaView attachment 1566785
kwenye uandishi tu huyu jamaa hata Shigongo hagusi! Kati ya mwaka 2017/18 alitikisa sana akili zetu hapa jamvini na tamthilia zake zisizoisha utamu...
Kila saa 3 au 4 watu tulikuwa kila baada ya sekunde tunachungulia kama amepost au lah!
Ndio starehe yangu kubwa hii mkuuNaona upo vizuri kwenye hii anga..
Haswa ukipendelea za aina gani?Ndio starehe yangu kubwa hii mkuu
Aina zote mkuu mradi story iwe nzuri tu,napenda kuangalia vionjo tofauti tofautiHaswa ukipendelea za aina gani?
Hata horrors unazipenda?Aina zote mkuu mradi story iwe nzuri tu,napenda kuangalia vionjo tofauti tofauti
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah life lilikuwa poa sana mkuu kipindi kile yani ile tamthilia ni zaidi ya movie!Hahahaha mkuu unanikumbusha mbali sana kwenye mambo yetu ya Anga la Washenzi.
Movies kama Basic Instinct (sequel), 365 days, Shades of Grey nazivutia kasi. Sikujua zina wapenzi.Mbna mkuu hudondoshi zle movies kama 365 day....yaani nusu movie nusu mapenzi
Hakika anastahili pongezi jamaa ni muandishi mwenye kiwango cha SGRYah nakumbuka makala zake nlikua napenda Sana ukisoma Kama unaangalia movie vle yupo vzuri
Kazi tu zinabana mkuu wangu. Nikipata wasaa ntarejea kwanguvu zoteHahah life lilikuwa poa sana mkuu kipindi kile yani ile tamthilia ni zaidi ya movie!
Itoshe kusema mkuu umetusaliti mashabiki wako hapa jamvini