Down To Earth
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,940
- 16,643
jehu kabisa hili!Upuuzi mtupu
Unepost ujinga mkuuThis is Africa and its traditions
Miti ifuatayo sio mizuri sana kuipanda nyumbani kwako
1: Muembe
2: Mbaazi
3: Muashoki
4: Mpanga Uzazi
5: Mbuyu
Utakaribisha viumbe wa Ajabu Usiku ukiendekeza miti ya aina hio
Hio miti inapendwa na wachawi, Majini na mapepo ya Kila aina.
Chukua tahadhari Jilinde na Imani yako
View attachment 3245114
3. Muashoki! Huu umetokea mkoa gani Tanzania? Nijuavyo huu ni wakuja tu haumo kwenye mizimu ya makabila yote ya Tanzania.This is Africa and its traditions
Miti ifuatayo sio mizuri sana kuipanda nyumbani kwako
1: Muembe
2: Mbaazi
3: Muashoki
4: Mpanga Uzazi
5: Mbuyu
Utakaribisha viumbe wa Ajabu Usiku ukiendekeza miti ya aina hio
Hio miti inapendwa na wachawi, Majini na mapepo ya Kila aina.
Chukua tahadhari Jilinde na Imani yako
View attachment 3245114
Duuh ha ha ha haKi ufupi watu maskini na watu wenye ujinga ujinga wa kuamini uchawi hawapatani na mazingira( Hawapendi miti).
Nenda uswahili huwezi kukuta hata mti mmoja.. Ukipanda mti ukiwa mkubwa unasakamwa hoo ndo uchawi wake, mara ndo kijiwe cha wachawi .. Watakuja upiga hata misumari ili ufe tuu.
Kwa wenye kujielewa wanajua umuhimu wa miti..
Tunapambana tuongeze Oxygen maana inazidi kupungua we una kuja na mbinu za ajabu eti usipande mitii flani kisa wachawi..
This is Africa and its traditions
Miti ifuatayo sio mizuri sana kuipanda nyumbani kwako
1: Muembe
2: Mbaazi
3: Muashoki
4: Mpanga Uzazi
5: Mbuyu
Utakaribisha viumbe wa Ajabu Usiku ukiendekeza miti ya aina hio
Hio miti inapendwa na wachawi, Majini na mapepo ya Kila aina.
Chukua tahadhari Jilinde na Imani yako
View attachment 3245114
HakikaUpuuzi mtupu
ExactlyUpuuzi mtupu
....iko miti mingi itokayo mabara mengine....miashoki iko mingi mashariki ya kati na mashariki ya mbali....3. Muashoki! Huu umetokea mkpa gani Tanzania? Nijuavyo huu ni wakuja tu haumo kwenye mizimu ya makabila yote ya Tanzania.
Ukiwa mtu wa spirituality hao viumbe hawasogei hata kama utaipandaThis is Africa and its traditions
Miti ifuatayo sio mizuri sana kuipanda nyumbani kwako
1: Muembe
2: Mbaazi
3: Muashoki
4: Mpanga Uzazi
5: Mbuyu
Utakaribisha viumbe wa Ajabu Usiku ukiendekeza miti ya aina hio
Hio miti inapendwa na wachawi, Majini na mapepo ya Kila aina.
Chukua tahadhari Jilinde na Imani yako
View attachment 3245114