Chukua Somo: Kama Umejenga/Upo kwako, Usipande miti ifuatayo..

Why this discussion ni kwa waafrika, mleta mada ukipiga picha na wachawi ndio nitaamini
Seriously ?!!

Kuwa makini mkuu wangu....

Kila "race" ina tamaduni zake....

Tatizo letu waafrika si wachoyo na si wamimi....ni rahisi kwa mwafrika kujiropokea elimu ya siri na ya kitamaduni ukimnunulia tu "mnazi" wa jero ,ha ha ha
 
Punguza kuamini ujinga, ukute ni degree holder.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…