Chukua tahadhari unapotoa pesa kwenye ATM, na kwa wakala, tapeli akamatwa na kadi 23 za benki

Pesa ni kitu kingine. Ujasiri wa kuweka ATM cards 23 kwa bibi. Hapana aisee huyu dada akapimwe mkojo.
 
Hii habari haijakaa sawa haiwezekani kadi zote hizo zikaifadhiwa kweny uke labda mseme alikua ameifadhi ndani ya chupi
 
Vp alivoitoa uliinusa
Hahaha mkuu
Ilikua hivi,hiyo siku kulikua na ukaguzi wa halaka,ile wameshuka tu kwenye school bus wakaambiwa watulie wasachiwe,mimi nilikua nyuma yake nikaona amefanya kama anachomekea shati akaibana simu katikati ya matako na alikua nayo makubwa tu
 
Mtuhumiwa huyo alikamatwa na askari wanaolinda Benki hiyo na alipopekuliwa alikutwa na ATM kadi 23 za watu mbalimbali za benki tofauti tofauti zikiwa katika pochi yake huku akiwa amezificha katika sehemu zake za siri ukeni.
Tangu utoto tunafundishwa eneo hilo ni maalumu halitakiwi kufanyiwa mambo mengine zaidi ya matumizi yaliyokusudiwa, huyu sasa anafanya eneo hilo kama strong room, anawezaje kutembea na hivyo vipande vya plastic 23 katika slot yenye 0 mm
 
Ndugu yangu hiyo unatafsiri wewe! Kwa hiyo sehemu za Siri maana ya ndani ya chupi?
Hujasoma habari YOTE au kilaza ubongo WAKO mgumu kuelewa hizo kadi ziliwekwa KWENYE pochi then akazificha KWENYE sehemu za siri yaani NDANI ya chupi
 
I hope hizo ATM tayari ziko blocked, manake with those details it is enough kwa mwizi kuchukua pesa kwenye account hata bila three digits at the back
 
10m zinatokaje kwa wakala ndani ya siku tatu??..au hiyo card ilikuwa Platnum??..maana kadi za kawaida kutoa haizidi 1.2m per day,,
10m inatoka kwa wakala kwa awamu,sio mkupuo
 
Alizificha kwenye chupi au "Ukeni" kama ulivyosema?? Nawaza tu hiyo mikadi yote ndani ya kipochi halafu iingizwe ikulu kweli muumba kaumba. Halafu anatembea njiani bila shida!!! Nawaza tu
 
Alizificha kwenye chupi au "Ukeni" kama ulivyosema?? Nawaza tu hiyo mikadi yote ndani ya kipochi halafu iingizwe ikulu kweli muumba kaumba. Halafu anatembea njiani bila shida!!! Nawaza tu
Na bado atalalamika vidume wana vibamia wkt kwny mbunye yake zinaingia cards 23.
 
Na bado atalalamika vidume wana vibamia wkt kwny mbunye yake zinaingia cards 23.
Sikiliza; Ziwe zimenyooka vizuri ili zisijikunje mashine ikazikataa. Upana wake wote na urefu wake wote. Je, huyu akikutana na kibamia itakuwaje?? Nadhani atadhania ni njiti imemuingia
 
Unaenda kuiba umevaa T-shirt imeandikwa lost ulitegemea nn
Hongera kwa wakala na jeshi la police kwa kazi nzuri
 
Tunapoelekea Kwenye Sikukuu Za Mwisho Wa Mwaka
Watu Umakini Uongezeke Mara Dufu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…