Chukueni maneno yangu, Bollen Ngetti atakiangamiza CCM na Taifa!

hiyo mission inaweza kukamilika Yes. hiyo siwezi bisha hata kidogo. Nakubali kabisaa.

Lakini inaweza kuchukua zaidi ya miaka kati ya 70 au 120 ijayo mission kutimia kwa namna hali ilivyo....

Mark my words...
Kama ni Kwa hyo miaka hamna mission yyte hapo Ila ni wakat utakuwa umefika tamati tuu Kwa CCM
 
Aliwaambia wasiojulikana "najua mmetumwa mnahangaika nini we dada si uchukue hio silaha yako unishuti tu afurahi"
 
Kwani CCM ikiondoka kuna tatizo gani??
 
Bila shaka ni kichaa kimekupanda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…