Chukueni maneno yangu, Bollen Ngetti atakiangamiza CCM na Taifa!

Chukueni maneno yangu, Bollen Ngetti atakiangamiza CCM na Taifa!

Au ndio yule jamaa maarufu kwenye mtandao wa X siku hizi anajiita media yenye jina sawa na kipande Cha mti kilicho katwa halafu kikatelekezwa? Maanda yule jamaa anacheza na akili za watu kutumia social media mbali majina mbalimbali. Ana weza kuwa aka argue for PROPOSERS halafu kwenye media nyingine aka ARGUE FOR OPPOSERS kwa kutumia data A akajikataa Kwa B
 
Wanabodi,
Usipuuze maneno ya mlevi apitaye njia. Msikilize na kufuatilia ayasemayo baadaye. Kuna mtu nchi hii anatumia mwamvuli ya uanahabari (cover paper) akiitwa Bollen Ngetti.

Nimemfuatilia jamaa huyu kwa muda mrefu. Si Mwema kwa nchi yetu. Kama kuna wanaoamini Bernard Membe amefariki basi wajue Membe ni hai, na ni Bollen. Jamaa ni agent wa CIA Ukanda wa Afrika Mashariki akiangalia miradi ya USA katika masuala ya usalama. Ukifika USA embassy utamkuta pembeni benchi kama mwenzio kila siku. Huyu ndiye anajua "aliko" Magufuli.

Wanabodi, nimeamua kufunguka baada ya kujua mengi ya huyu mgeni akijiita kada wa CCM. Huyu jamaa ni maalumu kuvuruga siasa za nchi hii. CCM yumo na upinzani ni damu damu. Ameshiriki sana kumuondoa Chongolo kitini. Naomba msipuuzie maneno haya hususan vyombo vya usalama. Bollen ameonekana kwenye Mapinduzi ya Niger, Mali na Burkinafaso. Juzi mmemuona Gaza. Lakini akiwa Tanzania ni kada wa CCM. Special Mission kukiua CCM. Niishie hapo kwa Leo.
Yuko wapi nimchangie hata buku ya bodaboda? Mtu akitaka kuiua CCM Huyo ni mzalendo halisi.
 
Weka akiba ya maneno ili siku moja husije kukosa cha kuongea. Wakati unakuja, hao mnaowategemea ktk wizi wa kura na kupoka madaraka kwa nguvu wataichoka CCM kama ilivyochokwa na wananchi.
Kwa mawazo haya
Naungana na mwenye hii comment hapo juu
Nadhani inaweza kuwa miaka mia mbili au zaidi na sio 70 au 120
Hebu tueleze namna ccm itajichoka yenyewe na kuamua kuwapatia wengine keki

Bila wananchi peke yake kuamua hakuna kitu
Ccm itadumu milele na nchi itakuwa ya hovyo sana hii

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Tatizo sio CCM bali deep state kuiamini ccm bila kuipa upinzani ijifunze kutegemea wananchi pale wnapoikosa Dola !

Wakiwa wapinzani ccm watajifunza kusikia wananchi na malalamiko yao!!

Sasa Dola imewapa ccm mkataba was milele was kutawala nchi hii kwa kigezo eti wanaheshim katiba yenye mapungufu mengi!!

Ccm ilishashindwa zamani Santa kwenye sanduku la kura lakini ikashindishwa na Dola badala ya kupewa nafasi ya kujifunza kujipendekeza Kwa wananchi!!


Ni Mimi Moja kati ya wnaccm wenye akili timamu na mzalendo nimeandika nikichek gem ya mancity!!
 
Ahsante sana ndugu yangu. Ndiye huyo. Soon nitawaletea picha zake akiwa Kagame, Rostam Aziz, Membe na Barack Obama. Huyu jamaa ni mzimu anayekiangamiza CCM. Mnakumbuka battle yake na Cyprian Musiba DW? Amekuwa rafiki mkubwa kwa nje kwa Chongolo mwisho SG out. Mkimtafuta Kigogo 2014 msakeni huyu. CCM tusilale.
Hii coment inanifanya nianze kuunganisha dots!!

Mango out rafiki wa ngetiina maana engineer wa mango out ni Dr Tibazonkiza na chongo!!?kituo kinachofata !!?
 
Acha kumsingizia Bollen. CCM itakatwa vipande vipande na Bashite.
Unadhani wale wote aliowapa maagizo Wana hamu nae ukianza na kijumbe?
Exit CCM enter CHADEMA.
Which chadema. You mean the same Chadema that I know? Who has ever have knowledge within chadema to handle over sovereignty over him?
 
Back
Top Bottom