Chukueni Siri hii

bangi ya njombe mixer ujinga ni hatari kwa ustawi wa afya ya akili
 
Fanya hivi...ingia kwenye all forums kuna option ya kuwatch kila jukwaa.utakua unapata notifications za kila nyuzi mpya mda wote..wewe tu utakua unachagua ipi uchangie ipi uache...very simple [emoji4][emoji847]
[emoji16][emoji16][emoji16]Kumbe ndio umefnya hivyo.

Nitajaribu nione kama nitaweza.
 
[emoji16][emoji16][emoji16]Kumbe ndio umefnya hivyo.

Nitajaribu nione kama nitaweza.
Yeah nimefanya hivyo...uzi wowote ukipostiwa jukwaa lolote napata notification, that's why nakuwepo kwenye nyuzi nyingi nyingi πŸ˜ŠπŸ€—
 
Yeah nimefanya hivyo...uzi wowote ukipostiwa jukwaa lolote napata notification, that's why nakuwepo kwenye nyuzi nyingi nyingi [emoji4][emoji847]
Haiwi usumbufu, maana kuna watu wanapost nyuzi hazina kichwa wala miguu.
 
Mkuu, sema kweli, umevurugwa?
 
Haiwi usumbufu, maana kuna watu wanapost nyuzi hazina kichwa wala miguu.
niko na browser hakuna usumbufu πŸ˜ŠπŸ€— inakuja tu red dot kimyakimya...kama unatumia App ndo ujiandae kusumbuliwaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…