Chukueni Siri hii

Chukueni Siri hii

bangi ya njombe mixer ujinga ni hatari kwa ustawi wa afya ya akili
 
Fanya hivi...ingia kwenye all forums kuna option ya kuwatch kila jukwaa.utakua unapata notifications za kila nyuzi mpya mda wote..wewe tu utakua unachagua ipi uchangie ipi uache...very simple [emoji4][emoji847]
[emoji16][emoji16][emoji16]Kumbe ndio umefnya hivyo.

Nitajaribu nione kama nitaweza.
 
[emoji16][emoji16][emoji16]Kumbe ndio umefnya hivyo.

Nitajaribu nione kama nitaweza.
Yeah nimefanya hivyo...uzi wowote ukipostiwa jukwaa lolote napata notification, that's why nakuwepo kwenye nyuzi nyingi nyingi 😊🤗
 
Yeah nimefanya hivyo...uzi wowote ukipostiwa jukwaa lolote napata notification, that's why nakuwepo kwenye nyuzi nyingi nyingi [emoji4][emoji847]
Haiwi usumbufu, maana kuna watu wanapost nyuzi hazina kichwa wala miguu.
 
Ipo hivi sisi binadamu ni roho, siku tulilifamu hili tutakuwa unstoppable kwenye Kila eneo la maisha yetu.

Hawa kina Elon musk, Bill gates na mwenzao wengi walifahamu Siri hii wakatumia Nguvu hiyo kumanipulate Mambo mbalimbali kwenye maisha yao hadi sasa they are unstoppable.
Mkuu, sema kweli, umevurugwa?
 
Back
Top Bottom