Chuma Ulete: Ni kweli ipo? Ipi dawa ya kuidhibiti?

Chuma Ulete: Ni kweli ipo? Ipi dawa ya kuidhibiti?

jiunge chaputa mkuu (piga selfie), soap jero tu, fedha zako zitabaki salama kabisa ondoa shaka
 
Tafuta ndimu tatu weka kwenye droo uwekayo pesa hakikisha pesa za sarafu hazichanganyani na pesa za noti, pendelea kuvaa viatu vya wazi mfano kobazi au kandambili pindi uwapo kwenye biashara yako endapo ukiona mtu au watu unamashaka nao geuza viatu cha kulia vaa mguu wa kushoto na kushoto vaa mguu kulia, kama kuna mteja kaja na kifungashio chake mfano mfuko box au hata bakuli hakikisha unaweka nje usifungashie ndani
 
Fanya hivi kila hela unayopokea au kutoa iandike kwenye daftari utaiona iingiapo na itokapo Kwa kulinganisha hesabu,chuma ulete haichukui hela iliyohesabiwa.uchukua isiyohesabiwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hili suala lipo jamani wanaofanya biashara ya mobile money wanajua hii kadhia
 
Back
Top Bottom