Chuma Ulete: Ni kweli ipo? Ipi dawa ya kuidhibiti?

hivi hawa chuma ulete mbona hawafanyii maujanja yao benki? huwa najiuliza sana but sipati jibu
 

watu wana uchungu na hao vyuma ulete hata usemeje wapo sana tu
 

Mkuu usiulize nimejuaje simu unayotumia kuchangia hapa ni itel
 

Utachanapesangapi?? Wape ukweli

1;To a Zaka
2;Toa Sadaka ilionona
3;ukibana madumadu lazima wakumalizie easy
 
Kiboko ya chuma ulete ni muuza mkaa.
Unajua kwanini?
Hela ya muuza mkaa haibiwi na chuma ulete hata siku moja kwa sababu mkaa ni mchanganyiko wa miti tafauti tofauti mbayo pia ni dawa.
Kwa hiyo mikono yako inapokuwa imechafuka na mkaa, ukiishika tu hela, inakuwa protected mpaka utakapompa mtu mwingine.
 
Mkuu Kiranga, ule utafiti wa uchawi ulifanikiwa kuufanya na ulipata hitimisho?
Uwe na siku njema.


 
Last edited by a moderator:
Wewe unamtumikia Mungu katika Roho na Kweli?

Au unataka Mungu akubariki tu kwenye biashara yako wakati zaka na sadaka hautoi?
Hili ndio suluhisho madhubuti majini pamoja na chumaulete hawawezi hata siku moja kugusa assets zozote za biashara inayotolewa Fungu la kumi huwa inakuwa na ulinzi wa kimbingu maargent wenyewe wanakiri huwa wanashindwa kuchukua au kuharibu biashara na hela ya namna hiyo.
 
Oooh kumbe ndo maana ukilipa au kurudishiwa change mtu anatupia juu ya meza? Huwa nakereka sana hii tabia, sikua najua wanamaanisha nini..loh

akikushitukia hawezi kukupa mkononi, hata ukijifanya kuiwahi kabla hajaweka mezani.
 
Uswahili Mtupu! Watanzania Tuachane Na Hizi Imani Kikubwa Mwombe Tu Mwenyezi Mungu Na Tujifunze Kujiamini.

wengi wao tunatania mungu, je hivi kweli ni wafanyabiashara wangapi hutoa zaka na fungu la kumi kwa ajiri ya biashara zao.?
 
utachana noti ngapi? Na kama wafanyabiashara wote waki implement wazo lako la kuchana,si zitaisha? Ok na je ukipewa sarafu utaichana vp?
 
kwakwel bd sijaelewa anazichkuaje?? ina maana hizo hela zako anakua nazo pale anapoondka au anazikuta nymbn kwake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…