Chuma Ulete: Ni kweli ipo? Ipi dawa ya kuidhibiti?

Chuma Ulete: Ni kweli ipo? Ipi dawa ya kuidhibiti?

Njia nyingine ni kuweka mkaa sehem ya kuwekea pesa.Nyingine kuikanyaga kwa mguu pesa uliyopewa.
 
Chamsingi nikujiamini tu nakumuamini sir God kulikokutegemea viti vya devil coz wewe mwenyewe utakuwa unajiweka kwenye frequency za kurogwa
 
Unaweza kudhani ni habari za kufikirika au za redio mbao lakini hili pepo la chuma ulete lipo na linafanya mambo yake ila ni pepo Fukara na la kipuuzi kabisa

Chuma ulete halikupi utajiri wala mali za maana chuma ulete halitaki vitu vizuri chuma ulete halitaki elimu wala maarifa chuma ulete ni pepo chafu lenye mzio na usafi

Ukitembelea maduka ya wahindi kariakoo na posta na miji mingine yenye hii kabisa hutakosa kuona wamefunga kamba yenye majani ya mwembe na wengine kufuga kasuku(msema kweli na msema chochote) hawa wanaamini kuwa hiyo ni dawa ya chuma ulete

Kwa wale wasiojua chuma ulete ninini iko hivi unafanya biashara tangu asubuhi mpaka jioni unauza kama kawaida lakini inapofika wakati wa kufunga mahesabu pesa iliyopo na tofauti na vitu ulivyouza au ulikuwa na laki moja mfukoni anatokea mtu na kukuomba chenchi unampa lakini baadae kila ukipiga mahesabu haibalance..! Hiyo ndio chuma ulete

Pepo la chuma ulete linakaa kwenye noti unayopewa na mhusika mara nyingi akitaka chenchi hapo ndio chuma ulete hufanya kazi vizuri na kwakweli chuma ulete ni mazingaombwe tu ambayo hayana faida yeyote kwa mmiliki zaidi ya kumpatia vitu vya kipuuzi kabisa na vya kifukara

Chuma ulete ni pepo lisilo na faida kwa mmiliki lakini lakini likimtia hasara mlengwa ndio maana chuma ulete ni maarufu zaidi uswahilini kwenye biashara za kawaida kuliko zile biashara kubwa kubwa zenye faida nono na kwakweli chuma ulete ni kitu cha kufikirika zaidi kuliko uhalisia
 
Mkuu mshana jr ebu jitahidi kuelezea namna nzuri ya kujihami na chuma ulete maana ufafanuzi wako bado hautoshelezi kabisa naomba usiishie hapo kwenye kufuga kasuku na kamba ya muembe tu...
Ukienda kule kigoma na s'wanga noti zote kule huwa zinakatwa kidogo kujihami na chuma ulete. Wengine wanadai ukitaka kuzuia chuma ulete tenganisha pesa ya mtu unaemstukia kuwa ni chuma ulete... bado imekaa kidhahania zaidi.
Utamtambuaje chuma ulete???
 
Last edited by a moderator:
Mkuu mshana jr ebu jitahidi kuelezea namna nzuri ya kujihami na chuma ulete maana ufafanuzi wako bado hautoshelezi kabisa naomba usiishie hapo kwenye kufuga kasuku na kamba ya muembe tu...
Ukienda kule kigoma na s'wanga noti zote kule huwa zinakatwa kidogo kujihami na chuma ulete. Wengine wanadai ukitaka kuzuia chuma ulete tenganisha pesa ya mtu unaemstukia kuwa ni chuma ulete... bado imekaa kidhahania zaidi.
Utamtambuaje chuma ulete???

Unajua ndulele…???
 
Last edited by a moderator:
mshana jr, huwa nakubali sana hizi mada zako, kwenye hili naomba niongeze kitu kidgo.
Hzi chuma ulete zina stage zake, na hizi za mtaani ni zile wanazotumia viroho vichafu na vidogo.
Ukija kwenye money Ritual, kuna mambo hufanyika kwa kiwango kikubwa kidogo. Haya ndio yanayoweza patikana kama matokeo ya hizo money ritualz, huleya haina hizi za uchumaji mali kwa mazingara.

1.Walet money, hii inakuwa unapewa pesa ya kiwango kikubwa lets say kwa hapa bongo ni 10,000. Hii unaend itumia kwenye store au sehemu mbalimbali na lengo ni kuichanganya na pesa zingine zisizo za ushirikina, akikupa chenchi kaumia, baada muda mfupi ile hela itarudi na pesa zingine. Hii ndio imezoeleka mitaani, kutokana na uchumj mdogo hawa wanashindwa.kwenye sehemh kubwa kununua vitu vikubwa ili wapige hela. ( kimbuka hao wakubwa wamejipanga haswa).

2.Mikopo yenye kutaka dhamana. Kuna watu kazi yao ni kupiga hela na utajiri kwa njia hiii, HOW…? Ukichukua.mkopo kwa mtu huyu, ukiweka dhaman yako kwake, hata ufanyeje, Huwezi lipa deni lake so mwisho wa siku anaichukua dhamana yako. Hapa jamaa anakuwa na uhakika wew piga pindua hutopata pesa ya kulipa hilo deni so utakuta jamaa kashapata mteja anauza tarehe ikifika. Kumbuka dhaman inayotakiwa huwa inakuwa na thamani kubwa kidogo kuliko pesa uliyochukua, hapa ndio faida utengenezwa pindi umefeli lipa.

3. Kwenye mabenki, kuna watu walio jipanga haswaaa. Hawa hupeleka hela zao zenye michakato kwenye mabenki, kumbuka benki huzungusha hela kukopesha na kazi zingine mbalimbali, baada ya wiki 3 ndio jamaa huanza kuvuna pesa zake, kama mwenye benkj akiwa hayupo vzuri utakuta pesa inapigwa tu na watu wanapewa kesi. Huyu mtu anakuwa na sehemu au kitu special cha kukusanyia pesa. Akiwisho au kuhitaji kiasi fulanj cha pesa kinakuja.


Note. kila mtu hupewa masharti ya matumiza kulingana na nyota yake. Mfano, kuna mwingie huambiwa kabla ya kuzitumia hizo hela. Chukua noti 3 za hizo heela then wapatie mabikra, hapa mtu anatafuta vibinti vinavyokuwa anavipa hela ( mkosi unakuwa kwao hao mabinti hawataweza kupata uzazi).

Hela zingine huwezi pata akili kabisa ya maendeleo bali kuzifuja tu
 
Last edited by a moderator:
Naona mkuu Merengo90 umeamua kujazia nyama..sasa tunawezaje kuepukana na hali hii..?
 
Back
Top Bottom