Aibu ya nini sasa hapo! Mwanaume haoni aibu kutafuta pesa labda kama una haiba za kike, yani kupiga rangi hapo ndio unasema aibu? na rangi yenyewe imeshapigwaHahahaaaa hapo huna hata aibu kupost chumba unfinished hvyo, nyumba haina muonekano mzuri kwa nje duh
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Aliyekuwa humo awali alikuwa kada wa Ccm.
[emoji3526][emoji3526][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yawezekana fundi aliekuja kurekebisha alikua ni mkereketwa...wa ccmAliyekuwa humo awali alikuwa kada wa Ccm.
Itakuwa maana yuko moto sana na kazi.Yawezekana fundi aliekuja kurekebisha alikua ni mkereketwa...wa ccm
Ndio imeisha hiyo maana asilimia kubwa ya Watz mjini wanakaa kwenye mapagale mkuu aka nyumba ambazo hazijaishaHahahaaaa hapo huna hata aibu kupost chumba unfinished hvyo, nyumba haina muonekano mzuri kwa nje duh
Mboga 7,mambo!Mmmmh!!
Yaani chumba cha hivyo laki!!
Bora niishi tu huku kwetu nanjilinji.
Huh!! Ugali kachumbari mimi, mboga saba nizijulie wapi!!Mboga 7,mambo!
Sawa mkuu.Ni kweli wewe kaa tu huko huko.
Downtown ya Magomeni au MburahatiMiaka yote downtown sijawahi vutiwa kukaa Kimara!
Aliyekuwa humo awali alikuwa kada wa Ccm.