Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fugia kuku au bataChumba ni kizuri na kiko eneo zuri, in short ni perfect kwa mpangaji "Serious", sihitaji mpangaji so desperately mpaka kufikia stage ya kutafuta kwa udi na uvumba na mapicha juu. Watu wenye shida na nyumba na walio serious wala huwa hawana maneno mengi
Weka ng'ombe ili Waka relax kama unavo relax wwMimi ndo mwenye nyumba, ndio maana unaona natanga nimeRELAX
Kama ina sifa hizi,huna nguruwe ambao unaweza kufugia Hilo banda lako?Nyumba ni kubwa, ila kila chumba na sebule kinajitegemea, na kuna uwanja mkubwa kama ekari nzima na tumezungukwa na majirani tu na fence za majani na miti tu, siyo mageti makubwa ya tofali na umeme
Hongera sana mangi, naziona juhudi zakoKama ina sifa hizi,huna nguruwe ambao unaweza kufugia Hilo banda lako?
Au kama vp fugia mafisiemu ya Lumumba
Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi wewe baba yako anacho cha kukuachia kama urithi.Wanaoishi kwenye Nyumba za urithi utawajua tu.
sent from kanyau
Ndo umebanwa mpaka unatangaza nyumba ya kupanga humu JF,afu huna hata ustaarabu ndo MTU ategemee wewe kua baba mwenye nyumba wake,kazi IPO aiseee,Fanya kilimo cha mbogamboga huko na ufuge hata kuku uuze,otherwise uza hicho kibanda usogeze siku town hapaaaVipi wewe baba yako anacho cha kukuachia kama urithi.
- Magu kabana maisha, yawewawia vigumu mpaka MMEJAA JAZBA 24/7 ni KUTUKANA MITANDAONI Mwanzo mwisho,
" Insults as a kind of psychological relief, right ?
Mbona watu mna JAZBA sana, tatizo nini, Nimetukana yoyote humu ?We
Ndo umebanwa mpaka unatangaza nyumba ya kupanga humu JF,afu huna hata ustaarabu ndo MTU ategemee wewe kua baba mwenye nyumba wake,kazi IPO aiseee,Fanya kilimo cha mbogamboga huko na ufuge hata kuku uuze,otherwise uza hicho kibanda usogeze siku town hapaaa
Jazba ipo wapi kwenye tangazo langu au majibu yangu, au una tatizo la macho ?hahahaha uyu atakuwa kafukuza mpangaji na kodi hajapewa c kwa hasira izi alafu ndo anaenda kuwa baba/mama mwenye nyumba uwiii bora ukapange ndani ya gereza la ukonga askari watakulinda kuliko uyu aliyevurugwa ivi yani hapa ndo unatafuta mteja imagine akishampata anakuwaje customer care zeroooo wape wafungwa waishi bure tu