Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa anafanya biashara locally sanaHa ha ha nije kuona nyumba ambayo haijulikani bei
kama vipi muwe mnatangaziana huko huko pm[emoji23] [emoji23]Habari wadau.
Ninapangisha nyumba yangu chumba kimoja na sebule, kama unahitaji ni PM
- Kuna Umeme, hakuna maji ya DAWASCO ila hakuna shida ya maji na ni KARIBU na BARABARA.
- PM If interested
.......
........
Bado sijapata mtu serious, kama utakuwa serious, nitafute tu PM. Picha sijaweka kulingana na simu ninayotumia kutosupport. Kuna watu wanataka picha na kudai mimi tapeli kwa kuwa sijaweka picha, ningekuwa tapeli ningeweka tu picha yoyote kutoka mitandaoni.
- Wale wenye jazba zisizokuwa na msingi punguzeni au kama ukisoma andiko ukaona linakupa jazba kwanini usiachane nalo tu maana ni tangazo kuliko kubaki unashusha MATUSI kwenye KEYBOARD na JAZBA juu.
Siweki bei hadharani. Hilo ni sharti dogo. In short nawekaje bei wakati hata chumba hujakiona mkuu.
- Mtu serious atakuja ataiona nyumba, tutakubaliana then poa, asipokubali pia ni haki yake. Ndio biashara
"Mbongo mbongo tu MANENO ya SHOMBO Nje nje" - FID QWe fala kweli, unatungaziaje kitu ambacho pia hatujakiona? Nakushauri kaa kwenye hilo gofu lako watu wakipita jiran hapo uwaambie unauza, yaani mtu mwenye akili timamu atoke town aje huko gomz kucheki chumba? Muda ni mali asee kuwa serious kidogo
"Mbongo mbongo tu MANENO ya SHOMBO Nje nje" - FID Q
- Si Mwanaume, si Mwanamke, Vichambo kama MANGE KIMAMBI
Bora wawekwe nyumbu wa ufipani humo inawafaa sanaaKama ina sifa hizi,huna nguruwe ambao unaweza kufugia Hilo banda lako?
Au kama vp fugia mafisiemu ya Lumumba
Sent using Jamii Forums mobile app