Chunga sana rafiki yako akipata nafasi atatembea na shemeji yake

Chunga sana rafiki yako akipata nafasi atatembea na shemeji yake

Tulivyowa chuo kuna mkaka nilikuwa namzimikia, nikawa namwambia rafiki yangu nampenda yule Kaka so akawa anafahamu Hilo.

Na huyo mkaka alikuwa ananipenda sema hakuwahi nitamkia kwasababu tayari nilikuwa na mtu wangu. Ila tukienda club lazima anifate tucheze wote,dalili nyingi zilionyesha ananizimikia kiaina.

Basi baada ya muda nikaskia anatoka na rafiki yangu dah iliniuma lkn sikuwa na jinsi maana tayari nina mtu wangu anaye tambulika. Maisha yakaendelea.

Tulivyoenda likizo nikawa nachat na huyo mkaka shemeji yangu kipindi hiko Simu za mkonini ndo zimeingia, nilikuwa na simu yangu Siemens C25 (wahenga wenzangu watanielewa).

Halafu kutuma msg ilikuwa free huitaji salio Wala bando so kuchat 24/7.

Tumechat weee tukaanza kuflirt kiaina nikamwambia hapa home Kuna mizinga ya konyagi mingi na hakuna wanywaji so nitakuletea zawadi.

Tulivyo fungua chuo nikabeba zawadi. Bahati nzuri sie third year tuliwahi kufungua chuo sikumbuki sababu ni nini, rafiki yangu alirudia mwaka so alikuwa mwaka wa pili.

Nikampelekea shemeji zawadi room kwake...my friend kilichotokea sisemi sana ila tulikulana balaa na tukaendelea miaka na miaka.
Rafiki yangu alikuja kusikia baadae sana nimeshamaliza chuo akaniuliza nikaruka mita 200 akaniamini.

Huyo rafiki yangu ni best yangu hadi Leo tumekuwa watu wazima na huyo mkaka hata nikimtafuta leo tutakulana tu ni vile sina tena mzuka wa hayo mambo.

Siku nyingine nitakusimulia jinsi alivyoendelea kuwa mchepuko wangu hata baada ya kuolewa..akaonekana na Mr (ambae ndo yule wa chuo aliyekuwa anatambulika) ananishusha kwenye gari yake. Gari ikabondwabondwa na yeye kutolewa mangeu na kufikia kufikishana polisi. Na pesa ya hospitali nikatoa na bado tuliendelea hatukuachana [emoji3][emoji3]. Kiufupi ni bonge ya mshkaji .
mkuu unajua kusimulia sana....tupe muendelezo ilikuaje jamaaa akaanza mavurugu mpaka kupasua gari

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Binafsi nimetoka na marafki wawili wa Dem wang tnaanz kma hivi

1.Uyu alipgwa suspension mwaka jna walkua wote high school kwa sbb ya kumiliki cm kwaio bae wang akawa anaazma annchek alvypgwa pendi nkawa nmchk alkua ankaa mjini dar kwaio process zote mpk anatoka shule nlkua nawsiliana nae akaja akfikia geto akakaa kama week ykufnyika ykafanyika badae akaenda kwao alkuja krud shule juz kmalza necta kaja piah so now kshkua kma bae tnaish .

2.Baada ya rfk ake wa hapo juu kupgwa suspension akawa anaazma kwa rfk ake mwingne nyy alkua mtu wa mjini bc kmlza necta nmmtafuna last wkeend kimasihara huyu alkuja geto nkatest nkapewa so now naish nao hvohvo.

Chakushngza wote wnnkubli sana ila bae hnitak anadai chemistry hziendani bc nmekubali matokeo ngoja niishi na Hawa wawili [emoji3571][emoji3571]
 
Kulikuwa na marafiki wawili wa tangu utotoni, mmoja akanipenda sana Ila kama ilivyo kawaida ya mabinti akaona aibu kuniambia, ikabidi amhadithie huyo rafiki yake ili ujumbe unifikie, aliyetumwa akaanza kujenga mazoea na Mimi na badala ya kufikisha hisia za mwenzake kwangu akajiweka na tukaanzisha mahusiano(huyu alikua mrembo zaidi ya aliyemtuma). Mwenzake alipojua,akanifuata akaniambia ilivyokua na baadae akanipa mzigo. urafiki wao ukafa na mpaka leo ni zaidi ya miaka kumi hawaelewani japo wote wameolewa na ni wasomi wakubwa tu. Mmoja nimekatanae Mawasiliano baada ya kulazimisha kwa muda mrefu tuzae wakati anajijua ni mke wa mtu na Mimi sipo tayari kuzaa nje ya ndoa.

Kwenye fedha na mahusiano huwa simwamini rafiki, hata Kama tumeivana vipi hawezi kujua Mambo yangu ya ndani. Hayamhusu.
Kweli asee ukijichanganya tu rafiki anajilia vinono kwa shemeji

Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
 
Dah! Inaonekana kweli ulimpenda mshkaji.. Ulishindwa nini kufanya maamuzi magumu uoane naye?
Tuliona Kama penzi letu ni impossible kipindi kile maana nilikuwa naiba bf was best yangu. Na huyo jamaa yangu alikuwa serious sana na Mimi akanitundika mimba nikiwa chuo na kunioa kabisa. Basi tukabaki tunaibia tu..

Ila jamaa si muoaji maana hadi Leo hii 40+ hajaoa...yeye ni starehe tu.
 
Kulikuwa na marafiki wawili wa tangu utotoni, mmoja akanipenda sana Ila kama ilivyo kawaida ya mabinti akaona aibu kuniambia, ikabidi amhadithie huyo rafiki yake ili ujumbe unifikie, aliyetumwa akaanza kujenga mazoea na Mimi na badala ya kufikisha hisia za mwenzake kwangu akajiweka na tukaanzisha mahusiano(huyu alikua mrembo zaidi ya aliyemtuma). Mwenzake alipojua,akanifuata akaniambia ilivyokua na baadae akanipa mzigo. urafiki wao ukafa na mpaka leo ni zaidi ya miaka kumi hawaelewani japo wote wameolewa na ni wasomi wakubwa tu. Mmoja nimekatanae Mawasiliano baada ya kulazimisha kwa muda mrefu tuzae wakati anajijua ni mke wa mtu na Mimi sipo tayari kuzaa nje ya ndoa.

Kwenye fedha na mahusiano huwa simwamini rafiki, hata Kama tumeivana vipi hawezi kujua Mambo yangu ya ndani. Hayamhusu.
Story yako na Demi inataka kufanana au ndo wewe amekuongelea hapo juu?
 
Huyu nilimuona kawa ndugu kwani tumekua mtaa mmoja, shule moja, tuition moja, darasa moja na mkondo mmoja ingawa darasani tulitofautiana madawati. Katika makuzi yetu ilifikia hatua hata mama zetu wakawa wanafahamiana, tukaachana tulipoingia sekondari.

Muda ukapita, bado tukiwa marafiki haswaa, tukishirikiana katika mambo mbali mbali. Madem zangu asilimia kubwa alikuwa anawajua either kwa stori au kwa kuwaona. Nasikitika kusema kuwa ni miaka 9 sasa imepita, ule urafiki, uthamani na undugu uliokuwa kati yetu haupo na wala hautakuja kuwepo kwa maisha yangu yaliyobaki duniani.

Kuna demu nilimpata nikawa nadate nae, ikafikia hatua nikamtambulisha kwa jamaa sababu alitaka kumsalimia siku moja sababu nilimwambia siku moja jamaa ni mgonjwa, wakasalimiana na mengine yakaendelea. Yule bibie penzi lilikufa, jamaa urafiki ukafa, sijuagi mpaka leo kama wanaendelea au waliachana ila huwa namuomba Mola tu awabariki.


2013 nilipitia kipindi kigumu na kizito sana. Hakuna siku nitakuja kusahau kipindi hiko.
Pole sana mkuu
 
Story yako na Demi inataka kufanana au ndo wewe amekuongelea hapo juu?
Hapana sio yeye.
1. Mimi na rafiki yangu sio marafiki wa utotoni.
2. Sikumtuma rafiki yangu akamwambie nampenda.
3. Mimi ni mzuri kuliko rafiki yangu
4. Mimi na rafiki yangu tunaelewana hadi leo hatukugombana kuhusu Hilo maana aliamini siwezi fanya kitu Kama hicho. Ni best yangu tunaishi mkoa mmoja sasa hivi.

Tofauti ni hizo 👆
 
Demu wangu alifanya mistake kubwa sana. Alitumia simu ya rafiki yake kunipigia sababu yakwake ilikua imezima charge.

Nimeona status ya Rafik yake WhatsApp. Maana yake amesave namba yangu.

Namtafuna muda si mrefu, kabla hawajamaliza chuo July.
Acha uzinzi we mbwa!
 
Huyu nilimuona kawa ndugu kwani tumekua mtaa mmoja, shule moja, tuition moja, darasa moja na mkondo mmoja ingawa darasani tulitofautiana madawati. Katika makuzi yetu ilifikia hatua hata mama zetu wakawa wanafahamiana, tukaachana tulipoingia sekondari.

Muda ukapita, bado tukiwa marafiki haswaa, tukishirikiana katika mambo mbali mbali. Madem zangu asilimia kubwa alikuwa anawajua either kwa stori au kwa kuwaona. Nasikitika kusema kuwa ni miaka 9 sasa imepita, ule urafiki, uthamani na undugu uliokuwa kati yetu haupo na wala hautakuja kuwepo kwa maisha yangu yaliyobaki duniani.

Kuna demu nilimpata nikawa nadate nae, ikafikia hatua nikamtambulisha kwa jamaa sababu alitaka kumsalimia siku moja sababu nilimwambia siku moja jamaa ni mgonjwa, wakasalimiana na mengine yakaendelea. Yule bibie penzi lilikufa, jamaa urafiki ukafa, sijuagi mpaka leo kama wanaendelea au waliachana ila huwa namuomba Mola tu awabariki.


2013 nilipitia kipindi kigumu na kizito sana. Hakuna siku nitakuja kusahau kipindi hiko.
Samehe zinaa mkuu.
 
Tulivyowa chuo kuna mkaka nilikuwa namzimikia, nikawa namwambia rafiki yangu nampenda yule Kaka so akawa anafahamu Hilo.

Na huyo mkaka alikuwa ananipenda sema hakuwahi nitamkia kwasababu tayari nilikuwa na mtu wangu. Ila tukienda club lazima anifate tucheze wote,dalili nyingi zilionyesha ananizimikia kiaina.

Basi baada ya muda nikaskia anatoka na rafiki yangu dah iliniuma lkn sikuwa na jinsi maana tayari nina mtu wangu anaye tambulika. Maisha yakaendelea.

Tulivyoenda likizo nikawa nachat na huyo mkaka shemeji yangu kipindi hiko Simu za mkonini ndo zimeingia, nilikuwa na simu yangu Siemens C25 (wahenga wenzangu watanielewa).

Halafu kutuma msg ilikuwa free huitaji salio Wala bando so kuchat 24/7.

Tumechat weee tukaanza kuflirt kiaina nikamwambia hapa home Kuna mizinga ya konyagi mingi na hakuna wanywaji so nitakuletea zawadi.

Tulivyo fungua chuo nikabeba zawadi. Bahati nzuri sie third year tuliwahi kufungua chuo sikumbuki sababu ni nini, rafiki yangu alirudia mwaka so alikuwa mwaka wa pili.

Nikampelekea shemeji zawadi room kwake...my friend kilichotokea sisemi sana ila tulikulana balaa na tukaendelea miaka na miaka.
!
l love this babe!
 
Tuliona Kama penzi letu ni impossible kipindi kile maana nilikuwa naiba bf was best yangu. Na huyo jamaa yangu alikuwa serious sana na Mimi akanitundika mimba nikiwa chuo na kunioa kabisa. Basi tukabaki tunaibia tu..

Ila jamaa si muoaji maana hadi Leo hii 40+ hajaoa...yeye ni starehe tu.
Kwahyo hata rafiki yako hawajaoana mpaka sasa??[emoji23] 40+ bado anakula bata tu??
 
Back
Top Bottom