Chunga sana rafiki yako akipata nafasi atatembea na shemeji yake

mkuu unajua kusimulia sana....tupe muendelezo ilikuaje jamaaa akaanza mavurugu mpaka kupasua gari

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Binafsi nimetoka na marafki wawili wa Dem wang tnaanz kma hivi

1.Uyu alipgwa suspension mwaka jna walkua wote high school kwa sbb ya kumiliki cm kwaio bae wang akawa anaazma annchek alvypgwa pendi nkawa nmchk alkua ankaa mjini dar kwaio process zote mpk anatoka shule nlkua nawsiliana nae akaja akfikia geto akakaa kama week ykufnyika ykafanyika badae akaenda kwao alkuja krud shule juz kmalza necta kaja piah so now kshkua kma bae tnaish .

2.Baada ya rfk ake wa hapo juu kupgwa suspension akawa anaazma kwa rfk ake mwingne nyy alkua mtu wa mjini bc kmlza necta nmmtafuna last wkeend kimasihara huyu alkuja geto nkatest nkapewa so now naish nao hvohvo.

Chakushngza wote wnnkubli sana ila bae hnitak anadai chemistry hziendani bc nmekubali matokeo ngoja niishi na Hawa wawili [emoji3571][emoji3571]
 
Kweli asee ukijichanganya tu rafiki anajilia vinono kwa shemeji

Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
 
Dah! Inaonekana kweli ulimpenda mshkaji.. Ulishindwa nini kufanya maamuzi magumu uoane naye?
Tuliona Kama penzi letu ni impossible kipindi kile maana nilikuwa naiba bf was best yangu. Na huyo jamaa yangu alikuwa serious sana na Mimi akanitundika mimba nikiwa chuo na kunioa kabisa. Basi tukabaki tunaibia tu..

Ila jamaa si muoaji maana hadi Leo hii 40+ hajaoa...yeye ni starehe tu.
 
Story yako na Demi inataka kufanana au ndo wewe amekuongelea hapo juu?
 
Pole sana mkuu
 
Story yako na Demi inataka kufanana au ndo wewe amekuongelea hapo juu?
Hapana sio yeye.
1. Mimi na rafiki yangu sio marafiki wa utotoni.
2. Sikumtuma rafiki yangu akamwambie nampenda.
3. Mimi ni mzuri kuliko rafiki yangu
4. Mimi na rafiki yangu tunaelewana hadi leo hatukugombana kuhusu Hilo maana aliamini siwezi fanya kitu Kama hicho. Ni best yangu tunaishi mkoa mmoja sasa hivi.

Tofauti ni hizo πŸ‘†
 
Demu wangu alifanya mistake kubwa sana. Alitumia simu ya rafiki yake kunipigia sababu yakwake ilikua imezima charge.

Nimeona status ya Rafik yake WhatsApp. Maana yake amesave namba yangu.

Namtafuna muda si mrefu, kabla hawajamaliza chuo July.
Acha uzinzi we mbwa!
 
Samehe zinaa mkuu.
 
l love this babe!
 
Kwahyo hata rafiki yako hawajaoana mpaka sasa??[emoji23] 40+ bado anakula bata tu??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…