Chungu na tamu za watabiri mchezo wa Yanga na Al Hilal (first leg & second leg)

Chungu na tamu za watabiri mchezo wa Yanga na Al Hilal (first leg & second leg)

Tupo kwenye mfungo wa kuiombea Yang'a ifuzu
Yaani uache kuiombea timu yako ambayo ni tia maji tia maji! Eti ufunge kuiombea Yanga iliyokamilika kila idara!!

Mashabiki wa simba kuweni serious hata kidogo basi. Kwa taarifa yako, Yanga itafuzu keshokutwa Jumamosi. Mechi ya marudio, inaenda tu kukamilisha ratiba.
 
Yaani uache kuiombea timu yako ambayo ni tia maji tia maji! Eti ufunge kuiombea Yanga iliyokamilika kila idara!!

Mashabiki wa simba kuweni serious hata kidogo basi. Kwa taarifa yako, Yanga itafuzu keshokutwa Jumamosi. Mechi ya marudio, inaenda tu kukamilisha ratiba.
Unapenda kupanick oooh tate nanee
 
Unapenda kupanick oooh tate nanee
Mimi najaribu tu kukuonea huruma mapema! Nafahamu fika hali unayopitia pale timu yako inapofungwa.

Hivyo huu ndiyo wakati wako sahihi wa kufunga ili iweze kupata ushindi kwenye mechi zake zijazo. Kuhusu Yanga, wewe tuachie tu sisi wataalam wa kamati ya ufundi.
 
Mimi najaribu tu kukuonea huruma mapema! Nafahamu fika hali unayopitia pale timu yako inapofungwa.

Hivyo huu ndiyo wakati wako sahihi wa kufunga ili iweze kupata ushindi kwenye mechi zake zijazo. Kuhusu Yanga, wewe tuachie tu sisi wataalam wa kamati ya ufundi.
Sasa kwahyo unadhani mm naweza funga kwa ajili ya timu yoyote? Its just a joke nothing more... shida ww unachukulia serious kila kitu.
 
Kila mtu katabiri anavyoweza, nilichoamua kufanya mimi ni kutumia hesabu za darasa la saba tuu kutafuta matokeo ya jumla. Kupitia humu humu Jamii Forums watu 12 walijaribu kutoa nyuzi au maoni kwenye nyuzi za wengine jinsi matokea yatavyokuwa.

Nikaamua kuchukua idadi ya magoli yote ya Yanga nikagawa kwa hizo 12 na kuchukua ya Al Hilal nikagawa kwa 12. Matokeo ya utabiri wenu humu ndani ni kuwa Yanga kwa Mkapa atashinda goli 3-1 dhidi ya Al Hilal ya Sudan, na watu nane tu wamejaribu kutabiri matokeo ya Sudan yatakavyokuwa.

Nikachukua idadi ya magoli ya Al Hilal nikagawa kwa 8, nikachukua na ya Yanga nikagawa kwa nane, matokeo yakawa Al Hilal 2-0 Yanga. Jumla ya matokeo ikawa ni Yanga 3-3 Al Hilal, Wasudan watasonga mbele kwa agreeget.

Mmetabiri wenyewe humu!
Hilo halitakua Iwe mvua iwe jua..

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Jumapili baada ya game kumalizika mashabiki ya mbumbumbu fc akili zitakorogeka pamoja na mavi..Mo,barba,mgunda na matola watatukanwa mpaka watawakumbuka marehemu wazazi wao
 
Kila mtu katabiri anavyoweza, nilichoamua kufanya mimi ni kutumia hesabu za darasa la saba tuu kutafuta matokeo ya jumla. Kupitia humu humu Jamii Forums watu 12 walijaribu kutoa nyuzi au maoni kwenye nyuzi za wengine jinsi matokea yatavyokuwa.

Nikaamua kuchukua idadi ya magoli yote ya Yanga nikagawa kwa hizo 12 na kuchukua ya Al Hilal nikagawa kwa 12. Matokeo ya utabiri wenu humu ndani ni kuwa Yanga kwa Mkapa atashinda goli 3-1 dhidi ya Al Hilal ya Sudan, na watu nane tu wamejaribu kutabiri matokeo ya Sudan yatakavyokuwa.

Nikachukua idadi ya magoli ya Al Hilal nikagawa kwa 8, nikachukua na ya Yanga nikagawa kwa nane, matokeo yakawa Al Hilal 2-0 Yanga. Jumla ya matokeo ikawa ni Yanga 3-3 Al Hilal, Wasudan watasonga mbele kwa agrigate.

Mmetabiri wenyewe humu!
Hiyo nayo ndoto ya chuki,lala zote tena🥱
 
msipate tabu mbona matokeo yanajulikan cha msingi kuendelea kuombea timu zituwakilishe vyema kama walivyoanza
 
Nahitimisha kwa kusema kuwa kwa mkapa matokeo yatakua ni kwa Yanga kushinda goli 2-1 dhidi ya al hilal...nimetumia hesabu zile zile ila natabiri yanga kutangulia kipindi cha kwanza goli moja na mwanzoni mwa kipindi cha pili goli moja..na al hilal watafuta machozi dakika za jioni.ni utabiri tuu..japo siku hizi naoteaga sana
 
Back
Top Bottom