Unavoidable Servant
JF-Expert Member
- Oct 13, 2021
- 1,728
- 4,545
Kumbe!Utopolo yenyewe wanategemea magoli ya cross..ukimdhibiti na fei toto, basi hapo ni hatihati. Moja haikai wala mbili haikai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe!Utopolo yenyewe wanategemea magoli ya cross..ukimdhibiti na fei toto, basi hapo ni hatihati. Moja haikai wala mbili haikai
Yaani uache kuiombea timu yako ambayo ni tia maji tia maji! Eti ufunge kuiombea Yanga iliyokamilika kila idara!!Tupo kwenye mfungo wa kuiombea Yang'a ifuzu
Unapenda kupanick oooh tate naneeYaani uache kuiombea timu yako ambayo ni tia maji tia maji! Eti ufunge kuiombea Yanga iliyokamilika kila idara!!
Mashabiki wa simba kuweni serious hata kidogo basi. Kwa taarifa yako, Yanga itafuzu keshokutwa Jumamosi. Mechi ya marudio, inaenda tu kukamilisha ratiba.
Mimi najaribu tu kukuonea huruma mapema! Nafahamu fika hali unayopitia pale timu yako inapofungwa.Unapenda kupanick oooh tate nanee
Kipimo cha mafanikio cha timu uharooMagoli ya cross hayaruhusiwi? anyway siku tunawapiga matobo vile viwili kulikua na goli la cross?
Sasa kwahyo unadhani mm naweza funga kwa ajili ya timu yoyote? Its just a joke nothing more... shida ww unachukulia serious kila kitu.Mimi najaribu tu kukuonea huruma mapema! Nafahamu fika hali unayopitia pale timu yako inapofungwa.
Hivyo huu ndiyo wakati wako sahihi wa kufunga ili iweze kupata ushindi kwenye mechi zake zijazo. Kuhusu Yanga, wewe tuachie tu sisi wataalam wa kamati ya ufundi.
Nyie mna mafanikio gani?Kipimo cha mafanikio cha timu uharoo
Hilo halitakua Iwe mvua iwe jua..Kila mtu katabiri anavyoweza, nilichoamua kufanya mimi ni kutumia hesabu za darasa la saba tuu kutafuta matokeo ya jumla. Kupitia humu humu Jamii Forums watu 12 walijaribu kutoa nyuzi au maoni kwenye nyuzi za wengine jinsi matokea yatavyokuwa.
Nikaamua kuchukua idadi ya magoli yote ya Yanga nikagawa kwa hizo 12 na kuchukua ya Al Hilal nikagawa kwa 12. Matokeo ya utabiri wenu humu ndani ni kuwa Yanga kwa Mkapa atashinda goli 3-1 dhidi ya Al Hilal ya Sudan, na watu nane tu wamejaribu kutabiri matokeo ya Sudan yatakavyokuwa.
Nikachukua idadi ya magoli ya Al Hilal nikagawa kwa 8, nikachukua na ya Yanga nikagawa kwa nane, matokeo yakawa Al Hilal 2-0 Yanga. Jumla ya matokeo ikawa ni Yanga 3-3 Al Hilal, Wasudan watasonga mbele kwa agreeget.
Mmetabiri wenyewe humu!
Weka utabiri wako brother
Hata mimi pia natambua fika unatania!Sasa kwahyo unadhani mm naweza funga kwa ajili ya timu yoyote? Its just a joke nothing more... shida ww unachukulia serious kila kitu.
Watapigwa kama ngoma Kule Angola.Jumapili baada ya game kumalizika mashabiki ya mbumbumbu fc akili zitakorogeka pamoja na mavi..Mo,barba,mgunda na matola watatukanwa mpaka watawakumbuka marehemu wazazi wao
Hiyo nayo ndoto ya chuki,lala zote tena🥱Kila mtu katabiri anavyoweza, nilichoamua kufanya mimi ni kutumia hesabu za darasa la saba tuu kutafuta matokeo ya jumla. Kupitia humu humu Jamii Forums watu 12 walijaribu kutoa nyuzi au maoni kwenye nyuzi za wengine jinsi matokea yatavyokuwa.
Nikaamua kuchukua idadi ya magoli yote ya Yanga nikagawa kwa hizo 12 na kuchukua ya Al Hilal nikagawa kwa 12. Matokeo ya utabiri wenu humu ndani ni kuwa Yanga kwa Mkapa atashinda goli 3-1 dhidi ya Al Hilal ya Sudan, na watu nane tu wamejaribu kutabiri matokeo ya Sudan yatakavyokuwa.
Nikachukua idadi ya magoli ya Al Hilal nikagawa kwa 8, nikachukua na ya Yanga nikagawa kwa nane, matokeo yakawa Al Hilal 2-0 Yanga. Jumla ya matokeo ikawa ni Yanga 3-3 Al Hilal, Wasudan watasonga mbele kwa agrigate.
Mmetabiri wenyewe humu!
Tena ngoma ya kitambo au ya mdumange🤸🤸Watapigwa kama ngoma Kule Angola.
Imefanya jeeeMe nnachojua yanga group stageee
Amepasua mtu take my words Kesho c mbalii iwe 2 iwe 3 iwe 4 me cjuii me shabik nmeshafka group stage nawasubilIme
Imefanya jeee