Chungu na tamu za watabiri mchezo wa Yanga na Al Hilal (first leg & second leg)

Chungu na tamu za watabiri mchezo wa Yanga na Al Hilal (first leg & second leg)

Nahitimisha kwa kusema kuwa kwa mkapa matokeo yatakua ni kwa Yanga kushinda goli 2-1 dhidi ya al hilal...nimetumia hesabu zile zile ila natabiri yanga kutangulia kipindi cha kwanza goli moja na mwanzoni mwa kipindi cha pili goli moja..na al hilal watafuta machozi dakika za jioni.ni utabiri tuu..japo siku hizi naoteaga sana
Ni 3 kwa 2.
Yanga atatanguliwa kipindi Cha kwanza na kuchomoa kipindi Cha pili na kushinda mchezo
 
Kuamua kungoja? Au kutumia kinga kwa kila tendo moja
 
Kila mtu katabiri anavyoweza, nilichoamua kufanya mimi ni kutumia hesabu za darasa la saba tuu kutafuta matokeo ya jumla. Kupitia humu humu Jamii Forums watu 12 walijaribu kutoa nyuzi au maoni kwenye nyuzi za wengine jinsi matokea yatavyokuwa.

Nikaamua kuchukua idadi ya magoli yote ya Yanga nikagawa kwa hizo 12 na kuchukua ya Al Hilal nikagawa kwa 12. Matokeo ya utabiri wenu humu ndani ni kuwa Yanga kwa Mkapa atashinda goli 3-1 dhidi ya Al Hilal ya Sudan, na watu nane tu wamejaribu kutabiri matokeo ya Sudan yatakavyokuwa.

Nikachukua idadi ya magoli ya Al Hilal nikagawa kwa 8, nikachukua na ya Yanga nikagawa kwa nane, matokeo yakawa Al Hilal 2-0 Yanga. Jumla ya matokeo ikawa ni Yanga 3-3 Al Hilal, Wasudan watasonga mbele kwa agrigate.

Mmetabiri wenyewe humu!
Yeyote atakaeshinda, ni tofauti ya goli moja. 3/2; 2/1; 1/0
 
Kila mtu katabiri anavyoweza, nilichoamua kufanya mimi ni kutumia hesabu za darasa la saba tuu kutafuta matokeo ya jumla. Kupitia humu humu Jamii Forums watu 12 walijaribu kutoa nyuzi au maoni kwenye nyuzi za wengine jinsi matokea yatavyokuwa.

Nikaamua kuchukua idadi ya magoli yote ya Yanga nikagawa kwa hizo 12 na kuchukua ya Al Hilal nikagawa kwa 12. Matokeo ya utabiri wenu humu ndani ni kuwa Yanga kwa Mkapa atashinda goli 3-1 dhidi ya Al Hilal ya Sudan, na watu nane tu wamejaribu kutabiri matokeo ya Sudan yatakavyokuwa.

Nikachukua idadi ya magoli ya Al Hilal nikagawa kwa 8, nikachukua na ya Yanga nikagawa kwa nane, matokeo yakawa Al Hilal 2-0 Yanga. Jumla ya matokeo ikawa ni Yanga 3-3 Al Hilal, Wasudan watasonga mbele kwa agrigate.

Mmetabiri wenyewe humu!
Mkanywe sumu sasa
 
Yanga hawezi kufungwa na Al hilal, Yanga anaingia Makundi kibabe.
 
Kibabe unafikiri kuna mambo ya Bahasha GSM kimataifa kama NBC premier league. Ubabe ni mpira kule refa hanunuliki,
Simba anavyofungwa na Yanga uwa inatumika bahasha? Yanga anakwenda kufuzu hatua ya Makundi Kwa quality aliyonayo.
 
Simba anavyofungwa na Yanga uwa inatumika bahasha? Yanga anakwenda kufuzu hatua ya Makundi Kwa quality aliyonayo.
Quality gani wewe acha kujikosha shughuli yako imeshaisha unafikiri utaishi maisha ya kujifariji vitu visivyowezekana mpaka lini?
 
Quality gani wewe acha kujikosha shughuli yako imeshaisha unafikiri utaishi maisha ya kujifariji vitu visivyowezekana mpaka lini?
Upeo wako na fikra zako ndio zinaona mechi yenye matokeo ya 1-1 mkondo wa kwanza ndio imekwisha, sasa Mimi ntakusaidiaje!!
 
Upeo wako na fikra zako ndio zinaona mechi yenye matokeo ya 1-1 mkondo wa kwanza ndio imekwisha, sasa Mimi ntakusaidiaje!!
Sasa hata ukiishi kwa kujifariji kwa wiki moja tu itakusaidia nini? Jpili tu shughuli inatamatika si bora ukubali ukweli imeisha maisha mengne yaendelee mkuu
NB:Si timu zote huingia makundi ya caf champions league ni timu 16 tu ndio huingia kwenye zaidi ya timu 50+ zinazoshiriki kila mwaka wengne mkubali nyinyi ni wssindikizaji tu na mbona hayo yamekuwa maisha yenu toka 1998 hamjazoea tu??
 
Back
Top Bottom