Chendembe
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 444
- 488
Ni 3 kwa 2.Nahitimisha kwa kusema kuwa kwa mkapa matokeo yatakua ni kwa Yanga kushinda goli 2-1 dhidi ya al hilal...nimetumia hesabu zile zile ila natabiri yanga kutangulia kipindi cha kwanza goli moja na mwanzoni mwa kipindi cha pili goli moja..na al hilal watafuta machozi dakika za jioni.ni utabiri tuu..japo siku hizi naoteaga sana
Yanga atatanguliwa kipindi Cha kwanza na kuchomoa kipindi Cha pili na kushinda mchezo