Ni 3 kwa 2.Nahitimisha kwa kusema kuwa kwa mkapa matokeo yatakua ni kwa Yanga kushinda goli 2-1 dhidi ya al hilal...nimetumia hesabu zile zile ila natabiri yanga kutangulia kipindi cha kwanza goli moja na mwanzoni mwa kipindi cha pili goli moja..na al hilal watafuta machozi dakika za jioni.ni utabiri tuu..japo siku hizi naoteaga sana
Yeyote atakaeshinda, ni tofauti ya goli moja. 3/2; 2/1; 1/0Kila mtu katabiri anavyoweza, nilichoamua kufanya mimi ni kutumia hesabu za darasa la saba tuu kutafuta matokeo ya jumla. Kupitia humu humu Jamii Forums watu 12 walijaribu kutoa nyuzi au maoni kwenye nyuzi za wengine jinsi matokea yatavyokuwa.
Nikaamua kuchukua idadi ya magoli yote ya Yanga nikagawa kwa hizo 12 na kuchukua ya Al Hilal nikagawa kwa 12. Matokeo ya utabiri wenu humu ndani ni kuwa Yanga kwa Mkapa atashinda goli 3-1 dhidi ya Al Hilal ya Sudan, na watu nane tu wamejaribu kutabiri matokeo ya Sudan yatakavyokuwa.
Nikachukua idadi ya magoli ya Al Hilal nikagawa kwa 8, nikachukua na ya Yanga nikagawa kwa nane, matokeo yakawa Al Hilal 2-0 Yanga. Jumla ya matokeo ikawa ni Yanga 3-3 Al Hilal, Wasudan watasonga mbele kwa agrigate.
Mmetabiri wenyewe humu!
We co mtu mzurileg 1: Yanga 1 Al hilal 1
leg 2: Al hilal 2 Yanga 0
Una 50% mkuu uko vzr1st Leg 1-1
2nd leg 3-0
Mkanywe sumu sasaKila mtu katabiri anavyoweza, nilichoamua kufanya mimi ni kutumia hesabu za darasa la saba tuu kutafuta matokeo ya jumla. Kupitia humu humu Jamii Forums watu 12 walijaribu kutoa nyuzi au maoni kwenye nyuzi za wengine jinsi matokea yatavyokuwa.
Nikaamua kuchukua idadi ya magoli yote ya Yanga nikagawa kwa hizo 12 na kuchukua ya Al Hilal nikagawa kwa 12. Matokeo ya utabiri wenu humu ndani ni kuwa Yanga kwa Mkapa atashinda goli 3-1 dhidi ya Al Hilal ya Sudan, na watu nane tu wamejaribu kutabiri matokeo ya Sudan yatakavyokuwa.
Nikachukua idadi ya magoli ya Al Hilal nikagawa kwa 8, nikachukua na ya Yanga nikagawa kwa nane, matokeo yakawa Al Hilal 2-0 Yanga. Jumla ya matokeo ikawa ni Yanga 3-3 Al Hilal, Wasudan watasonga mbele kwa agrigate.
Mmetabiri wenyewe humu!
1st Leg 1-1
2nd leg 3-0
Hapa tunasema flex by one umetema1st Leg 1-1
2nd leg 3-0
Duhh....leg 1: Yanga 1 Al hilal 1
leg 2: Al hilal 2 Yanga 0
Kibabe unafikiri kuna mambo ya Bahasha GSM kimataifa kama NBC premier league. Ubabe ni mpira kule refa hanunuliki,Yanga hawezi kufungwa na Al hilal, Yanga anaingia Makundi kibabe.
Simba anavyofungwa na Yanga uwa inatumika bahasha? Yanga anakwenda kufuzu hatua ya Makundi Kwa quality aliyonayo.Kibabe unafikiri kuna mambo ya Bahasha GSM kimataifa kama NBC premier league. Ubabe ni mpira kule refa hanunuliki,
Quality gani wewe acha kujikosha shughuli yako imeshaisha unafikiri utaishi maisha ya kujifariji vitu visivyowezekana mpaka lini?Simba anavyofungwa na Yanga uwa inatumika bahasha? Yanga anakwenda kufuzu hatua ya Makundi Kwa quality aliyonayo.
Upeo wako na fikra zako ndio zinaona mechi yenye matokeo ya 1-1 mkondo wa kwanza ndio imekwisha, sasa Mimi ntakusaidiaje!!Quality gani wewe acha kujikosha shughuli yako imeshaisha unafikiri utaishi maisha ya kujifariji vitu visivyowezekana mpaka lini?
Sasa hata ukiishi kwa kujifariji kwa wiki moja tu itakusaidia nini? Jpili tu shughuli inatamatika si bora ukubali ukweli imeisha maisha mengne yaendelee mkuuUpeo wako na fikra zako ndio zinaona mechi yenye matokeo ya 1-1 mkondo wa kwanza ndio imekwisha, sasa Mimi ntakusaidiaje!!