Ukiwa na Shida yoyote ile
Usipo pona kwa Dawa za Hospitali nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona ukihitaji matibabu yangu
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe. fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169
pakaa mafuta ya break!Habari kwenu Madaktari na Wataalam wa Magonjwa ya ngozi....Dermatologist.
Nimekuwa nikihangaika kwa muda sasa na chunusi (Acne) usoni na hata shingoni hadi kifuani. Nakumbuka kuwahi pata matibabu huko mikoani lakini hali ya mapele haijawahi kuisha...na kwa sasa kwa kuwa nimehamia Dar yapata 2 yrs, ningependa kulifuatilia hili suala kwa wataalam wabobezi wa magonjwa ya ngozi. Ngozi yangu inamafuta hivyo hata nisipooga usiku, asubuhi unakuta vipele vingi na tayari vina usaha kiasi. Na kwa joto la Dar, mara nyingi mapele yanakuja kwa kasi sana. Inaniumiza sana hali hii, ningependa kupata ufumbuzi wa tatizo hili.
Nachohitaji ni kuelekezwa wapi ntawapata watalaamu hawa ili wanisaidie. Ama hospitali gani ambayo inao wabobezi wa masuala ya ngozi. Asanteni sana.
kuwa serious broAcha punyeto dogo...
ingekuwa age ya adoles ningekuja hapa kuwa na bigmind bro sio kuropoka tuUkute dume linaogopa chunusi[emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji15] [emoji15] afu age yenyewe ya kupasua ungo..
Haya pole sana mkuu! Nisamehe bure braza.ingekuwa age ya adoles ningekuja hapa kuwa na bigmind bro sio kuropoka tu
sawa nashukuruTafuta baking powder vijiko viwili vya chakula mwanya ile ya simba mbili changanya na maji au rose water koroga..then chukua ujipake usoni kaa baada ya mda then osha na maji masafii uso wako..then jikaushe rudia hivyo asubuh na jioni..tuone inakuaje
Angalizo..usipake mchanganyiko wowote usoni unavyotumia hii njia
Haichubui itakukausha hayo mafuta yanayosababisha machunusi..tumia ndani ya week utaona changes ukimaliza nitakupa hatua yapilisawa nashukuru
vp haichubui au haina madhara yoyote
Pia nawia African black soap au Dudu Osun sabuni, mojawapo kati ya hizi lazima utasaidika. Pole sanasawa nashukuru
vp haichubui au haina madhara yoyote