Chunusi: Chanzo, tiba na jinsi ya kuepukana nazo

Chunusi: Chanzo, tiba na jinsi ya kuepukana nazo

Ukiwa na Shida yoyote ile
Usipo pona kwa Dawa za Hospitali nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona ukihitaji matibabu yangu
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe. fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169

Wewe huo u "Dr." uliupatia wapi?

Nyie ndiyo matapeli wa mtandao.

Sema tu una tiba mbadala lakini usijifanye kuwa ni "Dr.".

Mbona anti Zainab humu humu JF anatowa tiba mbadala ya asili ya chunusi na ngozi lakini hatujamsikia akisema yeye ni "Dr."?

Wacheni kucheza na mizani hata dini zinakataza.
 
Habari kwenu Madaktari na Wataalam wa Magonjwa ya ngozi....Dermatologist.

Nimekuwa nikihangaika kwa muda sasa na chunusi (Acne) usoni na hata shingoni hadi kifuani. Nakumbuka kuwahi pata matibabu huko mikoani lakini hali ya mapele haijawahi kuisha...na kwa sasa kwa kuwa nimehamia Dar yapata 2 yrs, ningependa kulifuatilia hili suala kwa wataalam wabobezi wa magonjwa ya ngozi. Ngozi yangu inamafuta hivyo hata nisipooga usiku, asubuhi unakuta vipele vingi na tayari vina usaha kiasi. Na kwa joto la Dar, mara nyingi mapele yanakuja kwa kasi sana. Inaniumiza sana hali hii, ningependa kupata ufumbuzi wa tatizo hili.

Nachohitaji ni kuelekezwa wapi ntawapata watalaamu hawa ili wanisaidie. Ama hospitali gani ambayo inao wabobezi wa masuala ya ngozi. Asanteni sana.
pakaa mafuta ya break!
 
Habarini wakuu,


Kama kichwa cha habari kinavyoeleza nimepata tatizo la chunusi muda sasa ka mwezi na sehemu. Ilikuwa 23/12/2016 vilikuja vichunusi kidogo nikaelekezwa nitumie sabuni ya zoazoa basi nilipotumia tu ndo ikawa kosa chunusi zikajaa usoni mpaka nikawa najiogopa yaani asikwambie mtu chunusi zinaleta depression sana na embrass hasa kwasasa ma 20+.

Nikaenda hospitali nikaambiwa ninunue acnes nimetumia dawa ndani ya wiki na sijaona mabadiliko yoyote yani full confusion tu.

MSAADA
Kwa yoyote mwenye msaada wa namna ya kuondokana na tatizo hili naomba nisaidiwe jamani, hii hali inatesa jamani BILA KUSAHAU USO WANGU NI WA MAFUTA.
 
Kuwa mpole tu mdogo wangu, huo umri ndio kipindi chake. Ni mabadiliko ya kimaumbile tu na ukizingatia una ngozi ya mafuta.

Ukikuwa vitakaa sawa tu
 
Ukute dume linaogopa chunusi[emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji15] [emoji15] afu age yenyewe ya kupasua ungo..
 
Ukute dume linaogopa chunusi[emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji15] [emoji15] afu age yenyewe ya kupasua ungo..
ingekuwa age ya adoles ningekuja hapa kuwa na bigmind bro sio kuropoka tu
 
Tafuta baking powder vijiko viwili vya chakula mwanya ile ya simba mbili changanya na maji au rose water koroga..then chukua ujipake usoni kaa baada ya mda then osha na maji masafii uso wako..then jikaushe rudia hivyo asubuh na jioni..tuone inakuaje
Angalizo..usipake mchanganyiko wowote usoni unavyotumia hii njia
 
Tafuta baking powder vijiko viwili vya chakula mwanya ile ya simba mbili changanya na maji au rose water koroga..then chukua ujipake usoni kaa baada ya mda then osha na maji masafii uso wako..then jikaushe rudia hivyo asubuh na jioni..tuone inakuaje
Angalizo..usipake mchanganyiko wowote usoni unavyotumia hii njia
sawa nashukuru
vp haichubui au haina madhara yoyote
 
Back
Top Bottom