Chunusi: Chanzo, tiba na jinsi ya kuepukana nazo

Chunusi: Chanzo, tiba na jinsi ya kuepukana nazo

Tafadhali fafanua umuhimu wa mkojo kwenye dawa hiyo. Ni kemikali gani zinazo ondoa chunusi zilizopo kwenye mkojo..hasa wa mtoto- kama ulivyo ainisha.
 
Chukua avocado lililoiva vema umenye.Kwangua na kijiko ktk bakuli.Weka mkojo wa mtoto koroga paka usn hadi ikauke.Osha

Tafadhali fafanua umuhimu wa mkojo kwenye dawa hiyo. Ni kemikali gani zinazo ondoa chunusi zilizopo kwenye mkojo..hasa wa mtoto- kama ulivyo ainisha.
 
wanawake hata mwaambie mavi dawa paka usoni ... hamchelewi .. wengine wanapaka damu za hedhi hangaikeni tu
 
Mkojo una Urea,water,na moisture ambapo ukichanganya na parachichi(vitamin E)ni tiba ya ngozi.Loshn nyg wanawk mkojo pia
 
Ila mara nyingi hawasemi kama kuna mkojo.Km wa mtoto ni any time.Kama utatumia mkojo pekee uwe wako wa asubuhi.Unapka tu
 
Tiba hii imetumika tangu mababu.Uarabuni na huko Uchi inafahamika pia.Mf.Uchina na Uhindi wakinywa huongeza nguvu ya sex
 
naomba msaada wa kuondoa madoa uson pls! mana napata tabu kwa hili. plz mchango wenu ndg. mkojo unapaka mda wa dk ngp ?
 
Mpendwa Lady M,mkojo unapaka hadi uone ngozi kama imenatana na mkojo.Wastani dakika 10-12 1/2.Kisha unaosha.Hii ni tiba
 
Nimesikia tetesi kuwa baada ya tendo mwanamke akimwagiwa na mwanaume Mbegu usoni ikiwa ana chunusi eti inamsaidia kuondoa chunusi hizo.!?
WAKUU
kwa anayefahamu je, Kuna ukweli wowote juu ya hili?
 
hapo haoa kitu sema wanaiga mambo ya mbele wanasingizia eti ni dawa ya chunusi
 
Back
Top Bottom