Chunusi: Chanzo, tiba na jinsi ya kuepukana nazo

Chunusi: Chanzo, tiba na jinsi ya kuepukana nazo

Wakati mwingine muwe mnachanganya na za kwenu
kabla ya kuja humu kuuliza!
 
Hivi jamani kupaka hayo makitu usoni..!
Asee hapana.

Dhana ya kwamba huondoa chunusi ni uongo uliopitiliza.

Mbengu za kiume (sperms) sio makitu dada, ndio maana zinaruhusiwa kuingia ndani ya mwili wa mwanamke kupitia viungo vyake vya uzazi (uke), hivyo kuziita makitu huzitendei haki na hata wewe mwenyewe nadhani unatumia hiyo kitu, hivyo sio vema kiziita makitu. neno ma- husimama kuwakilisha ubaya, then ndio inafuata kitu.

Najua waweza kunishangaa why natetea kitu kama hicho, lakini niseme tu kupatikana kwa mtoto (uumbaji) huanzia hapo kwenye hizo mbegu, kumbe ni za muhimu, ni za kuheshimiwa na zisitumiwe ovyo wala kutukanwa ovyo.
 
Sasa kama ni mwanaume ndio mwenye chunusi anatumia za kwake au anaomba kwa jirani!!!!?dawa nyingine bana....kama adhabu vile dadeki!!
 
Hapo kwangu itakuwa si tiba. maana chunusi zimenianza long tangu nikiwa shule ambapo tulikuwa tunapiga hadi miezi miwili ugali kwa maharage.
 
Great content! Many Thanks.

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Natafuta Dawa ya chunusi.plz msaada

attachment.php
 
Dawa plz
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1368451747993.jpg
    uploadfromtaptalk1368451747993.jpg
    54.1 KB · Views: 950
Back
Top Bottom