Jibaba Bonge
JF-Expert Member
- May 6, 2008
- 1,246
- 402
Pole sana,
kuna products ambazo unaweza kutumia na zikakusaidia. Naomba tuwasiliane kwa 0768 955185 kama utapenda kwa ushauri na jinsi ya kupata tiba.
habari JF Doctor, nimesumbuliwa na chunusi usoni kwa muda mrefu, nimetumia vipodozi mbalimbali lakini sijapata matokeo mazuri, sababu zinapungua kwa muda na huwa zinarudi tena, cjui cha kufanya kwa sasa. tafadhali naomba msaada wako.
Muda wa kubaleghe ukipita zenyewe zitaondoka.