Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante na wewe Mkuu CjuimapenziAsante! ubarikiwe MZIZIMKAVU
Asante kwa kutoa Feedback kabwigwaLimao limenisaidia kuondoa chunis si utani!
Asante! ubarikiwe MZIZIMKAVU
Dawa ya Vipele (chunusi) Na Ngozi:Wakuu msaada tafadhal kuna ugonjwa wa ngoz umenitokea ni vipele vidogo vidogo vinavyotoka kwenye ngoz ya mwil, haviwash,ila napoviacha vinakauka na kuacha makov meus, nimetumia aina nying ya dawa lakn imeshindikana,msaada wenu kwa anayejuwa tatizo hil tafadhal
Shukran za dhat kwa wale watakaokuwa wamenielewa
Dawa ya Vipele (chunusi) Na Ngozi:
Changanya na pasha moto kwa dakika mbili kikombe kimoja cha Unga wa Habbat-Sawdaa iliyosagwa, ½
(nusu) kikombe cha maganda ya komamanga yaliyosagwa, na ½ (nusu) kikombe cha siki ambayo
inatokana na juisi ya tofaha (Apple Cider Vinegar ). Paka katika sehemu inayotakiwa kabla ya kwenda kulala
kila usiku mpaka vipele (chunusi) vitakapoondoka. Mchanganyiko unaweza kukaa mpaka wiki
tatu na ni lazima uwekwe katika hali ya ubaridi.
Hilo ndilo jina lake Mbadala kwa kiingereza inaitwa Nigella sativa seed Au black cumin kwa kiswa hili inaitwa HabaSoda Au (Habbat Sawda) nenda katika maduka ya dawa za kisunna uliza utapata.Mkuu hiyo kitu hapo kwenye red ina jina mbadala?
SP
Kitendo cha tiba ya chunusi kumtibu huyu na isimtibu yule, huwa naamini kuwa hakuna dawa halisi ya chunusi.
seti nzima??
ina maana izo chupa 4 zote ziishe!?
kweli biashara matangazo halafu iyo bei sasa....... eskinol ya limao buku3 tu yanitosha
wanajamvi mwenzenu nina tatizo la kuwa na vipele vidogo vidogo uson kwangu alafu vina kama kakiin keupe kanatoka kama ukibonya. Mfano puan ukikamua utaona vitu vyeupe vinatoka? Sasa sielew tatizo ni nini hapo