Chunusi: Chanzo, tiba na jinsi ya kuepukana nazo

Chunusi: Chanzo, tiba na jinsi ya kuepukana nazo

achana na mambo ya pm weka vitu hadharani..unajuaje pengine wadau wengi wapo mwanza?

Samahani ndugu yangu lilikuwa ni tatizo binafsi na nje ya uwezo wangu, ninahisi matatizo mengine ya kibinafsi si vizuri kuyaweka hadharani.

Hivi karibuni Aunt Zainab's Natural Super Clay itakuwa Mwanza na tutawajulisha wapi itapatikana.

Poleni kwa usumbufu wateja wetu watarajiwa wa Mwanza.

Asante
Zainab
 
una dawa za kuondoa makovu?
maana mdogo wangu anatia huruma

Hapana, hatujaifanyia uchunguzi wa muda mrefu kuhusu makovu, ninachojuwa inapunguza muonekano wa makovu madogo ya chunusi na mapele "Reduces appearance of scars", sijui kwa makovu makubwa. Labda mjaribu kwa kuwa haina madhara yoyote mwilini.

Asante
Zainab
 
Jaman nasumbuliwa na tatizo la Chunusi mgongoni,hadi zimesababisha mgongo wangu kuwa na na spots nyeusi nyeus afu baadhi za chunusi zinauma sana,tatizo ni nini na tiba yake ni nn wakuu?
Natanguliza shukran zangu
 
Wenye matatizo ya chunusi tunawashauri kwa kuanizia waanze kunywa maji kwa wingi, yanasaidia sana kwenye ngozi. Wasitumie kabisa madawa yenye kemikali kwani yanaharibu ngozi zaidi ya kuitengeneza.

Huu si ushauri wa kidaktari, huu ni ushauri mbadala wa asili.

Asante
Zainab
 
Mkuu fika Agha khan (DAR)onana na mtaalam wa ngozi Profesa mgonda yani yeye akikuona tu tayari keshajua dawa yako. Mie nilikua na machunusi kama ngumi ya mtoto, yani hadi nilkuwa najikimbia nikijiangalia kwny kioo!! Asa iv ishabaki historia!!

Leo ninekuja kuonana na huyu docta ndio namsubiria
 
Leo ninekuja kuonana na huyu docta ndio namsubiria

Avatar yako mbona haisadifu uhalisia? Au una tatizo jingne la ngozi tofauti na chunusi? Anyway kila la heri usisahau kuleta mrejesho kwa ushauri na tiba ya kitaalam utakayopata.
 
Kwa wateja wetu wapenzi, habari mpya tulizozipata siku mbili tatu nyuma za Aunt Zainab's Natural Super Clay:

Moto
Kutibu unapoungua na moto, uwe moto wa moja kwa moja au maji ya moto au mafuta ya moto.

1) Mteja wetu mmoja wetu aliunguliwa na mfanya kazi wake kwa maji ya moto mgongoni, ametueleza kuwa akakumbuka ana udongo wa Aunt Zainab alikuwa ameshaukoroga kwa matumizi yake, akawahi kumpaka mfanya kazi wake pale alipongua, na kilichofatia anasema ni "ajabu" na alipoungua hata lengelenge halikutoka na lilishaanza.

2) Mteja mwingine anasema "aliletewa mtoto wa ndugu yake kaunguwa jana, na na mtoto kakoboka ngozi pajani na makalioni pamekuwa pekundu kabisa, nyama inaonekana" anendelea kusema, akakumbuka ana udngo wa Aunt Zainab, akmpaka yule mtoto wa nduguye ansema baada ya dakika kama 30 mtoto akapatwa na usingizi, alipoamka kidonga kimefanya kigaga kama ambacho cha siku nyingi. Anasema "nipo tayari kutoa ushuda hata kanisani, huu udongo nimeuamini ni dawa ya moto ambayo haijawahi kutokea".

3) Mimi binafsi baada ya kusikia habari hizo, juzi nilkuwa napika maandazi, mafuta ya moto yakanimwagikia mkononi, nikawahi kujipaka udongo, ajabu ni kuwa sijatoka lengelenge wala kidonda na maumivu yalikata hapo hapo baada ya kujipaka huu udongo.

Wateja wote hao wawili wamesema wapo tayari kutoaa ushuhuda na kumuelezea kisa kizima wakati wowote. Kwa atae hitaji namba za kuwasiliana nao anitumie pm.

Jamani, mimi binafsi nilipoanza kuuza huu udongo sikujua kabisa kama pia utakuwa ni dawa ya moto lakini sasa ninadiriki kuuuza pia kama dawa ya moto.

Pia kuna wale walioungua na madawa ya "kujikoroga" wengi wanasema udongo unawasaidia sana na wanarudi katika hali yao ya zamani (kabla ya kuungua kwa madawa). Kutibu watu walioungua kwa madawa ya kujibuchua, kunachukua muda kidogo, inategemea na athari iliyopo, lakini matokeo ni mazuri sana.

Asanteni,

Aunt Zainab.
 
Habari zenu wakuu.
Mwenzenu ninatatizo la chunusi toka kuvunja ungo mpaka sas nina miaka 29 sijawahi kuw na raha na uso wangu.msaada jaman anaejua dawa maana umri huu ngozi mbaya kama kenge.mbaya zaidi yanatoka makubwa kama majipu.msaada tafadhadi.
 
Wengine husema ukipaka mbegu za mwanaume zinasaidia...not sure if its scientific tho'
 
Habari zenu wakuu.
Mwenzenu ninatatizo la chunusi toka kuvunja ungo mpaka sas nina miaka 29 sijawahi kuw na raha na uso wangu.msaada jaman anaejua dawa maana umri huu ngozi mbaya kama kenge.mbaya zaidi yanatoka makubwa kama majipu.msaada tafadhadi.

Nawia maji ya ndimu tupu ukiweza au paka ndimu kila asubuhi kaa SAA nzima nawa paka mafuta ya nazi tuu , jaribu hiyo kwa wiki moja kisha niambie
 
Habari zenu wakuu.
Mwenzenu ninatatizo la chunusi toka kuvunja ungo mpaka sas nina miaka 29 sijawahi kuw na raha na uso wangu.msaada jaman anaejua dawa maana umri huu ngozi mbaya kama kenge.mbaya zaidi yanatoka makubwa kama majipu.msaada tafadhadi.
nitumie pm nikuandikie dawa ila sijui kama inapatikana bongo
 
Back
Top Bottom