Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
habari zenu wapendwa
natumai muwazma naomba ushauri wa kitaalam kuhusu tatizo langu nina nmuda zaid miaka 5 sasa uso wangu una chunusi zisizoisha kila mara kila wkt nahisi kama uso wang utaharibika zaid kwn una vchunus ambvy haviniishi nmetumia sabuni mblmbl mafuta ya kupakaa dizain tfautitofaut(lotion na mgando pia) lakini sio cream vyote havijanisaidia sasa imekua tatzo lkn bado sijakata tamaa kw7bu huebd baadae likawa tatzo kubwa zaid NAOMBA USHAUR WAKO kama una experience na issue hii nifahmishe ni mafuta(LAKINI SIO CREAM) gan au ushauri wa dawa za matunda n.k nawez kutumia na kuweza kunisaidia.
kama hujapendezwa na uzi huu usitukane kwan sio uungwana kufany hvyo. NASHKUR Naomba ushaur wako
habari zenu wapendwa
natumai muwazma naomba ushauri wa kitaalam kuhusu tatizo langu nina nmuda zaid miaka 5 sasa uso wangu una chunusi zisizoisha kila mara kila wkt nahisi kama uso wang utaharibika zaid kwn una vchunus ambvy haviniishi nmetumia sabuni mblmbl mafuta ya kupakaa dizain tfautitofaut(lotion na mgando pia) lakini sio cream vyote havijanisaidia sasa imekua tatzo lkn bado sijakata tamaa kw7bu huebd baadae likawa tatzo kubwa zaid NAOMBA USHAUR WAKO kama una experience na issue hii nifahmishe ni mafuta(LAKINI SIO CREAM) gan au ushauri wa dawa za matunda n.k nawez kutumia na kuweza kunisaidia.
kama hujapendezwa na uzi huu usitukane kwan sio uungwana kufany hvyo. NASHKUR Naomba ushaur wako
lotion na sabuni za zoa zoa usiache kutumia zinatibu saaana (ni grace products )
Pale nilipokuwa nyumbani mza sikuwa na chunus ila nilipofika tbr kikaz kama miez sita hiv zilifutuka chunus za hatali na haziishi ila nina uso wa mafuta meng nikioga nakaa kama nusu sa -sa 1 nakuwa kama nimepaka mafuta usoni,nitumie nni? Kupunguza hii hali chunus ndo zinaongezeka; watalamu pr's
Umri wako ?
25 yrs
Freauency ya kufanya mambo yetu yale ikoje..umri pamoja na ufanyaji wa yale mambo ya wakubwa vinachangia..ulivyokuwa MWanza ulikuwa karibu na mwenza wako ila kwa muda sasa uko mbali hivyo hilo nalo neno.
Pale nilipokuwa nyumbani mza sikuwa na chunus ila nilipofika tbr kikaz kama miezi sita hivi zilifutuka chunus za hatali na haziishi ila nina uso wa mafuta mengi nikioga nakaa kama nusu sa -sa 1 nakuwa kama nimepaka mafuta usoni,nitumie nni? Kupunguza hii hali chunus ndo zinaongezeka. Watalamu naomba mnisaidie