Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We jamaa huoni huoni wabunge Marais wanakula PHD za bure ,au wivu tu na kikorosho waacha Wadada waenjoyUmewaona wapi wakisema?
I think I have to pass. Btw, kuna elimu siku hizi au balaa tu🙄🙄Madam Mademoiselle nimekumiss sana,,, ebu tupate mchango wako tafadhali
Wameyakanyaga rasmi 😂
Kupenda sifa za kijinga😅Wameyakanyaga rasmi 😂
Tumekuwa tukisikia hapa Duniani hasa Tanzania kuwa huwa kuna degree za bure na wengine wamekuwa wakisema kuna degree za chupi!
Lakini sijawai kusikia au kuona watuhumiwa wakikiri kufanya uhalifu kabisa hadharani!
Chuo cha Ardhi ni chuo kizuri lakini ikifika hatua ya watu kisa tuu mapacha wanaweza kufanyiana mitihani na wana kiri hadharani kuwa walifanyiana mitihani tena ya supplimentary basi ujue hii ni hatua kubwa na dharau kubwa sana kwa taasisi hasa ya Elimu ya juu na inayo aminika!
Hawa mabinti wanasema waliweza kufanyiana mitihani na walimaliza chuo kikuu Ardhi(ARU) mwaka 2021 hakuna aliyegundua na sasa wanakwenda hadharani kusema kuwa waliweza kufanya hivyo ni wazi dharau sana kwa taasisi hii ya Elimu na inathibitisha kuwa taasisi hii haiko makini na kuna walakini kwenye hutoaji wa Elimu!
Watu wana hangaika sana kupata elimu halafu watu wanaidhalilisha elimu kiasi hiki …hii ni aibu kwa chuo cha Ardhi na Wizara ya Elimu pia!
Watu wengi wamekuwa wakitilia mashaka sana Elimu zetu hasa utoaji wake na sasa ni wazi wahalifu wameanza kutoa ushahidi wa mashaka kwenye hizi degree zilizojaa mtaani!
Ni matuamaini yangu taasisi itachukua hatua kali dhidi ya uhalifu huu wa kielemu uliofanywa na hawa mapacha na kwenda kukiri hadharani kwenye chombo cha habari Wasafi FM!
Source: Wasafi FM
View attachment 2926553
Beauty FoolsWameamua kujikaanga wenyewe.
Kwani wangeuchuna wangepungukiwa nini?
Sifa za kijinga zinaenda kuwavua nguo.
Kwa hiyo wanavuliwa degree zao kimchezo mchezo?!Aisee imekula kwao,na chuo cha ardhi huwa wapo serious kweli
Nakumbuka nikiwa mwaka wa pili,kuna mwanafunzi alienda kushiriki mashindano ya kutafuta mchumba,then akajitambulisha anatoka chuo cha ardhi,na anasoma architecture, aisee aliwashiwa moto wa kufa mtuView attachment 2927186
Yap,na huyu mkuu wa chuo wa sasa hivi yupo vizuri sana..hata kama akishinda watawakomoa tu..Kwa hiyo wanavuliwa degree zao kimchezo mchezo?!